Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ndio maana nasema kipindi chake elimu ilikuwa bahati mzee. Haikuwa haki ya watanzania wote.

How many people like mhongo wapo. Na hawa wamekuwa machawa tu, kutokana na kuishi katika nchi isiyo na misingi bora ya elimu.

Kila mwaka sera za elimu zinabadirika. Hakuna msimamo wowote kwenye elimu ya mtanzania. Hii nikutokana na muweka maono ya nchi kukosa dira ya elimu katika nchi yake.


Kwa hili la elimu Nyerere ali fail.
Kwa elimu hakufeli kwani baada ya Uhuru alipeleka watu wengi kusoma ubinafsi wetu ndio tatizo .
 
Wakati tunapata uhuru 1961 population ya Watanzania ilikuww 10.3m.

Miaka 24 ya utawala wa mwalimu Nyerere hakuweka kipaumbele kwenye elimu. Utaratibu ulibaki uleule mpaka leo. Eti kiongozi wa kisiasa sifa yake ni kujua kusoma na kuandika tu!!!

Mtu hajui hata sera za nchi, hajui hata international politics, hajui hata Historia ya taifa lake, hajui hata jiografia anakuwa Kiongozi. Alishindwa kuwapa kipaumbele viongozi wa kisiasa ili kwamba yeye aendelee kutawala tu.

For 24 years alishindwa kuweka utaratibu mzuri wa upatikanaji wa viongozi. Mpaka leo hii zimwi hili linatumaliza. Unakuta mtu anachaguliwa kuwa mbunge hajui chochote kuhusu nchi hii.

Ni hatari mno.
Nyerere hayupo tena, kama mmeshindwa kutatuta changamoto zenu kwa sasa jilaumuni wenyewe.
 
Kuhusu katiba.
Mwalimu Nyerere alikuwa na nafasi kubwa mno ya kutengeneza nchi yenye katiba nzuri na yenye kujali wananchi.

Kwa miaka yote hiyo 24. Mwalimu Nyerere aliamua kuishi na katiba iliyokuwa inamlinda yeye. Alijiwekea madara yote bila kutenga.
Rais ndiye:-
1. Mkuu wa nchi
2. Mkuu wa serikali
3. Amiri jeshi mkuu.

Halafu Rais huyo anakuwa nguvu kubwa kwenye chama. Inakuwa ngumu kuweza kumdhibiti kwenye matumizi mabaya ya cheo.

Alishindwa nini kuweka kuwa Waziri Mkuu kuwa Mkuu wa serikali na raisi akabaki kuwa Mkuu wa nchi na Amiri jeshi mkuu? Uwezo huo alikuwa nao lakini kwanini hakufanya hivyo?
Hili ndio tatizo na ndio lilitakiwa kuwa bandiko la mada. Mtuhumiwa wa pili ni Ccm, mana baada ya Nyerere kuondoka wanaofuata wote ni vile vile.
 
UALIMU PASIPO ELIMU
Hiki ndicho kituko kingine alichokifanya mwalimu.

Utawafundishaje watu wewe huna elimu? Nyerere alikuwa nataka ku reinvent the wheel.

Ukweli ni kwamba alikuwa na kila namna ya kujenga nchi ya wasomi. Kulikuwa na nchi nyingi tu zilizokuwa zina mu support. Angeweza hata kupeleka watu wake wakajifunzo huko namna ya kufundisha.

Just imagine kama angeweza kupeleka watu watu 10 kila kijiji wakaenda kusomea ualimu kwa miaka miwili miwili. Maana yake kipindi cha miaka miwili angekuwa na walimu 200,000.

Sasa unakuja na sera ya UPE what a failure.
Yani umeitafsiri UPE kimtaani taani kama wale wanaotafsiri SU - soma ule..
 
Hayo yote hayakusaidii. Pambana na hali iliopo sasa ili kuwe na kesho bora kwa wanao. We umekalia kumlaumu marehemu tu itakusaidiaje kwa mfano?
Nyie ndio ambao mnataka wakina Mbowe waandamane on your behalf huku nyie mmekaa tu kama mazombi.
 
Hoja ya kipumbavu kabisa.

Hivi karne hii lugha nayo ni shida?

Watanzania wameshindwa kufanya nini kwa sababu ya kutokujua kingereza?

