hii lugha inafananafanana na kingereza.He dont other life, rather than this. Even me i cannot sit down ,leaking wound and missing the opportunity no never
wewe ni daktari wake? mbona watanzania huwa mna majungu sana. kuingilia maisha binafsi ya mtu mnapata wapi ruhusa.Wanaokupinga wana upeo mdogo,Jay hajapona bado anahitaji kupumzika,
Tunampima kwa macho,muonekano wake tu na aina ya ugonjwa ni hatari sanawewe ni daktari wake? mbona watanzania huwa mna majungu sana. kuingilia maisha binafsi ya mtu mnapata wapi ruhusa.
JESUS IS LORD&SAVIOR
Komasava kaimba Diamond platinumsHuyu ndo aliyeimba komasava??
Huyu aliimba wimbo gani maarufu?Komasava kaimba Diamond platinums
Professor J, a.k.a nigger J, the heavy weight MC, mwanalizombe, J wa mitulinga na mengine mengi mengi kaimba nyimbo nyingi sana maarufu.Huyu aliimba wimbo gani maarufu?
Hivo eehProfessor J, a.k.a nigger J, the heavy weight MC, mwanalizombe, J wa mitulinga na mengine mengi mengi kaimba nyimbo nyingi sana maarufu.
Miongoni mwa nyimbo alizoimba ni pamoja na;
Zari la mentali
Bongo Dar es Salaam
Chemsha bongo na nyinginezo
ni kweli kabisa mkuuu!atulie tuuuu!!!View attachment 3158050
Kwanza nna declare interest mimi ni shabiki mkubwa wa Professor Jay na kwenye list yangu ya MCs bora wa muda wote nimemuweka nafasi ya pili.
Napenda sana muziki wake hata siasa zake nilikuwa nazipenda.
Ila kuna kitu nakiona hakipo sawa baada ya yeye kurudi kwenye ugonjwa uliomuweka kitandani kwa muda mrefu mpaka kuchungulia kaburi, nilitegemea angetulia na apate shughuli za kumuingizia kipato zisizohitaji mikiki mikiki. Wazo lake la Foundation lilikuwa bora kabisa.
Soma Pia: Joseph Haule 'Prof. Jay: Nitagombea Ubunge Mikumi 2025
Nasikitika kumuona kwenye majukwaa ya muziki akifanya performance na pia kwenye majukwaa ya siasa akifanya mikutano.
Kwa yoyote anayemshauri au kumuunga mkono kurudi kwenye hizi shughuli basi hana nia njema na hampendi anataka kumtumia.
Prof pumzika tunaona unavyo struggle kuwasiliana na watu na kujichanganya bado haupo sawa.
Tunaokupenda tunaomba upumzike. Mungu amekutoa kwenye hali ambayo kuendelea kuishi ni kama muujiza. Pesa zipo huwezi kuwa nazo vile vile kila siku kubali ndio maisha na upumzike.
Natoa ushauri huu kwa kuwa nakukubali.