Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Ukweli usemwe: Aliyeharibu nchi hii ni Mwalimu Nyerere kwa kushindwa kuwapa Watanzania Elimu

Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
UPUUZI MTUPU - POROJO TU
 
Sitengenezi mazingira ya kubishana, nazungumzia niliyoshuhudia kwetu ambako naona tofauti kubwa na baadhi ya maeneo walikoendekeza midundiko, vigodoro na cherekochereko
Mzee unaweza kujifariji lakini kusema ukweli Tanzania ni moja ya mataifa yenye watu wasio na elimu.

Lakini takwimu zipo kwenye mtandao. Literacy rate ya Tanzania miaka ya 1970 to 1980s ilikuwa haifikii hata 50%. Inamaana zaidi ya nusu ya watanzania walikuwa bado hawana elimu.
 
Ningeshangaa sana usingekuja na hizi lawama na chuki yako kwa Kanisa Katoliki.Unaleta chuki zako kwa Kanisa Katoliki kwa kujifanya unayatetea madhehebu mengine ya Kikristu kumbe deep down unachuki kubwa na Ukristo na unatamani hata hii Nchi ingekuwa ni ya Ki Islam tu.Tuzoee tu,kanisa Katoliki lipo na huwezi kulifuta na hayo makanisa mengine yataendelea kuwepo na jifunze kuishi kwa uhalisia huu.
Mkuu sijaongelea hapa dini ya kiislamu acha kuingiza dini ya wstu katika mijadala. Kwani wasabato sio wa Kristo? Acha kubaguwa madhehebu ya wengine plz
 
Kuendelea kumlaumu Nyerere miaka 60 baada ya uhuru ni sawa na kumlaumu babu yako for your failures. Baba yako had an opportunity na wewe ushakua mtu mzima you can correct them as well. Cheap excuses ndo zinafanya muendelee kuwa hapo mlipo.
 
Nyerere unamuonea bure.

Nyerere amekuta nchi iko so disorganized, magonjwa, ujinga, umaskini wa kutupwa na ukabila

Nyerere alikua na mlima mrefu sana wa kupanda, kwanza kuhakikisha chembechembe za ukabila zinakufa na kuleta umoja, kupambana na ujinga, kuhakikisha watu wanajua hata kusoma na kuandika. Ulitaka awape elimu gani kama hata kusoma na kuandika hawajui? Ulitaka awape elimu ya uraia wakati hata kusoma hawajui?

Mwalimu kakuta pepopunda, surua, polio, kifua kikuu, kifaduro, kwashakoo na magonjwa mengine yametamalaki kwa watanzania, ulitaka awape alimu ya uraia huku akiwaacha wafe?

Mwalimu kakuta Watanzania ni mafukara wa kutupwa, hawana matumaini ya kesho, akaanzisha vijiji angalau wawe pamoja ili iwe rahisi kuwaletea maendeleo kwa sababu walikua so scattered and disorganized, akaanzisha mashamba ya ushirika ama sustainable farming, akahakikisha anapeleka watu shule wakasome waje wampokee ma kubadilisha nchi kina Chenge na wengine, matokeo yake, wamekua wezi.

Nyerere alipigana kuanzisha viwanda, mashamba ya vijiji, na mambo mengine mengi bila kuuza ardhi hata kipande kimoja kwa waarabu wala wazungu.

That man died poor, had nothing kwa kuwapigania Watanzania

Na alivyokua mwema yule bwana, alipotoka madarakani aliangalia nyuma, akaona failures zake na success zake, akakiri kwamba kweli kuna mahala alifeli, na sababu kubwa za failure za mwalimu zilikua nje ya uwezo wake, kumbuka oil crisis and financial crisis za 70s and 80's.

Yule jamaa alipoona he can continue failing, akajipumzikia yeye mwenyewe bila kulazimishwa na mtu yeyote. Angeweza kufia madarakani.

Tukubaliane kwamba CCM ndio ya kulaumiwa, ila kumpa Nyerere zigo la lawama ni kumuonea. Yule bwana aliachia hii nchi miaka zaidi ya 35 iliyopita, hao wengine waliofuata walifanya nini?
Usitake kuleta utetezi usio na maana, Nyerere kachukua Nchi kutoka Kwa mkoloni Iko organized na Ina miundombinu yote yeye kaiz yake ilikuwa ni kuifanya iwafaidishe wote.

Sasa yeye akaanza na swaga zake za ujamaa na ukombozi wa Africa,kazunguka Dunia nzima sijui alikuwa anafafuta nini.

Kuna Nchi Nyarere hajakanyaga Dunia hii?
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Naunga mkono hoja 💯💯
 
Haya madhaifu tukubaliane kwmaba sisi ndio tumeshindwa kutarekebisha. Nyerere alishaiacha nchi miaka mingi na alishakufa.

Sasa badala tupambane kurekebisha makosa waliyofanya waliotutangulia, tunabaki kuwalaumu, sisi tumefanya nini?

