Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Kwani Rome, Dubai Tokyo, New York nk no zimejengwa siku moja?
Utawala wake ukiwa na umri wa 15 nchi iliingia vitani, vita ina gharama zake kuiendesha.
Mwanzo wa kuweka msingi/misingi una gharama zake Mwl alipambana na kuweka misingi kwa taifa.

62-24=38, hii miaka 38 warithi wake mmefanya nini ili kusawazisha hayo unayolalamikia?
Kwenye utawala wa mwl amepigana vita dhidi ya Uganda ninyi warithi wake ni vita ipi mmepigana?

Mwl amewasomesha akina BWM, JK, Edo Jasusi mbobevu A.k.a Maembe ili waje kulijenga taifa hao hao aliowasomesha wakaona hawatafanya ufisadi wao Mwl akiwa hai wakaamua kumleftisha,
Wakafanya ufisadi wa kutisha, Richmond na Dowans ,Ascrow, Meremeta nk nk wakabinafsisha mashirika ya umma kwa bei ya kutupa, viwanda wakaviua halafu unamlau mwl?
Mwl alisema tusomeshe kwanza vijana wetu ndipo gesi na madini yetu tuchimbe,
Mzazi watoto wako umewasomesha kwa kujifunga mkanda, wamemaliza masomo yao badala ya kuiendeleza familia na rasilimali za familia watoto hao hao wanangeuka wahujumu wa rasilimali za familia, hao hao wanamuua mzee wao ili wawe huru,
Hapo mzee ana kosa gani?
Hivi kati ya JK Senior na JK Junior nani aliye lihujumu hili taifa kwa ufisadi wa kutisha?
Au una chuki zako binafsi na mwl?
Mwl angefanya kila kitu?
Mwinyi Senior, Mkapa na huyo mnafiki wa Msg wao unasemaje juu yao?
Msitutoe kwenye ## Mkataba wa DP World na TPA hauna maslahi na taifa letu.
This is a weak argument.
Angola wamekuwa kwenye Civil war since 1975 mpaka 1991 ni miaka mingapi hapo?

Angola ikowapi sasa ukilinganisha na Tanzania?
GDP ya Angola mwaka 2022 ililuwa $124.79 billion. Huku Tanzania tulikuwa kwenye $70B.

Sasa niambie kuhusu Angola ambayo imemaliza vita mwaka 1991 na imetuzidi kwa kila kitu. What is a problem with us?
 
Ninyi watoto na wajukuu zake mmebadilisha kwenye hiyo katiba?
Zaidi sana KJ Junior alistahili kushitakiwa kwa kutumia mabilioni ya hela kwenye mchakato wa katiba mpya 2014 halafu akaufelisha mwenyewe,
Kuhusu katiba.
Mwalimu Nyerere alikuwa na nafasi kubwa mno ya kutengeneza nchi yenye katiba nzuri na yenye kujali wananchi.

Kwa miaka yote hiyo 24. Mwalimu Nyerere aliamua kuishi na katiba iliyokuwa inamlinda yeye. Alijiwekea madara yote bila kutenga.
Rais ndiye:-
1. Mkuu wa nchi
2. Mkuu wa serikali
3. Amiri jeshi mkuu.

Halafu Rais huyo anakuwa nguvu kubwa kwenye chama. Inakuwa ngumu kuweza kumdhibiti kwenye matumizi mabaya ya cheo.

Alishindwa nini kuweka kuwa Waziri Mkuu kuwa Mkuu wa serikali na raisi akabaki kuwa Mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu? Uwezo huo alikuwa nao lakini kwanini hakufanya hivyo?
 
Nyerere alifeli pakubwa sana ..kwanza kuanzisha mwenge hauna faida yeyote ..ni kumuabudu shetani tu, nchi kuzindikwa uko Lindi ni Nyerere na akina foroja ganze wachawi wakubwa. Ndio maana miaka 60 bado tunajenga vyoo vya shule, umeme wa kusua sua, maji masafi ni shida mpaka sasa.
upewe mic nahisi saut bado
 
Ndugu uthibitisho upo mkubwa tu kuonesha Tanzania ni taifa lililojengwa kwenye misingi ambayo siyo ya elimu.

