Ukweli uliojificha, inakuwaje mtu anakataa kuoa na mafanikio Hana? Kama kutooa mapema ni vizuri kwanini miaka inafika 30 Bado kipato Cha kubangaiza?

Ukweli uliojificha, inakuwaje mtu anakataa kuoa na mafanikio Hana? Kama kutooa mapema ni vizuri kwanini miaka inafika 30 Bado kipato Cha kubangaiza?

Kuchelewa kuoa ni suala subjective.
Mi naona ukifika 40, huna life, hujaoa hapo ndo umechelewa.
Siku hizi life expectancy imeongezeka, unaoa uko 20+, unateseka na mke miaka 40+, what for?
Oa uko 30 + au 40, kama mnateseka iwe 20 years tu.
Kwanza, kuzaa ukiwa forties tayari ushajipata, watoto wanasoma vizuri, wanaishi kwao, mnaenda vacation, n.k na 20 years later watoto wamegraduate na wewe unastaafu.

Basi tu nimeoa nikiwa 30. Otherwise, ningepiga 40.
 
Well said.
Mwanamke yeye anakija kwako kutanua mipaja yake tuu.
Wee mume ndio ulipe ada, ujenge wewe umpendezeshe wewe
Wakwe uwahudimie wewe.
So pesa ndio nambari one factor kwa ndoa....huna hela bora ue delee na nyeto ya mlenda vuguvugu
Hii dhana nayo imeshapitwa na wakati.

Kuna wanawake wengi wamesoma, wana akili nzuri, wana careers nzuri, wana biashara nzuri. Wanatafuta wanaume wazuri waliotulia wenye akili nzuri. Wasio na mambo ya kishamba.

Sema ikiwa uko kwenye networks za watu masikini wajinga inawezekana usikutane nao hawa.
 
Sawa.

Lakini watu wasiotaka kuoa kwa sababu wanajiona wao ni masikini na hawataki kuoa na kuendeleza umasikini zaidi kwenye ndoa zao wana hoja.

Kuna watu wamekubali wao ni masikini, wamejikuta duniani tayari, labda wamezaliwa famikia masikini na hawana ujanja wa kutokankwenye umasikini, hilo hawana control nalo.

Lakini wamekataa kuoa na kuwaleta viumbe wengine hapa duniani, watoto, na kuwaweka kwenye mazingira ya kuendelea kwenye umasikini, kujikuta wamezaliwa kwenye famikia masikini.

Utapinga vipi hoja ya mtu kama huyo?
Nawaza labda jamii nzima ikiwaza hivi itakuwa anti-natalist, kisha tutatoweka

Kuleta watoto ni leap of faith, kutokuwa /kuwa na pesa hakumaanishi watapata/watakosa maisha bora kwenye utoto wao.
 
Hii dhana nayo imeshapitwa na wakati.

Kuna wanawake wengi wamesoma, wana akili nzuri, wana careers nzuri, wana biashara nzuri. Wanatafuta wanaume wazuri waliotulia wenye akili nzuri. Wasio na mambo ya kishamba.

Sema ikiwa uko kwenye networks za watu masikini wajinga inawezekana usikutane nao hawa.
Bro usijidanganye...mwanamke ata asome vipi ata awe billionea kidume majukumu ni yako.
Ukimpa mwanamke majukumu ujue ipo siku atakutia kidole mkundunizz.
U have been warned!
 
Nawaza labda jamii nzima ikiwaza hivi itakuwa anti-natalist, kisha tutatoweka

Kuleta watoto ni leap of faith, kutokuwa /kuwa na pesa hakumaanishi watapata/watakosa maisha bora kwenye utoto wao.

Watu hawataki kuleta watoto kwa bahati nasibu.

Kuna wanafalsafa kama David Benatar, muandishi wa "The Human Predicament: A Candid Guide To Life's Biggest Questions" wamechunguza masuala haya kifalsafa na kuhitimisha kuwa

1. Maisha kwa kiasi kikubwa ni matatizo tu, hata mafanikio ni mwanzo wa matatizo mengine. Na kuna matatizo mengi maishani hayana masuluhisho. Amenikumbusha wimbo wa Mbaraka Mwinshehe "Shida", jinsi Mbaraka Mwinshehe alivyoimba "Kila siku shida, shida haiishi mpaka siku ya mwisho".

2. Ukifikiria sana unaweza kuona solutions ni kujiua, lakini kujiua si kitu kizuri, mandhali ushazaliwa, pambana tu mpaka mwisho.

3. Lakini pia, kwa kuwa maisha ni shida tu, basi kuzalisha watu wengine waje kuishi ni kitu kisicho na maadiki, ni unethical. Yani sisi tumwjikuta kwenye mtego wa maisha ya shida halafu tunawaketa watu wengine waingie kwenye ntego huu makusudi?

