Ukweli uliojificha, inakuwaje mtu anakataa kuoa na mafanikio Hana? Kama kutooa mapema ni vizuri kwanini miaka inafika 30 Bado kipato Cha kubangaiza?

Ukweli uliojificha, inakuwaje mtu anakataa kuoa na mafanikio Hana? Kama kutooa mapema ni vizuri kwanini miaka inafika 30 Bado kipato Cha kubangaiza?

Suala la kuoa lipo kidini zaidi wasio na dini haliwahusu

Kama unataka mtoto wako aoe au aolewe mlee kimazingira ya dini tofauti na hapo unatengeneza kataa ndoa
 
Kuchelewa kuoa ni suala subjective.
Mi naona ukifika 40, huna life, hujaoa hapo ndo umechelewa.
Siku hizi life expectancy imeongezeka, unaoa uko 20+, unateseka na mke miaka 40+, what for?
Oa uko 30 + au 40, kama mnateseka iwe 20 years tu.
Kwanza, kuzaa ukiwa forties tayari ushajipata, watoto wanasoma vizuri, wanaishi kwao, mnaenda vacation, n.k na 20 years later watoto wamegraduate na wewe unastaafu.

Basi tu nimeoa nikiwa 30. Otherwise, ningepiga 40.
Kujipata hakuna uhusiano na miaka mkuu
 
Kuoa, kutooa, kuwa na mafanikio, kutokuwa na mafanikio, kuoa kwa sababu ya mafanikio, kutooa kwa sababu ya mafanikio, kuoa kwa sababu ya kutokuwa na mafanikio, kutooa kwa sababu ya kutokuwa na mafanikio, kutojielewa umefanikiwa au hujafanikiwa na umataka kuoa au kutooa...

Zote hizo ni haki za kibinadamu za watu kuamua wanavyotaka.

Mtu aoe, asioe, kwa sababu yoyote, au bila sababu, afanikiwe, asifanikiwe, kwa sababu yoyote, au bika sababu, ni haki yake.

Kivyake.

Kwa nini nimfuatilie fuatilie kwenye haki yake ambayo ana faragha nayo binafsi?
Yeah mkuu.💯
 
Nani aliekuambia kuoa ni hela???una umri Gani wewe?

Airtime Yako ya mwaka mzima ni mahari tosha ya kupata mke

Ukiweka 1000×360 unapata mahali nzuri tu
Kuoa ni zaidi ya hivyo kataa ndoa wapo sahihi
 
Tatizo siyo kuoa bali tatizo nani wa kumuoa.Focused man and ragtag woman or vice versa inatengeneza hali ya mmoja kuishi kwa kumvumilia mwingine na hivyo sababu ya kuoa inapotea.Nitamwoa kwa sababu nimempenda,nampenda kwa sababu ananifurahisha:kwa lipi?
 
Back
Top Bottom