Ukweli unaoogopwa kusemwa kuhusu bwawa la umeme la Nyerere

1. Sio kweli kwamba wanapinga miradi ya Afrika tu wanaharakati wa climate change kina Greta Thurnberg ni mara ngapi wanafanya maandamano kupinga carbon emissions za mashirika makubwa? Mara ngapi wanafanya glue mikono Yao maeneo kadhaa Kama protests? So miradi yote ya fossil fuels inapingwa na wanaharakati duniani. Hata Messi tu alitolewa povu alipotumia ndege badala ya Basi kusafirisha familia yake!!

2. Demokrasia Ina misingi 11 embu niambie msingi hata mmoja ambao haufai kutumika Afrika. Tulikua tunatumia u chief lakini ulitusaidia Nini? Rwanda na Uganda Zina machief umeona ukabila uliopo? Demokrasia ndio imeleta uwajibikaji kwamba mafisadi yanaogopa mahakama, uchaguzi, bunge, ukaguzi n.k. when practiced to its fullness.
 

Unataka kunambia serikali mzima na viongozi wote ni vipofu wasione ulichokiona ww?

Sometimes tunatakiwa kuheshim maamuzi ya viongozi wetu, ndio maana wakawa viongozi

Maybe hata ww ungekuwa kwenye nafasi ya uongozi wa juu ungetumia zaidi ya hizo trion 11

Ishu ya miti au misitu, unataka kunambia ni msitu wa rufiji Tu ndio ulikuwa unaleta mvua?

Misitu mingapi ipo Tanzania?

Hapo kwenye swala la Gesi kuna sarakasi nyingi Sana ambazo watu wengi hawajui
 
Mbona Sasa mnalialia.

Gesi Ile ni mradi wa watu Wala sio watanzania. Gasi yenyewe Bei juu .. hakuna hata faida.

Siku tukipata tena mtu wa aina ya JPM tutafaida sana.

Hawa msoga wao ni watu wa deal tu.

Una uhakika gani umeme wa maji hautakuwa bei juu? Unajua terms za mkopo wa ujenzi wa hilo bwawa? Mbona ndege ni zetu, lakini nauli ni bei gali kulinganisha na fastjet? Acheni utapeli wa kijinga.
 
Una uhakika gani umeme wa maji hautakuwa bei juu? Unajua terms za mkopo wa ujenzi wa hilo bwawa? Mbona ndege ni zetu, lakini nauli ni bei gali kulinganisha na fastjet? Acheni utapeli wa kijinga.
Wivu tu ..

Mimba ya Mwendazake kiboko
 
Mkuu naona unachanganya kati ya steam power plant na gas power plant.
Kwenye gas power plant, gas inaunguzwa na kwenda moja kwa moja kuendesha turbine. Ni kama turbo charger inavyofanya kazi kwenye magari.

Ila steam power plant ndio ulivyoelezea hapo maji yanachemshwa kwa fuel yeyote either kwa makaa ya mawe, kuni, Uranium, mabaki ya miwa especially kwenye viwanda sukari etc.
 
1: Maji yatakauka ? Duh sasa yakikauka si tutakufa kabisa hata kabla ya kukosa giza ?

2: Ukame utakuja maji hayana uhakika gesi ndio uhakika ? ; Kwamba hio gesi ndio haitaisha ?

3: Tungekuwa na gesi mpaka ya kupikia ?; Hio gesi ingekuwa bei gani production cost na tunanunua kwa kiasi gasi ili tuuziwe kwa kiasi gani? Na hizo infrastructure za pipes mpaka majumbani kwa watu kule milimani ni kiasi gani and is it even feasible let alone doable ?

4: Sipingi energy mix ila hili Bwawa ndio the centre ya mambo yote na likitumika vizuri linaweza likatutoa hapa na kutupeleka pale....

 
Acha kumvisha maneno mama ambayo yeye hana,naona mlisubiri mradi ukwame mpate cha kusema ,sasa mradi unasonga mbele unakuja na brah brah mama hautaki ,ohh waziri hautaki.

Urais ni taasisi kama mama asingekuwa anautaka huu mradi basi taasisi ya urais ingemwambia.

Acheni kumlisha hisia na maneno rais wetu
 
Miradi mingi ya pesa nyingi Tanzani imejaa usiri na kwa vile Wananchi wetu ni matahira basi hakuna chochote cha ukweli tunaweza kufahamu zaidi ya hadaa za majukwaani za Wanasiasa na Rais.

Labda vizazi vyetu vikakuja kuhoji na kufanya maamuzi kwa sasa sisi tutulie tu tupelekeshwe na familia za Wanajeshi wastaafu za Kikwete,Makamba,Nnauye & Kinana.
 
Hawa jamaa wanatuona kama sisi hatuna akili kabisa tunaishi under control yao .Mambo mengi wanayo resist yana maslahi kwao na sio kwetu.Ki ukweli wenzetu hawa ndio number mojamoja kwa uharibifu wa mazingira nje ya huu wa kukata miti.

Wameharibu mazingira mpaka wametibua Ozon layer.....najiuliza tu kwa sauti uharibifu wa ozon layer causative ingekuwa nchi za kiafrika tungepata pa kupumulia?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Wewe bogus kaa kimya, mkaa unakatwa toka miaka ya 90 hadi leo. Lini mvua iliacha kunyesha? Una record ya miti million ngapi imekatwa toka 1991 hadi leo kwa ajili ya mkaa?
Alafu mwambie pia aende kule iringa aone mamilioni ya miti yanavyovunwa na mamilioni mengine kupandwa!

Hawa watoto wa miaka ya 90 kwa mujibu wa mama yao ni wa hovyo
 
Ghana ni roli mode wenu kwenye democrasia ila anafirisika!
 
Mradi wa umeme trillions 7.
Mradi wa reli,trillions 15.
Mikopo trillions-90

Makusanyo kwa mwaka USD 67 =15 trillions

Kwenye hayo makusanyo hujalipa mishahara ya civil servant,hujapeleka fedha za maendeleo na hujalipa deni la Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…