4. Conclusion. Watu wapunguze kuzaa na eventually kizazi cha binadamu kitoweke kabisa. Shida zote zitakuwa zimeisha.

Hii faksafa imenikumbusha katika Buddhism wanasema all existence is suffering, the source of suffering is desire, eliminatw desire, you will cease existence and cease suffering, you will enyer Nirvana.

Maybe this is a metaphoric way if saying humans should cease the desire to procreate and eventually this will end up in non existence, which by definition will cease all human suffering.

It's a bit problematic for people who are attached to life and the preservation of the human race though.

It's like telling a patient with a deadly and troubling virus "I am going to give you this strong medicine, it will killal all tye viruses, it will kill all your organs, but you will die so you will no longer suffer".

Except the patient is the entire human race and the cure is its extinction.
 
Bro usijidanganye...mwanamke ata asome vipi ata awe billionea kidume majukumu ni yako.
Ukimpa mwanamke majukumu ujue ipo siku atakutia kidole mkundunizz.
U have been warned!
Umejaribu kuweka universal law kwa kitu ambacho si rahisi kukiwekea universal law hivyo.

Yani swali la nani ni mwanamke na nani si mwanamke tu sasa hivi ukitaka kwenda nalo kwa kina ni mgogoro, sasa wewe unawekaje universal law kirahisi hivyo?

Kuna jamii zinaondoka kwenye hizo habari za "majukumu ya mwanamme" sasa hivi. Ukiongea hizo habari unaonekana unasema "gender based roles". Unaonekana ni mshamba wa dunia ikiyopitwa na wakati.

Watu wengi huangalia wanawake wa jamii yao ya karibu na ku conclude wanawake wote dunia nzima ndiyo wako hivyo.

That is a hasty generalization logical fallacy.
 
Umejaribu kuweka universal law kwa kitu ambacho si rahisi kukiwekea universal law hivyo.

Yani swali la nani ni mwanamke na nani si mwanamke tu sasa hivi ukitaka kwenda nalo kwa kina ni mgogoro, sasa wewe unawekaje universal law kirahisi hivyo?

Watu wengi huangalia wanawake wa jamii yao ya karibu na ku conclude wanawake wote dunia nzima ndiyo wako hivyo.

That is a hasty generalization logical fallacy.
Ah haya bwana baki na zako siku ukitiwa dole la mkunduz na mkeonuje useme hapa.

Hao marekani mara mbili walikuwa na opportunity na kuweka mwanamke lakini wameona wamuweke fala trump...they not stupid bro!
 
Kuna wanafalsafa kama David Benatar, muandishi wa "The Human Predicament: A Candid Guide To Life's Biggest Questions" wamechunguza masuala haya kifalsafa na kuhitimisha kuwa

1. Maisha kwa kiasi kikubwa ni matatizo tu, hata mafanikio ni mwanzo wa matatizo mengine. Na kuna matatizo mengi maishani hayana masuluhisho. Amenikumbusha wimbo wa Mbaraka Mwinshehe "Shida", jinsi Mbaraka Mwinshehe alivyoimba "Kila siku shida, shida haiishi mpaka siku ya mwisho".

2. Ukifikiria sana unaweza kuona solutions ni kujiua, lakini kujiua si kitu kizuri, mandhali ushazaliwa, pambana tu mpaka mwisho.

3. Lakini pia, kwa kuwa maisha ni shida tu, basi kuzalisha watu wengine waje kuishi ni kitu kisicho na maadiki, ni unethical. Yani sisi tumwjikuta kwenye mtego wa maisha ya shida halafu tunawaketa watu wengine waingie kwenye ntego huu makusudi?

4. Conclusion. Watu wapunguze kuzaa na eventually kizazi cha binadamu kitoweke kabisa. Shida zote zitakuwa zimeisha.

Hii faksafa imenikumbusha katika Buddhism wanasema all existence is suffering, the source of suffering is desire, eliminatw desire, you will cease existence and cease suffering, you will enyer Nirvana.

Maybe this is a metaphoric way if saying humans should cease the desire to procreate and eventually this will end up in non existence, which by definition will cease all human suffering.

It's a bit problematic for people who are attached to life and the preservation of the human race though.

It's like telling a patient with a deadly and troubling virus "I am going to give you this strong medicine, it will killal all tye viruses, it will kill all your organs, but you will die so you will no longer suffer".

Except the patient is the entire human race and the cure is its extinction.
Have you ever wondered how that extinction would play out?

It seems impossible.
 
Ah haya bwana baki na zako siku ukitiwa dole la mkunduz na mkeonuje useme hapa.

Hao marekani mara mbili walikuwa na opportunity na kuweka mwanamke lakini wameona wamuweke fala trump...they not stupid bro!

Kutiwa kidole inawezeoana kabisa ikawa ni starehe ya mtu tu, usione hatari sana wala nini. Jadili hoja usiweke innuendo.

