Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Matatizo ya Waafrika kwa Asilimia 60 yanafanana ndio maana Africa karibia yote tu inafanana, acha kupoteza muda kum single out Nyerere.Nimekuuliza Nyerere alifanyia nini Tanzania kwa miaka 24? Je, Tanzania imewahi kupewa sanctions nyingi ka alizopewa NK?
Naomba usiende nje ya mada. Jikite kwenye mada.