Ukweli usemwe: Joseph Haule (Profesa Jay) anahitaji utulivu, hizi pilikapilika za muziki na siasa angeachana nazo

Ana madaktari wake na wanafamilia waliokuwa naye wakati wote alipougua ,wakamuuguza hadi afya yake ikaimarika. Sidhani kama watu wote hao wameshindwa kumshauri aachane na harakati zake za muziki na siasa~ kwa maelezo yake yeye mwenyewe anaanza upya.

Kutafuta pesa sio kazi rahisi. Mungu amjaalie azidi kuimarika
 
Huyu aliimba wimbo gani maarufu?
Professor J, a.k.a nigger J, the heavy weight MC, mwanalizombe, J wa mitulinga na mengine mengi mengi kaimba nyimbo nyingi sana maarufu.

Miongoni mwa nyimbo alizoimba ni pamoja na;

Zari la mentali
Bongo Dar es Salaam
Chemsha bongo na nyinginezo
 
Mimi sicoment chochote kwenye my mid 30s nimejifunza kutojudge kitu kabla ya kusikiliza pande zote2.... Unaweza kukaa na jay akakueleza Kwa undani na ukasema ni sawa tu.... Au si sawa .... Maadam hatujamsikia ni fungu jema kunyamaza.
 
Kusema eti anafanyia pesa, sikweli!! Hawezi kukosa biashara inayompa kiasi cha kusurvive...

Sema huyu mwamba ni mwanaharakati, kwasasa lazima aonyeshe ukakamavu kusimama na wananchi ambao walimsaidia katika nyakati ngumu....


He is a Strong Man
 
ni kweli kabisa mkuuu!atulie tuuuu!!!

vipi MC wako no moja unamueka nani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…