Kwa nini unawataja Marekani kuwa mfano wakati Marekani wanapitwa na nchi za Ulaya kwenye vigezo vingi tu vya elimu, afya, maisha bora, demojrasia, etc?

Mbona hujataja Finland ambayo inaipita Marekani kwenye mambo mengi, na imeshaongozwa na mwanamke?
 
Kutiwa kidoke inawezeoana kabisa ikawa ni starwhe ya mtu tu, usione hatari sana wala nini. Jadiki hoja usiweke innuendo.

Kwa nini unawataja Marekani kuwa mfano wakati Marekani wanapitwa na nchi za Ulaya kwenye vigezo vingi tu vya elimu, afya, maisha bora, demojrasia, etc?

Mbona hujataja Finland ambayo inaipita Marekani kwenye mambo mengi, na imeshaongozwa na mwanamke?
Walishaongoza dunia?
 
Tafuta mtu mwenye juhudi kama za kwako, unganeni na nguvu itaongezeka. Muwe tu na nidhamu ya pesa. Kumbuka kidole kimoja hakivunji chawa.
 
Have you ever wondered how that extinction would play out?

It seems impossible.
Why does it seem impossible?

"Before a revolution happens, it is perceived as impossible; after it happens, it is seen as having been inevitable.

Rosa Luxemburg"

Unaelewa kuna nchi ngapi duniani mpaka sasa zinashindwa kuzaliana na kufikisha replacement kevel, around 2.1 percent population growth?

Karibu 63% ya nchi za dunia nzima.

Tumeshaanza hii safari, watu hawajui tu.
 
Walishaongoza dunia?
Finland wanaishinda Marekani kwenye mambo mengi kama afya, elimu, demokrasia.

Marekani kuna wajinga wengi sana kwa asilimia, wajinga wana tabia ya ubaguzi wa kijinsia, inawezekana ndiyo sababu hawajawahi kuwa na rais mwanamke mpaka leo.

Msipende kutoa mifano ya Marekani kama vile Marekani inaongoza kila kitu duniani.

Marekani elimu ni biashara kubwa hivyo wajinga wengi, hawamudu kusoma.

Nchi za Ulaya kama Finland elimu si biashara wananchi wengi wanasoma na kuelimika.

Norway imekuwa na mawaziri wakuu wanawake zaidi ya mmoja. Norway imefanya vizuri sana kiuchumi, ina Sovereign Wealth Fund ambayo inamfanya mtoto anayezaliwa leo Norway awe tayari ana dola za Kimarekani 250,000.

Marekani hawana kitu kama hicho.

Sasa kwa nini unataka kuifanya Marekani iwe ndiyo standard by default?

Usiwe unakariri tu unakuja hapa kila siku "Marekani hivi, Marekani vile".
 
Hakuna uhusiano wa kuoa na kuwa na mafanikio.

Hakuna uhusiano wa kutokuoa na kutokuwa na mafanikio.

Mafanikio hayaji kwa kuoa ama kutokuoa.

Mafanikio hayaji kwa kufikia umri fulani.

Kuna wazee wana miaka zaidi ya 60+ wameoa na hawana mafanikio.

Kuna vijana wadogo hawajaoa na wana mafanikio makubwa. Mifano ni kama kina Lamine yamal, Kylian Mbappe na vijana wengine wengi ambao ni unpopular.

Kwanza kuoa sio lazima, na mafanikio ni dhana pana sana haina uhusiano wowote wa kuoa ama kutokuoa.
 
Hakuna uhusiano wa kuoa na kuwa na mafanikio.

Hakuna uhusiano wa kutokuoa na kutokuwa na mafanikio.

Mafanikio hayaji kwa kuoa ama kutokuoa.

Mafanikio hayaji kwa kufikia umri fulani.

Kuna wazee wana miaka zaidi ya 60+ wameoa na hawana mafanikio.

Kuna vijana wadogo hawajaoa na wana mafanikio makubwa. Mifano ni kama kina Lamine yamal, Kylian Mbappe na vijana wengine wengi ambao ni unpopular.

Kwanza kuoa sio lazima, na mafanikio ni dhana pana sana haina uhusiano wowote wa kuoa ama kutokuoa.
Kuoa, kutooa, kuwa na mafanikio, kutokuwa na mafanikio, kuoa kwa sababu ya mafanikio, kutooa kwa sababu ya mafanikio, kuoa kwa sababu ya kutokuwa na mafanikio, kutooa kwa sababu ya kutokuwa na mafanikio, kutojielewa umefanikiwa au hujafanikiwa na umataka kuoa au kutooa...

Zote hizo ni haki za kibinadamu za watu kuamua wanavyotaka.

Mtu aoe, asioe, kwa sababu yoyote, au bila sababu, afanikiwe, asifanikiwe, kwa sababu yoyote, au bila sababu, ni haki yake.

Kivyake.

Kwa nini nimfuatilie fuatilie kwenye haki yake ambayo ana faragha nayo binafsi?
 
Back
Top Bottom