Tunaona kabisa eti kiongozi wa kisiasa kigezo chake ni kujua kusoma na kuandika tu? Halafu kiongozi huyo ndiye anayetunga sheria!!!!

Huoni limejengwa taifa la namna gani?

Nimetoa mifano mingi tu. Kuna mikoa mingi mno hakukuwa hata na shule moja ya sekondari. Just imagin mkoa mzima hakuna shule ya sekondari.

Pili vijiji vingi tu wananchi walishindwa kusoma elimu ya shule ya msingi kutokana na kukosekana kwa shule. Na wengine walikufa kutokana na umbali wa shule. Yaani kata moja inakuwa na shule moja ya msingi tena iliyojengwa na wakoloni.

Hivi na jambo hili unataka kusifu? Kama mtu ali fail lazima tuseme ili tuweze kujua tulipoangukia.

Matokeo haya tunayoyaona ya vijana kuwa machawa ni ukosefu wa Elimu na mwasisi wa jambo hili ni Mwalimu Nyerere.
Dah! We jamaa, huyo ni mtukufu kwa wakatoliki. Huwa hasemwi vibaya...
 
Huyu ndio rais aliyeweza kulinda rasilimali zanchi kama leo hii rais ndani ya miaka 2 tu kashauza kila kila kitu tukimpa miaka 20 hii nchi itakuwa sio yetu tena tutarudi kwenye ukoloni
Haya ndiyo matokeo mabovu ya Nyerere kuwanyima elimu wabongo.Yaani unajazw ujinga eti nchi inauzwa,na wewe unaamini!
 
This is a weak argument.
Angola wamekuwa kwenye Civil war since 1975 mpaka 1991 ni miaka mingapi hapo?

Angola ikowapi sasa ukilinganisha na Tanzania?
GDP ya Angola mwaka 2022 ililuwa $124.79 billion. Huku Tanzania tulikuwa kwenye $70B.

Sasa niambie kuhusu Angola ambayo imemaliza vita mwaka 1991 na imetuzidi kwa kila kitu. What is a problem with us?
Tatizo lipo kwa warithi na si kwa waasisi,
Warithi baada ya kuona mapungufu yanayowakabili rekebisheni.
 
Kambona was a visionary leader, akapigwa uhaini.... tukamzomea.!
 
Asante kwa uchambuzi mzuri..
Hoja yako ni shule za sekondari au shule za msingi kama mada yako ilivyoanza?

Mimi ninaamini,kama ambavyo viongozi wetu wanatuambia siku zote, "Taifa halijengwi siku moja" kama hayo ni ya kweli,basi muasisi nae alifanya sehemu yake,waliofuatia nao wamefanya sehemu yao,maana hatujafika mwisho ndiyo maana hadi leo bado shule zinaendelea kujengwa.

Viongozi kujua kusoma na kuandika,ni jambo tunaloweza kulisahihisha hata kesho tukiamua,halihiitaji kumlaumu mtu aliyeongoza miaka mingi iliyopita.

Kwa ujumla Taifa hili ni letu sote,tukihitaji kulifanya kuwa Taifa bora ni sisi,tukitaka kuendelea hivi tulivyo bado ni maamzi yetu sisi hao hao
Kweli Taifa halijengwi siku moja, lkn ndo ukae madarakani miaka 24 unaacha baadhi ya mikoa haina sekondari hata moja kweli! Au mkoa mzima sekondari 2!!
 
Tatizo lipo kwa warithi na si kwa waasisi,
Warithi baada ya kuona mapungufu yanayowakabili rekebisheni.
Sasa ndipo tunarudi kwenye point. Nyerere alishindwa kuwa good succession plan kutokana na kuwanyima watanzania elimu.

Haiwezekani ukang'atuka tu kizembe kizembe na kuiacha nchi bila mfumo thabiti wa elimu.

Alishindwa kutengeneza viongozi badala yake alitengeneza machawa. Watu wenye elimu waliompa changamoto aliwamaliza.
 
