Ukweli unaoogopwa kusemwa kuhusu bwawa la umeme la Nyerere

Ni kweli umeme wa maji ni cheap, lakini uwekezaji wa huo mradi ni fedha za mkopo. Unajua terms za marejesho ya huo mkopo?

Kwani Magu aliwahi kuweka mkataba wowote wazi hadi uwe na imani naye kwenye mikataba?
Kwai umeme wa maji tumeingia na kampuni gani ambayo itazalisha huu umeme?

Maana huu mradi ni wa serikali hamna third part atakaye control huu mradi tofauti na wa gesi, je gas unacontrol nayo?
 
Kwai umeme wa maji tumeingia na kampuni gani ambayo itazalisha huu umeme?

Maana huu mradi ni wa serikali hamna third part atakaye control huu mradi tofauti na wa gesi, je gas unacontrol nayo?

Narudia tena, hizo ni fedha za mkopo, unajua masharti ya huo mkopo?
 
Narudia tena, hizo ni fedha za mkopo, unajua masharti ya huo mkopo?
Sasa fedha ya mkopo uliyokopa ww ambayo unaijua 6.5tn? na fedha ya Mwekezaji ipi ni nyepesi kurudi? Kwanza huna control na gasi yako, pili mwekezaji hata akisema katumia tn 100 huwezi kumkatalia.

Kuhusu mkataba mkopo sijauona ila najua tumekopa 6.5tn,vp ww unaye komaa na umeme wa gasi mikataba ya uzalishaji na ujengwaji wa vinu vyake gharama zake umeziona?
 
Tuongee tu UKWELI.
Kati ya mradi ambao utageuka na kuwa mzigo kwa Taifa ni pamoja na huu wa JNHP.
Mradi mwingine ni wa SGR, baada ya ule wa ndege.
Labda tuboreshe uwezo wetu wa kukabiliana na majanga!
 
Tuongee tu UKWELI.
Kati ya mradi ambao utageuka na kuwa mzigo kwa Taifa ni pamoja na huu wa JNHP.
Mradi mwingine ni wa SGR, baada ya ule wa ndege.
Labda tuboreshe uwezo wetu wa kukabiliana na majanga!
 

Ww una uhakika ni 6.5t?
 
Asali ni TAMU SANA
 
Punguzeni siasa kwenye mambo ya kitaalam,hivi wakati wanatandaza bomba la gesi kutoka urusi hadi ulaya magharibi huko hawakufyeka miti
Ehhh

Ova

Wewe ni mmoja wa wanafamilia wale 12 wanufaika wakuu wa rasilimali hizi?

Su japo mseme tu? Hii miti milioni 3 iliyokatwa huko mliipeleka wapi? Mliitupa baharini?

Au kama mliiuza, mliiuza wapi? Pesa nazo mkapeleka wapi?

Au mngependa tusiwaulize?

Uhuru wote wa majibu tumekupa na tutayazingatia.
 
Tuambie sababu za maji yanakauka
 
JPM alikuwa anawaza mbali sana yule mwamba. Bora kipi pesa zinazoibwa na akina makatani na mwenzie miguru au bora zipotelee kwenye mradi wa Watanzania wote na wanufaike wote.
Mimi hata pesa itumike matrions kwenye miradi kikubwa yenye tija inayoonekana sina tatizo kabisa. Acha pesa itumike kuliko inavyokwapuliwa
 
Uelewa wako ni mdogo
 
Yaah ninao 6.5tn,sababu hata kwenye magazeti walichapisha gharama tulizokopa. Vip ww wa gas na huyo mwekezaji?

Imebidi nicheke tu, eti hata kwenye magazeti wamechapisha. Kwani hayo magazeti yenyewe yanafanya uchunguzi wa ukweli wa kisemwacho, au wao wanaripoti tu wanachosikia toka kwa viongozi?
 
Imebidi nicheke tu, eti hata kwenye magazeti wamechapisha. Kwani hayo magazeti yenyewe yanafanya uchunguzi wa ukweli wa kisemwacho, au wao wanaripoti tu wanachosikia toka kwa viongozi?
So kwa hiyo ulitaka kuuona hebu ni ambie serikali gani duniani ishawahi kureveal mkataba kwa wananchi wake? Zaidi ya kuambiwa tumekopa kiasi gani kupiti kwenye vyombo vya habari.

Nitajie nchi yoyote kwa kinipatia reference (document)ya huo mkataba.
 
So kwa hiyo ulitaka kuuona hebu ni ambie serikali gani duniani ishawahi kureveal mkataba kwa wananchi wake? Zaidi ya kuambiwa tumekopa kiasi gani kupiti kwenye vyombo vya habari.

Nitajie nchi yoyote kwa kinipatia reference (document)ya huo mkataba.

Subiri Mkuu uambiwe hivyo hivyo.
 
Tutachukua mkopo himilivu wa mvua kutoka congo
 
Simple nitajie nchi moja ambayo ishawahi ku reveal mkataba wake kwa wanachi?

Wananchi ni bunge boss, kwa bahati mbaya hapa kwetu bunge ni kibogoyo. Ila mikataba yote kwa nchi zinazojitambua hupitia bungeni.
 
Na Mto Nile pia unaelekea kukauka! Ama sivyo?....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…