Ukweli usemwe: Joseph Haule (Profesa Jay) anahitaji utulivu, hizi pilikapilika za muziki na siasa angeachana nazo

kumbukeni ana madaktari wake,na chochote hufanya kwa muongozo wa madaktari,tupunguze ushauri kwa watu ambao hatu wachangii hata mlo mmoja

KAZI KAZI

KAZI IENDELEE
 
Alipokuwa kitandani nani alitunza.nadhani jamaa ana point.Prof.angejitizamia afya yake kwanza.Ikiwa hukumuona akiwa anaumwa huwezi elewa alipopitia.Atafute kitu kingine chepesi cha kufanya ila siyo heka heka za majikwani.
Only fools wanalala muda wa kaz na fursa...

Let him do, Mungu yupo atatenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…