Ukweli usemwe: P Funk ndio mtu mnyonyaji zaidi kuwahi tokea kwenye historia ya Bongofleva

Yaah umaskini ndo Chanzo mkui...!! Wengi wanaona kununua beat na mfukoni mweupe hata akisema akope hana kwa kukopaa bora akubali masharti sema Akifanikiwa kama alivyofanya Konde no sawa kujitoa maana kuwa chini ya Label sawa na kuajiriwaa tuu.. Unapiga hela ndefu ilaa unaambulia kidogo na unaweza usipewe kabisa.
 
Sasa si anakuwa maeshamlipa kufanya nae kazi maana Ngoma ikibuma ni hasara kwa msanii pia.. Ikiitika acha msanii ale bataa shida inakuja kwenye Maslahi mengine kama beat kuuzwa sijui nyimbo kutumika kwenye Movies... hapo ndo utata huja mwenye akili anapita na mpunga kama upepo kuviziana tu
 
Kuna mwaka nilimskia Dullayo akihojiwa ni kitambo kidogo kuhusu Marco Chali na sababu za yeye kusepa kwa Mshkaji, jamaa alkua hadi analia kwenye Interview.

Muda kidogo ukapita akaja kulalamika Godzilah ( R.I.P) kuhusu the same scenario sijui Jamii haikuelewa au ni kupuuza tu, inasemekana na hali aliyokua nayo mpaka Umauti ni msongo wa Mawazo na kukosa Faida bila kujua pahala sahihi za kupata Msaada.
 
Nakumbuka sio movie, ni ngoma sijui nikusaidiaje ile biti akauziwa tena chameleone akaimbuia bomboclat.. Jay kuulizia p kaishakula hela, chameleone akataka kumpa tena hela Prof akaamua wapige kolabo, ngoma nimeisahau jina.
Ni movie, nyimbo ilitumika Bomboclat, beat ni Nikusaidieje ya Proff, Chameleon alilipwa pesa akampa Majani chake kama prodyuza, Proff hakupata chochote ila nadhani baadae alipewa na Chameleon na collabo wakafanya "Ndivyo Sivyo"
 
Uzi ulitakiwa kuishia hapa
 
Umenikumbusha mbali sana hawa wamba onetwelve walijikuta hawajui wakajua maeeh didy mafia sana alikuwa anampiga big popaa[emoji3][emoji3]
 
Kuna mtu anaitwa p didy au puff daddy aliwapoteza lost boys wakalosti kweli kwa p funk utakuwa huna uelewa au unachuki zako binafsi na p funk wabongo tuache wivu wakishamba
 
Watu wanaingia kazini na kufanya kazi kienyeji mjanja akiona loophole akiitumia mtu anaanza kulalamika [emoji3][emoji3][emoji3]
Aisee majani mtoto wa kichotara yule hzo mbanga anazijua toka kiwanja kwake kuwatia Cha kike kina nature ilikuwa ishu ndgo ya mbele hawakuyajua lkni yeye alikuwa anajua Kila kitu na thamani ya kile anachokifanya kuwa kitakuja kumlipa vyombo vyake elimu yake kina Daz mia mbovu hawana akasajiri ili baadae aje ale kimvulini Leo wanamuona mnyonyajiz[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo Sallam SK hakwenda mbali na kuja na details za madai yake dhidi ya Majani tofauti na mwenzake kataja majina, mikataba na hadi kiasi cha pesa. Badala yake anawafanya Watanzania wajinga kwa kuingiza stories za Harmonize na wale makahaba Kajala na mwanae. Sallam SK alitakiwa awe specific and to the point siyo kutuletea taarab za Harmonize na Kajala.
 
Kuna mtu anakula hela ya eazy e na Tupac mpk ss kwa mambo hayo hayo. Unajua mpk Leo Dr. Dree hamiliki the cronic
Yah ndio maana yake hata pac watu walikuwa wanampiga ukifatilia history ya pac we acha album vzte alizofanya death row alifanya bure MALIPO yalikuwa mchongo wa kumtoa jela muda ambao anakufa ndio ilikuwa anaenda kuwa free kufanya album popote sugar akampeleka kaburini ni story ndefu sana Kuna umafia sana kwenye game huko
 
Umenikumbusha mbali sana hawa wamba onetwelve walijikuta hawajui wakajua maeeh didy mafia sana alikuwa anampiga big popaa[emoji3][emoji3]
Hatari jamaa kama kumbukumbu zangu ziko sawa waliambiwa kama ni kutoka bas jina la 112 hakuna kutumia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Sasa dunia nzima zaidi ya miaka 10 wanajulikana kwa jina hilo wabadili wajiite nani na hawako tena kwenye peak wajiite 120 😁😁😁 mpaka watu waje kuelewa sio leo tena
 
Hiibya kuviziana imenichekesha Sana. Imenikumbusha mfano wa konokono wanaoviziana, atakayewahi kumpanda mwenzie ndio anayembebesha mimba aliyepandwa.
 
yaah sema ndo hivyo sijui nani ana mmenage maana bila hivyo atapotea bila kufaidi pesa zakee..sioni akipiga show akati ndo muda wenyewe..!! apate manager kichwa azungukee aisee kuzikusanyaaa amezubaa sanaa...
Bongo Hakuna shows. Labda uandae mwenyewe
 
Alikua mbele ya muda
Watoto wa temeke walikuwa wanafurahia tu kwenda masaki πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Majani hawezi kupiga chombo chochote cha mziki sio kinanda,sio gitaa hata alipiga gitaa kwenye track ya umbo namba 8 sio yeye nimeajiwa kwa sababu ya mziki nilikuwa napiga kwenye live band pfunk namfahamu vizuri ukitengeneza beat au ukiingiza melody ya chombo chochote unalipwa posho kidogo na habari yako inaishia hapo tena anamadharau ya kufa mtu mwamba amini
 
Karibuni
 
So yeye anaweza kukusanya watu wakufanya Production tu??? Kama Dj khaled anawaita mnatia verse mnakula mpunga wimbo wakee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…