What an idiot.
Huyu jamaaa nimpumbavu wa mwisho na ndo hahaha hawahawa unakuta ccm imewaweka mbele waje kujibu hoja za bandari,,,,,mkorea anakuja juu kitekinolijia je anatumia lugha gani???mhindi juzi karusha kiroketi mwezini vip Ali alirushia kingereza???mtazame mchina anavoukimbiza ulimwengu je anatumia kingereza??mtazame mfaransa mtazame mjerumani,,,,,tena ktk maeneo tunawapoteza watoto wenye vipaji niswala lakwamba mtoto akifika secondary abadilishe lugha
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Kawaida ya watu wavivu hutafuta sehemu ya kutolewa lawama zao.
 
Asante tena kwa uchambuzi mzuri...

Msingi wa watu wanaojiamini,msingi wa watu wenye elimu nzuri...nadhani hapa hauongelei tena idadi,bali aina ya elimu ya hao wachache waliyoipata.

Ni kipindi hicho cha Nyerere mtu akipata elimu,unaiona elimu yake wazi wazi,kuliko elimu hii ya sasa ambayo wengi wanaingia shule wakiwa wajinga,wanatoka wakiwa wajinga vile vile..wanafaulu div 1 za kutosha lakini unapomsikiliza unamuona elimu hajaipata sawasawa.

Elimu ya kipindi hicho,serikali iliibeba elimu kama wajibu wake wa msingi,mtu atapata huduma zote za elimu bure hadi chuo kikuu,leo hii elimu inaendeshwaje? ,hatushudii wanafunzi wanashinda na njaa shuleni kutwa nzima,huku serikali ikilazimisha wazazi wachangie chakula,wazazi wasipo changia chakula hicho wanafunzi wanashinda na njaa kutwa nzima...

Rungwe mzee wa ubwabwa amekuwa akiishangaa serikali inapelekaje mtoto shule bila kumhakikishia kuwa atakula?

Hoja yako kubwa naiona ni kuihamasisha serikali iboreshe elimu na siyo kukazania kuongeza idadi ya vituo vya watoto kwenda kukua huku wakiviita vituo hivyo shule
Ndugu yangu. Mimi nipo pale pale tu.
Sijahama kokote naongelea Elimu.

Unaongelea ubora wa elimu!!!! Nakushangaa sana ndugu yangu unapoanza kuwalaumu viongozi wa sasa hivi.

Nyerere hakuweka dira ya elimu kwa Tanzania. Watu wengi waliosoma kipindi cha Mwalimu eidha walikuwa chini ya shule za kidini au walipata support kutoka kwa viongozi wa dini.

Ndugu yangu sijui umri wako na sijui ni wapi wewe umekulia.

Nimekuoa mifano mingi tu, na kwa hali ilivyo sasa. Mikoa kama ya Kilimanjaro na Kagera iliweza kuwa na wasomi wengi kutokana na kuwepo kwa shule zilizojengwa na wakoloni.

Mikoa mingine kama Lukwa, Kigoma, Lindi nk watu walikuwa duni hawakuweza kupata elimu. Matokeo yake watu wa huko hawana elimu na wanaishi tu.

Je, ilshinda nini kujenga shule za msingi kila kijiji na kuachana na kujenga ofsi za chama?

Ilshinda nini kujenga vyuo vya ufundi stadi kila mkoa na kuachana na kujenga viwanja vya mpira?
 
Nyerere ameacha nchi ikiwa bikra kabisa bila kuiba chochote.

  • Ameacha madini
  • Ameacha misitu
  • Ameacha mashirika yaumma zaidi ya 400

- Ameacha viwanda lukuki, vingunguti ilikuwa imechangamka.

- ameacha nchi moja.

Waluofuata wamefanya nini, zaidi ya kugawana keki ya taifa, kugawia watoto wao na machawa??!!
Mzee kuacha madini kisha kuacha taifa lisilo la elimu ya kuyachimba hayo madini tuite ni nini hiyo?

24yrs umeshindwa kusomesha watu wako waweze kuwa na utaalam wa madini tunaita ni faida? Ilimshinda nini kujenga vyuo kila mkoa na ndanj yake wanafundisha taaluma ya madini? Kwanini aliweza kujenga viwanja vya mpira kila mkoa?

Ukweli ni kwamba elimu haikuwa kipaumbele kwake.
 
WATU HAWATAKI KABISA MUNGU WAO NYERERE AGUSWE🤡

Mkosoe Mwinyi wataona sawa, mkosoe Mkapa napo sawa, mkosoe Jakaya napo sawa, mkosoe Magufuli pia sawa, mkosoe Samia pia wanao sawa anastahili kukosolewa tena sana ila mkosoe Mungu wao mchonga meno uone jinsi watavyoweweseka na kugadhabika🤡 kweli propaganda za mchonga kuwa ni mtakatifu zilifanya kazi na zinafanya kazi 🤡
 
Kipindi cha Nyerere ambapo watu walikuwa wajinga na leo nyie werevu mmefanya nini ?

