The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huna akili wewe,kisa kaweka ile clip ya mumeo? Pumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SHABIKI LA DABLIYUSIBII HILIChris Brown talent yake ni kubwa sana mj hagusi, anachozidi ni kuchonga pua awe kama mzungu
Huu ukweli umesemwa na wengi ikiwemo 50 cents na Fat Joe
Chris Brown alikataa sababu ya kuepuka matatizo na watu wanaomezeshwa ukizingatia image yake ilichafuka sana baada ya kumchapa Rihanna. Alikuwa anaonesha heshima.Unamuongelea MJ yule aliekua maarufu dunia nzima kabla ya cd enzi za mikate/matofali, kabla ya YouTube, facebook, Twitter nk
Kijana wa dabliyusibii acha utani aisee, hata Chriss Brown mwenyewe hathubutu kujifananisha na mkali MJ, 50 cent alipojaribu kumfananisha Breezy akakana katu kua hamfikii MJ.
Wewe upo sinza hapo unabishana na Chriss Brown mwenye jina mwenyewe.
Acha ushamba kuzaliwa lini hakukufanyi uwe na maarifa. IQ yangu mimi ni kubwa ndio maana nna uwezo wa kufikria na kufanya analysis simezeshwi kitoto.50 Cent huyuhuyu anayeamini kwamba Eminem ni mkali kuzidi kina Rakim, Ll Cool J na KRS One ? 🤣🤣🤣
Mzee umezaliwa lini wewe ?
So hii ndio fact yako?
Acha ushamba kuzaliwa lini hakukufanyi uwe na maarifa. IQ yangu mimi ni kubwa ndio maana nna uwezo wa kufikria na kufanya analysis simezeshwi kitoto.
Tafuta clip za MJ akiwa stejini na CB akiwa stejini tuanzie hapo kabla atujaenda kwenye uimbaji na mengine
Akili sinazo kweli, lakini uelewe mpaka kwenye ndoto zako chris brown hawezi kuwa michael jacksonHuna akili
Mkuu ukali wa mtu haujifichi, angekua anamzidi MJ wala kusingekua na ubishani.Chris Brown alikataa sababu ya kuepuka matatizo na watu wanaomezeshwa ukizingatia image yake ilichafuka sana baada ya kumchapa Rihanna. Alikuwa anaonesha heshima.
Unajua albam ya Thriller ilitoka mwaka gani? Basi hadi leo hiyo albam ndiyo inashikilia rekodi ya mauzo ya nakala nyingi.Chris Brown talent yake ni kubwa sana mj hagusi, anachozidi ni kuchonga pua awe kama mzungu
Kama ilivyo kwako kukalilishwa kuhusu Chriss,pia huwezi elewa habari ya Michael Jackson.Ukikalilishwa huwezi nielewa
Yes inawezekanaMwanafunzi anakuwaje mkali kuliko mwalimu wake.
Chris alikuwa dansa wa Wacko Jackson
Chris Brown 🔥🔥🔥🔥🔥Najua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.
Mimi ilitokeaga tu kukubali kazi za dogo breezeNajua ni ngumu kusema huu ukweli na kueleweka sababu watu wanakalili na wanarithishwa dhaania.
Michael Jackson ni msanii mkali sana na anaheshimika mno kutokana na mambo aliyofanya kwenye entrainment duniani.
Lakini hajawai na hawezi kufikia talent aliyonayo Chris Brown.
Hii dunia haijawai kuwa na mwanamuziki mwenye talent ya hali ya juu kumzidi Chris Brown.
Chris Brown ni mkali kumzidi Michael Jackson.