The ends is near [emoji16][emoji16]Wasanii wa WCB miaka michache mbele watalalamika sana kidhurumiwa watz watayajua mengi yaliyojificha ila music labels za bongo kama wcb ni wanyonyaji tu , wananyonya wasanii hadi producers mtakuja kumsikia S2KIZZY malalamiko yake ya kudhurumiwa, kunyonywa malipo ya kazi anazofanya na kubaniwa siku atakayoacha kufanya kazi na mond,
Waulize wao wangekuwa ni wasanii nakupata hayo mafanikio waliyo nayo bila ya watu kama p funky kuhakikisha kwamba Wana simamisha mziki wa bongo fleva nchini !?Halafu unaingia Jf na social media platforms nyingine wanakuambia P Funk ana mchango gani [emoji16][emoji16][emoji16]
Wasijue hao ndio waliotengeneza road map na sound ya bongo flava tunayoiona leo hii inaharabiwa na amapiano na afro pop za kinaija,
Watakuambia tunapeleka muziki mbele, muziki upi,
kwa sasa Tz tuna genre ya kupambana na congo, SA au Nigeria au ndio tunafanya muziki wa kucopy na kupaste
Hawa hawa watakuambia P funk na majani hawana mchango wakati hakuna new sound kwa sasa zaidi ucopy cat.. Ngoja ninyamaze
WCB ina wasanii wangapi tuonaowatumia kma reference? Rayvanny , Mbosso, Zuchu, hata Harmonize hali zao za maisha ni bora kuliko wasanii wengi hapa TZ kwasababu ya kuwa kwenye hiyo label.Sipendi sana kuingilia mada za machawa siku hizi, ila nimona wewe nikujibu.
Kiuhalisia, huyo P Funk ana afadhali kuliko hao WCB.
PF hamiliki Album za wasanii ila anamiliki BEATS. Na ndio maana hujawahi kusikia Msanii analalamika.
Na kiukweli, wasanii wa zamani walipata pesa mnoooo.
Hakuna Msanii ambaye hakupata pesa. Kuna wasanii mpaka walikuwa wanatembea na pesa kwenye but I za gari.
Tatizo kubwa ukiwa msanii WCB ujue Ni Kama unafanya kazi ambayo Ni COMMISSION BASED.
Inatakiwa ufanye kazi halafu, iqe Shows, ngoma mitandaoni au endorsement kila kinachopatikana unakatwa 60% unapewa 40% kwa mkataba wa miaka 10.
Maana yake, unafonzea kila kitu. Miaka 10 kisanii hutakuwa na jipya tena.
Na baada ya kutoka hutakuwa unamiliki nyimbo yoyote Wala digital platform zako.
Kuna vitu watu huwa wanakubali kwasababu ya shida tu.
Pro majani wakikujibu hili swali unitag 😁 wanambwela mbwela na wasanii wao akina rapcha wazee wa tako Saba akamwagia ndani☺️☺️☺️WCB ina wasanii wangapi tuonaowatumia kma reference? Rayvanny , Mbosso, Zuchu, hata Harmonize hali zao za maisha ni bora kuliko wasanii wengi hapa TZ kwasababu ya kuwa kwenye hiyo label.
Kwanini wasanii wengine wanashindwa kutusua kama wanaokuwa hapo WCB?
Wajomba wakatili wanakula 60% alafu msanii wanakuachia 40% yako ukafie mbele.noma sana label hizii ukiwa hujatoka ndo unaona zina msaada ila ukishahit ukaanza kuingiza mawe ndo unajua unapigwaaa
Jamaa kanikumbusha, nyinyi ndio mko sahihi mzee.Nooo nooo nooo ni movie imefanyika Hollywood, awali jamaa Wenye movie walidhania kuwa mwenye haki ya beat ni chamilion , chamilion alitaka kupiga mpunga ndio p funky akasanukia mchongo akaenda usa kufuata haki yake
Mzee wa Kino naona unacomment kwa vijana@sinza pazuri unasemaje hapo
Ova
mkuu kwahiyo mtu akiwa choko alafu akakemea uchoko ni kosa ?....tenganisha hivyo vitu viwili kwanza then tuanzie hapo...anyways the industry is fucked up all the way to the international level..P Funk anakula mpaka hela za marehemu Ngwea. Yeye p Funk anajinadi kama anapaza sauti juu ya haki za wasanii vipi mbona yeye anawanyonya mpaka leo?
Haki za ubunifu kwenye midundo mbona anawatapeli wenzie?
Tukemee unyonyaji wa P Funk
Hapa mkuu inategemea s2kizzy aliingia mkataba gan na wcb. Usikute naye alilipwa pesa nyingi za beat akaridhika. Fursa zikitokea hawakawii kulàlamika Kwa Sababu mwanzon alikosa maono.Kijana wa wcb mishipa imekusimama kweri-kweri.