Hao wanaolikoroga huko juu ni wajinga ? Au unataka mkulima / peasant kijijini anayetimiza wajibu wake kutulisha afanye nini ? Aandamane ?

Elimu unapewa au unaitafuta ? Bora kipindi kile kuna grant leo hii hata ukiwa vizuri kichwani huenda unakosa so called mkopo....

By the way don't let schooling interfere with your education..., mambo yanabadilika elimu ni wewe kuweza ku-deal na mazingira yako na watu wenyewe huku chini wanatimiza wajibu wao wanaotuharibia ni hao so called educated waliobadilika kuwa madalali
 
Ndio maana nasema kipindi chake elimu ilikuwa bahati mzee. Haikuwa haki ya watanzania wote.

How many people like mhongo wapo. Na hawa wamekuwa machawa tu, kutokana na kuishi katika nchi isiyo na misingi bora ya elimu.

Kila mwaka sera za elimu zinabadirika. Hakuna msimamo wowote kwenye elimu ya mtanzania. Hii nikutokana na muweka maono ya nchi kukosa dira ya elimu katika nchi yake.


Kwa hili la elimu Nyerere ali fail.
Kipindi cha Nyerere ile education for self reliance ilikuwa ni bora kuliko hizi elimu za phd za kukwapua !! Dili dili kila kona !
 
Kipindi cha Nyerere ambapo watu walikuwa wajinga na leo nyie werevu mmefanya nini ?

Hao wanaolikoroga huko juu ni wajinga ? Au unataka mkulima / peasant kijijini anayetimiza wajibu wake kutulisha afanye nini ? Aandamane ?

Elimu unapewa au unaitafuta ? Bora kipindi kile kuna grant leo hii hata ukiwa vizuri kichwani huenda unakosa so called mkopo....

By the way don't let schooling interfere with your education..., mambo yanabadilika elimu ni wewe kuweza ku-deal na mazingira yako na watu wenyewe huku chini wanatimiza wajibu wao wanaotuharibia ni hao so called educated waliobadilika kuwa madalali
You nailed it. ! 🙏🙏
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu Watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.
We dogo Venus Star , una jina zuri la nyota ya Zuhura ila tatizo ni akili finyu!

Baada ya kupata uhuru, ile 1961 Mwalimu Nyerere alipambana sana
1. UJINGA
Elimu ilikuwa inalipiwa hivyo walioweza kuendelea na masomo ni watu wa mikoa yenye mazao ya biashara pekee, Mbeya, Bukoba, Arusha na Moshi - Kahawa. Tanga- Katani, Mwanza - Pamba. Tabora- Tumbaku. Mikoa isiyo na mazao ya biashara, Singida, Dodoma, Pwani na Kusini, ni Shule za Mission zimeokoa jahazi!.

Mwalimu akatangaza elimu bure mpaka chuo kikuu!.

Akakuta wanaofaulu na kuingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale the big 5, Wachagga, Wahaya, Wapare, Wanyakyusa, na Wasukuma

Akabadili cut off points za kuingia sekondari kwa mikoa tofauti tofauti ili kila Mtanzania asome.

Baadhi ya makabila ya bushmen kama Wataturu, Wasandawi, Wabarbaig, walikamatwa kwa nguvu na kusomeshwa chini ya ulinzi mkali hadi form IV wote waliishia kupata zero, na waliporudishwa kwenye jamii zao wakazibadili.


Mwalimu Nyerere akaanzisha elimu ya watu Wazima kisomo cha ngumbaro Luna wakati Tanzania ndio tulikuwa na the highest literacy levels Africa!.

Mwalimu alianzisha Elimu ya Kujitegemea, Elimu ni Kazi etc ili Watanzania waelimike.
2. UMASKINI
Mwalimu alianzisha kampeni mbalimbali za Siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, Vijiji vya Ujamaa, alitaifisha kila kitu kuwa mali ya umma, akaanzusha viwanda kila mkoa.

3. MARADHI

Mwalimu Nyerere alitoa bure huduma za Afya.

Tulikuwa tunakwenda vizuri mpaka yule mshenzi nduli Amini alipotuvamia ile 1978 Taifa likaingia vitani kwenye vita vya Kagera ndio sasa tukaharibikiwa.