Mwl alishatangulia mbele ya haki 24 iliyopita, je mtaendelea kumlaumu hadi lini?
Mtachukua hatua zipi au mtaendelea kutengeneza connection ya kufanya upigaji kwenye rasilimali za taifa badala ya kuwaendeleza watu ili walijenge taifa?
India wanashindana na Urusi kwenda kwenye Sayari nyingine, Watawala Tanzania wanasema watanzania hawawezi kuendesha Bandari.
Msingi wa taifa ni muhimu mno.
Kama taifa limejengwa katika misingi ya kuongea tu. Utekelezaji zero, taifa hilo litakuwa chini ya utumwa kwa miaka yote.

Nyerere alikuwa na nafasi kubwa mno ya kujenga taifa imara. Alikuwa na nafasi ya kuwapatia elimu watanzania.

Sijui kwanini alishindwa
 
Mwalimu Nyerere alitawala miaka 24. Niambie kwanini aliweza kujenga viwanja vya mpira kila mkoa? Kwanini aliweza kujenga ofsi za chama kila kijiji?

Alishindwa nini kuweka sera hata ya miaka 5 kujenga shule za sekondari kila kata kama alivyofanya Lowassa?

Yaani yapo mataifa mengi tu tulikuwa sawa nayo wakati tunapata uhuru lakini waliwekeza kwenye elimu. Nchi za Malaysia, Thailand nk.

Waliwekeza kwenye elimu. Alishindwa nini kujenga shule za msingi kila kijiji?
Hivi lowassa alitawala mwaka gani naomba unikumbushe mkuu, naona kila post" kama alivyofanya lowassa" " kama lowasa alivyojenga madarasa na shule kila kata" hivi hapa unamuongelea lowassa gani?
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Usimlaumu Nyerere,

Wavaa kobazi wengi Huwa hawajishughulishi na ilimu Dunia!!
 
Hivi lowassa alitawala mwaka gani naomba unikumbushe mkuu, naona kila post" kama alivyofanya lowassa" " kama lowasa alivyojenga madarasa na shule kila kata" hivi hapa unamuongelea lowassa gani?
Mzee shule za kata zilizojengwa nchi nzima zinaitwa shule za Lowassa.
 
Usimlaumu Nyerere,

Wavaa kobazi wengi Huwa hawajishughulishi na ilimu Dunia!!
Shule za msingi na sekondari zingejengwa kila kijiji, hakika kila mtanzania angekuwa na elimu.
 
Mzee shule za kata zilizojengwa nchi nzima zinaitwa shule za Lowassa.
Isingekuwa njozi ya Lowasa shule za Kata , hii inch ingekuwa na Hali mbaya zaidi ya ilipo hapa , Taifa hili Lina wapumbavu na wajinga wengi , majitu yameishia la Saba , form two , au form four, sio rahs kutambua wajibu wa serikali , jitu likipata sent mbili tatu linaanza kutukana wasomi
 
Shule za msingi na sekondari zingejengwa kila kijiji, hakika kila mtanzania angekuwa na elimu.
Nyerere asilaumiwe, ametutoa mbali,

Na Elimu ilikuwa Bora sana,

Saizi shule kibao Elimu IPO chini, watoto wanashindishwa njaa Hadi jioni hata uji hamna!!
 
Isingekuwa njozi ya Lowasa shule za Kata , hii inch ingekuwa na Hali mbaya zaidi ya ilipo hapa , Taifa hili Lina wapumbavu na wajinga wengi , majitu yameishia la Saba , form two , au form four, sio rahs kutambua wajibu wa serikali , jitu likipata sent mbili tatu linaanza kutukana wasomi
Ila hizo shule huku mikoani zinafahamika kama shule za kata hata huyo lowasa watoto wa miaka ya 2000 hawamjui.
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Ukweli mchungu sana mtikila alisema unyani ni tatizo la waafrika
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...

Yaani mpaka na uzee huu. Bado mnamlaumu mtu ambaye alikufa karibu miaka 25 iliyopita.
 
Back
Top Bottom