TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
I nail it totally,strong man shade blood before shading tearsHe dont other life, rather than this. Even me i cannot sit down ,leaking wound and missing the opportunity no never
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I nail it totally,strong man shade blood before shading tearsHe dont other life, rather than this. Even me i cannot sit down ,leaking wound and missing the opportunity no never
wanatangaza Amani kumbe nyuma wameficha mapanga,imagine wakati anaumwa michango inaendeshwa utakuta hata buku hakutumaUmeamua kuropoka, ikiambiwa umtumie hata elfu tano utatuma? Acha apambanie familia yake
prof jize muite wamitulinga mchawi wa rymes mti mkavu, legendari hashindan na watoto wadogoSaiz madogo ndo wameshika game, prof atupishe kidogo..!
Mke atatunzwa, ila Watoto watarudi kijijini.Utamtunzia mke na watoto ?
kumbukeni ana madaktari wake,na chochote hufanya kwa muongozo wa madaktari,tupunguze ushauri kwa watu ambao hatu wachangii hata mlo mmojaWakina jk walipiga mieleka majukwaani yeye profesa afya imeshazorota amenyanyukia lkn Bado kabisa apumzike aliyemuwezesha kupata nafuu iliyopo ndio huyo huyo atakayempambania katika kula kwake huko majukwaani anaenda kujimaliza Kwa kifo Cha siku Moja tu
Kabisa yaani,na jamaa alisema wazi kabisa akiba yake yote ilipukutika ni kama sasa anaanza upya halafu anatokea nguchiro mmoja anasema apumzike wakati pumziko ni kwa wafuHuyu kijana utoto unamsumbua anadhani watu wanaokota pesa bila kufanya kazi
ataenda kwa DiddyMbunge wa mikumi kupitia CHADEMA 2025-2030. Nimpe pole mbunge aliyepo madarakani kwa chama chakavu maana chuma kimesimama ajiandae kukabidhi Jimbo mapemaaa Asubuhi tu
Anaamin uchawa pekee unatosha na kila mtu anauweza.Huyu kijana utoto unamsumbua anadhani watu wanaokota pesa bila kufanya kazi
Ubunge unahitaji uwe timamu akili,kimwili na kifikra kwahiyo hata huko hatosji kiufupi angepumzika tu.muziki aachane nao. ubunge akauchukue awakilishe wananchi. kura yangu anayo!
Madogo gani?Saiz madogo ndo wameshika game, prof atupishe kidogo..!
Only fools wanalala muda wa kaz na fursa...Alipokuwa kitandani nani alitunza.nadhani jamaa ana point.Prof.angejitizamia afya yake kwanza.Ikiwa hukumuona akiwa anaumwa huwezi elewa alipopitia.Atafute kitu kingine chepesi cha kufanya ila siyo heka heka za majikwani.
DOmo na tale tale sioHata waliopita kwa pididi inabidi watulie