P
 
Huyu huyu Nyerere alilea Dini yake ya ukatoliki kwa kukandamiza madhehebu mengine ya kikristu, mpaka wakatoliki wanajiona wana steki kubwa kufanya uamuzi zaidi ya dini zingine kuhusu serikali, kimya kimya alikua ana promote ukatoliki serikalini kwa kuwapa vyeo mbali mbali na huku nje anaonyesha iko sawa kwa wote, Nyerere alikua Mdini wa chini chini.
NAKAZIA NA KUKAZIA KABISA
 
Mwl alifeli pia kwa kukitukuza kiswahili na kukipromote kuwa lugha ya taifa .
Tunetengeneza taifa ambalo lipo isolated sana na dunia. Watu wanahitaji akina mkandara kutafsiriwa cnn english news.
Warusi wanaongea Kirusi, wachina wanaongea kichina kwanini sisi kuongea kiswahili ionekane ni kosa
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Niseme japo kwa kifupi kuhusu lawama zako kwa mwalimu hayati JK Nyerere juu ya elimu ya Tanzania.

Mwalimu alipokea nchi toka kwa wakoloni ikiwa na kundi dogo sana la wasomi, na kundi jingine dogo la wanaojua kusoma na kuandika tofauti na majirani zetu.

Kazi ya kwanza ilikuwa ni kupunguza kundi la wasiojua kusoma na kuandika ambalo lilikuwa kubwa zaidi.

Akawa na kazi ya pili ya kuwasomesha vijana watakaosaidia katika idara nyeti kama madaktari na wahandisi. Kumbuka nafasi tunapopata uhuru zilikuwa zimeshikwa zaidi na wageni japo na wenyeji kidogo walikuwepo.

Haikuwa kazi rahisi kwa uchumi wa wakati huo kutoa elimu ya juu kwa watu wengi. Lakini alipambana kujenga shule za msingi,sekondari na chuo kikuu ili kuongeza idadi ya wasomi.

Alitumia wasomi wa idara mbalimbali kama walimu katika maeneo yao. Kwa mfano walimu mahali popote walipo walitakiwa kufundisha si tu wanafunzi, bali hata watu wazima katika eneo hilo japo wajue kusoma na kuandika.

Aliandika vitabu vya elimu ya watu wazima kwa mkono wake na wadau wengine, vikiwa na taaluma mbalumbali kama upishi, ufundi nk.

Kama haitoshi, ili kukuza kwa haraka elimu kwa wananchi, alianzisha mpango wa UPE (universal primary education), mpango ambao umerudiwa na Rais Magufuli. Mpango huu ndiyo ulioipa Tanzania sifa ya kuwa na wananchi wengi wanaojua Kusoma na Kuandika katika bara la Afrika mwishoni mwa miaka ya 70 hadi mwanzoni mwa miaka ya 80.

Kifupi mwalimu alipambana sana kuiinua Tanzania. Kumbuka haikuwa rahisi kutokana na mabeberu kuwakandamiza waafrika kupunguza kundi la wasomi wasijeleta upinzani wanapotaka kutunyonya.

Kama unaweza kujifunza, jifunze kwanini viwanda vya vyetu vilijengwa kisha vilikufa kwa haraka sana. Moja ya sababu ilikuwa ni kukosa vipuli na nguvu kazi (wataalam) kutokana na wazungu kugoma kuendeleza wataalamu wetu na kutuuzia vipuli.

Kama siyo juhudi zake Nyerere, tungekuwa na maisha kama ya Kenya. Sipati picha ingekuwaje.


Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
We dogo Venus Star , una jina zuri la nyota ya Zuhura ila tatizo ni akili finyu!

Baada ya kupata uhuru, ile 1961 Mwalimu Nyerere alipambana sana
1. UJINGA
Elimu ilikuwa inalipiwa hivyo walioweza kuendelea na masomo ni watu wa mikoa yenye mazao ya biashara pekee, Mbeya, Bukoba, Arusha na Moshi - Kahawa. Tanga- Katani, Mwanza - Pamba. Tabora- Tumbaku. Mikoa isiyo na mazao ya biashara, Singida, Dodoma, Pwani na Kusini, ni Shule za Mission zimeokoa jahazi!.

Mwalimu akatangaza elimu bure mpaka chuo kikuu!.

Akakuta wanaofaulu na kuingia sekondari ni watoto wa makabila yale yale the big 5, Wachagga, Wahaya, Wapare, Wanyakyusa, na Wasukuma

Akabadili cut off points za kuingia sekondari kwa mikoa tofauti tofauti ili kila Mtanzania asome.