Tuseme Nyerere alikosea, mwinyi alishindwa nini, mkapa alishindwa nini, kikwete alishindwa nini, Magufuli alishindwa nini na Samia atashindwa tena.

Ama unataka kusema hatima ya hii nchi ilikua kwa Nyerere tu, yeye ndie aliepaswa kufanya kila kitu, ajenge shule nchi nzima, ajenge barabara nchi nzima, ajange vyuo vikuu nchi nxima kila mkoa, hospitali kama za Apolo kila kata, fluovers kila kijiji, katiba nzuri kuliko ya Marekani, maji kila nyuma, umeme kila nyumba, sio?
Sas Kwa nini umtoe kwenye lawama na ameongoza miaka 25?
 
Mkuu sijaongelea hapa dini ya kiislamu acha kuingiza dini ya wstu katika mijadala. Kwani wasabato sio wa Kristo? Acha kubaguwa madhehebu ya wengine plz
Wewe mada inahusu mapungufu ya Mwalimu Nyerere katika uongozi,Kanisa Katoliki limeingiaje hapo? Unajifichia kwa mgongo wa kuyasemea makanisa mengine wakati kwa nyuzi kibao tu nakujua misimamo yako Vs Ukristo kwa ujumla wake.Jikite kwa mada na liache Kanisa Katoliki pembeni kama ni hivyo.
 
Wewe mada inahusu mapungufu ya Mwalimu Nyerere katika uongozi,Kanisa Katoliki limeingiaje hapo? Unajifichia kwa mgongo wa kuyasemea makanisa mengine wakati kwa nyuzi kibao tu nakujua misimamo yako Vs Ukristo kwa ujumla wake.Jikite kwa mada na liache Kanisa Katoliki pembeni kama ni hivyo.
Angola asilimia kubwa ni wakatoliki. Wamekaa kwenye vita kuanzia 1975 mpaka 1991. But kwa sasa uchumi wao ni mkubwa kuzidi wetu kwa mbali tu.

Kuanza kulaumu kanisa kwa madhaifu ya kwake Nyerere binafsi ni kutowatendea haki wakatoliki
 
Nawasalimu wanaJF.
Leo nimeamua niseme ukweli kuhusu nchi yetu hii ya Tanzania.

Katika miaka 24 ya utawala wa Mwalimu Nyerere, alitangaza maadui wakubwa wa watatu wa watanzania:-
1. UJINGA
2. UMASKINI
3. MARADHI

Mwalimu Nyerere hakuwa visionary leader alikuwa mwanaharakati, badala ya kujenga nchi na kuwapatia elimu watanzania alikuwa na misemo tu, kuongea majukwaani tu bila vitendo.

Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kujenga shule za msingi kila kijiji kwa miaka yote hiyo 24 badala yake akajenga ofsi za chama kila kijiji?

Je, kitu gani Mwalimu Nyerere kilimshinda kwa miaka 24 kujenga vyuo vya ufundi kila wilaya badala yake alijenga viwanja vya mpira wa miguu?

Lowassa aliweza kujenga shule za secondary kila kata. Je, Mwalimu Nyerere kitu gani kilimshinda kwa miaka 24 kujenga Shule hizo?

Tunaweza kutafuta mchawi wa taifa letu. But kusema kweli Nyerere alitukosea sana watanzania.

Nadhani Mwalimu Nyerere alikuwa na mentality za utawala wa kifalme ambao hauna malengo.

Tunaona mataifa mengi yaliyowekeza kwenye elimu alivyopiga hatua.

Yeye Mwalimu Nyerere hakuwa na nia kabisa ya watanzania wengi kupata elimu. Wakati wa Mwalimu Nyerere kusoma ilikuwa ni bahati na siyo haki ya Mtanzania.

Taifa lisilokuwa na elimu haliwezi kujiendesha vizuri, litabaki kuwa ombaomba tu.

Sisi kama Taifa ni lazima tujue tulipoangukia, tukainuke na kusonga mbele. Bado hatujachelewa.

Tanzania tupo na vijiji na mitaa isiyozidi 20,000. Kwani alishindwa nini kuchukua kila kijiji vijana 10 na kuwapeleka kusoma nchi za nje? Vijana 10 kila kijiji maana yake ni watanzania 200,000 tu.

Yaani angechukuwa wanawake 5 na wanaume 5.
But uwezo alikuwa nao wa kufanya hivyo.