Baadhi ya makabila ya bushmen kama Wataturu, Wasandawi, Wabarbaig, walikamatwa kwa nguvu na kusomeshwa chini ya ulinzi mkali hadi form IV wote waliishia kupata zero, na waliporudishwa kwenye jamii zao wakazibadili.


Mwalimu Nyerere akaanzisha elimu ya watu Wazima kisomo cha ngumbaro Luna wakati Tanzania ndio tulikuwa na the highest literacy levels Africa!.

Mwalimu alianzisha Elimu ya Kujitegemea, Elimu ni Kazi etc ili Watanzania waelimike.
2. UMASKINI
Mwalimu alianzisha kampeni mbalimbali za Siasa ni kilimo, kilimo cha kufa na kupona, Vijiji vya Ujamaa, alitaifisha kila kitu kuwa mali ya umma, akaanzusha viwanda kila mkoa.

3. MARADHI

Mwalimu Nyerere alitoa bure huduma za Afya.

Tulikuwa tunakwenda vizuri mpaka yule mshenzi nduli Amini alipotuvamia ile 1978 Taifa likaingia vitani kwenye vita vya Kagera ndio sasa tukaharibikiwa.

P
Najua ndugu yangu Pascal Mayalla bado kumbukumbu unayo baada ya kukutandika kwenye andiko lako la kuwalaumu TEC huku ukitumia andiko la kwenye biblia. Ninauhakika ulijifunza kitu.

Sasa turudi kwenye mada hii.

Mwalimu Nyerere alikuwa ni mzuri sana wa kuanzisha misemo, lakini kwenye utekelezaji ilikuwa big zero.

Swali langu kwako ni dogo tu. Je, Mwalimu ilimshinda nini kujenga shule za msingi kila kijiji na badala yake akajenga ofsi za chama?

Halafu Nyongeza, hivi lengo la UPE ilikuwa ni nini? Kweli alishindwa kuchukua vijana kumi kumi kila kijiji na kwenda kuwasomesha kwenye nchi rafiki? Maana kama una vijiji 20,000 ukichukua vijana 10 kila kijiji utakuwa na wasomi wa ualimu 200,000.

Cha mwisho, ilimshinda nini kujenga shule za ufundi kila mkoa na badala yake kujenga viwanja vya mpira wa miguu?

Hitimisho, Nyerere hakuws na lengo zuri la elimu kwa nchi yetu.
 
Nyerere unamuonea bure.

Nyerere amekuta nchi iko so disorganized, magonjwa, ujinga, umaskini wa kutupwa na ukabila

Nyerere alikua na mlima mrefu sana wa kupanda, kwanza kuhakikisha chembechembe za ukabila zinakufa na kuleta umoja, kupambana na ujinga, kuhakikisha watu wanajua hata kusoma na kuandika. Ulitaka awape elimu gani kama hata kusoma na kuandika hawajui? Ulitaka awape elimu ya uraia wakati hata kusoma hawajui?

Mwalimu kakuta pepopunda, surua, polio, kifua kikuu, kifaduro, kwashakoo na magonjwa mengine yametamalaki kwa watanzania, ulitaka awape alimu ya uraia huku akiwaacha wafe?

Mwalimu kakuta Watanzania ni mafukara wa kutupwa, hawana matumaini ya kesho, akaanzisha vijiji angalau wawe pamoja ili iwe rahisi kuwaletea maendeleo kwa sababu walikua so scattered and disorganized, akaanzisha mashamba ya ushirika ama sustainable farming, akahakikisha anapeleka watu shule wakasome waje wampokee ma kubadilisha nchi kina Chenge na wengine, matokeo yake, wamekua wezi.

Nyerere alipigana kuanzisha viwanda, mashamba ya vijiji, na mambo mengine mengi bila kuuza ardhi hata kipande kimoja kwa waarabu wala wazungu.

That man died poor, had nothing kwa kuwapigania Watanzania

Na alivyokua mwema yule bwana, alipotoka madarakani aliangalia nyuma, akaona failures zake na success zake, akakiri kwamba kweli kuna mahala alifeli, na sababu kubwa za failure za mwalimu zilikua nje ya uwezo wake, kumbuka oil crisis and financial crisis za 70s and 80's.

Yule jamaa alipoona he can continue failing, akajipumzikia yeye mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote. Angeweza kufia madarakani.

Tukubaliane kwamba CCM ndio ya kulaumiwa, ila kumpa Nyerere zigo la lawama ni kumuonea. Yule bwana aliachia hii nchi miaka zaidi ya 35 iliyopita, hao wengine waliofuata walifanya nini?
Ukabila gani alioukuta?
 
Back
Top Bottom