Nitaendelea kueleza machungu yangu haya kwenye uzi huu ili tujue wapi tulipoangukia tukainuke na kusonga mbele...
Kongole kwa muanzisha mada.
Nimesoma michango mingi,nimeona mada kama hii ina tija katika kuleta mabadiliko ya nchi yetu kuliko zile mada zinazoanzishwa kwa minajili ya udini.
Nitaweka mchango wangu kulingana na michango ya wanajamvi hapo nitakapo pata muda.
CC: Bams
Chige
 
Kuendelea kumlaumu Nyerere miaka 60 baada ya uhuru ni sawa na kumlaumu babu yako for your failures. Baba yako had an opportunity na wewe ushakua mtu mzima you can correct them as well. Cheap excuses ndo zinafanya muendelee kuwa hapo mlipo.
Tunaongea kama taifa, ukizungumza habari ya mmojammoja wengine tupo very fortunate.
Kama una maisha mazuri na waliokuzunguka wapo kwenye hali duni na wala hilo halikuumi basi ni wazi hata wewe uko kinyume na Nyerere. Nguzo kuu za siasa zake zilikua 'UTU, USAWA na UHURU'
 
Alikosea Sana kwenye elimu alipewa fedha za fidia kutoka uingreza kwa ajili ya elimu kwa watanzania

Alichokifanya akafudisha walimu wa UPE wale wanaosoma darasa la Saba mara mbili halafu wanaenda kufundisha mashuleni

Halafu hizo fedha badala ya kuwekeza kwelikweli kwenye elimu yeye eti Ili kufuta ujinga watu wazima ikawa lazima kwenda shule hata umri wa miaka 79 eti ajue kisima na kuandika

Eti wazee wanaenda shule wakajifunze. Matokeo yake walikua wanasinzia tu
 
Usitake kuleta utetezi usio na maana, Nyerere kachukua Nchi kutoka Kwa mkoloni Iko organized na Ina miundombinu yote yeye kaiz yake ilikuwa ni kuifanya iwafaidishe wote.

Sasa yeye akaanza na swaga zake za ujamaa na ukombozi wa Africa,kazunguka Dunia nzima sijui alikuwa anafafuta nini.

Kuna Nchi Nyarere hajakanyaga Dunia hii?
Miundombinu yote ipi hiyo kiongozi?
So Nyerere alikuta Tanganyika ina shule za kutosha, barabara za kutosha, zahanati kila kijiji, maji kila kona, watanzania wote wana elimu ya vyuo vikuu ama unataka kusema nini?

Maana hiyo ndio miundombinu yote ya msingi inayohitajika.

So Nyerere alikuta yote akaharibu na sera zake za ujamaa, sio? Aisee.
 
Mwalimu tumlaumu kwa jambo moja tu.
Katiba.
Mwalimu alikuwa na kila uwezo wa kuhakikisha anaacha katiba bora kwa ustawi wa Taifa,lakini pamoja na yeye kutambua ubovu wa katiba,hakufanya jambo lolote kutoa huo ubovu.
Watu wajinga hata uwashushie katiba kutoka mbinguni haitawasaidia!
Elimu kwanza, wakishaelimika wataandika katiba yao wenyewe. Unadhani leo wanaiozungumza na kuielewa haswa habari ya katiba ni asilimia ngapi ya watanzania?

Marekani kura ya wananchi (popular vote) haimpeleki mgombea wa kiti cha uraisi madarakani.
Kwa ufahamu wangu hakuna nchi yenye katiba bora, ila kuna nchi zenye watu walioelimika haswa, mf. China katiba ya kibabe (tena pengine mwalimu alikuwa influenced huko) lakini mambo yanaenda kwa kasi mpaka wamagharibi wanaachama midomo. ELIMU ELIMU ELIMU nakuita mara tatu, shuka tanzania utukomboe!
 
Nyerere alikuwa na mapungufu yake ndiyo kama hayo uliyoyasema lakini kwa kiasi kikubwa alifanikiwa katika mambo mengine mengi na akang'atuka. Shida kubwa ya taifa letu, kama ilivyo Kwa mataifa mengine mengi Afrika, ni mfumo wa umasikinishaji jamii. Uongozi hauko radhi kuachia wananchi wake wainuke kiuchumi. Kwa hiyo mambo mengine yote ambayo yanaweza kumuinua mwananchi kiuchumi yanaminywa. Ndio maana inapotokea Kuna fursa za kuinuka kiuchumi kupitia mitandao kama YouTube basi inaweka kodi kandamizi; hata ikitokea la kutokea mchicha ukawa unapiga hela za export utasikia kuna bodi ya mchicha imeanzishwa na lazima exports za mchicha zipitie huko halafu mara walima mchicha hawapigi tena hela.
Kuna wasomi wametafiti hizi mambo wakaandika kitabu kinaitwa "Why Nations Fail" kama bado ni vema ukakipitia.
Nyerere alikuwa visionary sema vision yake ndiyo ilikuwa chenga. Alitafsiri vitabu vya ujamaa na kuvisambaza. Walau yeye aliamini ujamaa na kusambaza itikadi. Sasa hivi viongozi wetu hawaja-solidify nini wanakiamini wala kusambaza itikadi zao kama Nyerere. Ipo haja ya kufanyika Kwa juhudi hizi kama kutafsiri baadhi ya chapisho na vitabu na kusambaza Kwa wananchi pamoja na wanafunzi mashuleni ili kuwajenga wajue mambo yalivyo. Kutegemea shule za kata tu haitoshi.
 
Back
Top Bottom