Jibuni hoja za P.funk kwanini Mbosso halipwi pesa yake kama writer wa mashairi anayomuandikia ya Diamond?
Kwanini publishing rights za producer S2kizzy kwenye platforms zimechezeshwa ili asitambulike kama mbunifu wa midundo yote aliyofanya na wcb kiasi kwamba amekosa malipo yake zaidi ya million 110 ????
Mbosso anasepa soon, kaa mkao.
Ukiwa na njaa unajifanya huoni Ili ushibe, ila ukishiba ndo unajua Kuwa njaa Bado haijatutua shida Yako, njaa itaendelea tu. Ndo unajua kumbe ulitakiwa kufanya Kitu tofauti Ili uwe na uhakika wa kula diku zotë.Wasanii wa WCB miaka michache mbele watalalamika sana kidhurumiwa watz watayajua mengi yaliyojificha ila music labels za bongo kama wcb ni wanyonyaji tu , wananyonya wasanii hadi producers mtakuja kumsikia S2KIZZY malalamiko yake ya kudhurumiwa, kunyonywa malipo ya kazi anazofanya na kubaniwa siku atakayoacha kufanya kazi na mond,
Hio ni biashara ila kusema hatapta unauhakika Gani. Më nadhan na yeye anaasilimia za ubunifu, Pia kumbuka Mavoko alivyotka wasafi akaunti ya YouTube aliicha wasafi akaanzisha akaunti nyingne.Mkuu hili ninaongea nikiwa na uhakika wa 100% ni kuwa pale WCB ukiachana na Mavoko na Konde boy, nyimbo za wasanii wengine wooote waliobaki zinamilikiwa na WCB hao ndio COPYRIGHT HOLDERS, wasanii wamebakiwa na PERFOMANCE RIGHTS ONLY yaani leo Vanny akitoka pale basi hawezi kupata hata 100 endapo wimbo wake utauzwa, nasema HATAPATA HATA MIA WIMBO WAKE UKIUZWA unless otherwise waingie makubaliano mengine leo hii kuhusu hicho kipengele.
Kama sikosei ni kuwa kwenye ule wimbo wa kamilioni kuna sauti ya ferouz ya kiitikio cha nikusaidiaje . sasa Prof j alikuwa akipigania mashairi ya nyimbo yake kutumiwa na mtu mwingine pasipo makubaliano . but the issue was different to p funk , yeye alikuwa anapigania haki ya beat yake.Hivyo ndivyo P. Funk anavyosema na kuuaminisha umma. Anasema kuw msanii hanunui beat ya produsa bali analipia muda wa studio, beat inakuwa mali ya produsa.
Sasa ili uitwe wimbo, maana yake kuna vocals na beat, kwa pamoja ndio vinafanya uitwe wimbo. Kuna msikikizaji atapenda mdundo na kununua huo wimbo, kuna mwingine atapenda maneno na kununua huo wimbo, ni ngumu kujua mtu anaponunua wimbo anakuwa amevutiwa na mdundo au vocals (maneno) au vyote. Ndio maana mgao huenda kwa wahusika wote wa wimbo, waandishi, waandaaji, waimbaji nk
Hii ishu ya Nikusaidiaje, Jay ndie aliyepambana na Chameleone, tafsiri ni kwamba, P Funk alikuwa ameuza beat yake na akaona ni sawa kwa Jay kulalamika, baadae akamzunguka Jay na kuchukua mpunga kwa wamarekani, ndipo hapo mtafaruku ulipoibuka
Ushahidi maandazi na UMSUKULE unapoteza kabisa logic.Kama sikosei ni kuwa kwenye ule wimbo wa kamilioni kuna sauti ya ferouz ya kiitikio cha nikusaidiaje . sasa Prof j alikuwa akipigania mashairi ya nyimbo yake kutumiwa na mtu mwingine pasipo makubaliano . but the issue was different to p funk , yeye alikuwa anapigania haki ya beat yake.
Hata kiimani mkuu iko hivyo. Refer musa kurusha fimbo yake chini ikawa nyoka,hali hiyo ikaitwa MUUJIZA ILA wale waganga wa PHARAO walipofanya tukio exactly kama hilo,hali hiyo ikaitwa UCHAWI.Wabongo uwa wanakupenda bila sababu na wanakuchukia bila sababu.
Na mimi kweli toka kitambo nilikuwa nikishangaa Pfunk kuwasema clouds ni wanyonyaji wakati yeye pia alikuwa anawanyonya sana wasanii na maproducer wake. Hata she got gwan hakuitengeneza yeye bali soggy na mzungu kichaa lakini hukuwahi sikia hata wakitajwa.
Ila hizi tuhuma za WCB kunyonya wasanii halafu watu kusema si wamesign mikataba, mbona wanaosema hayo hayo ya mikataba walikuwa wakimshambulia ruge kuwa mnyonyaji sijui fiesta wakati hao hao wanaosema alikuwa anawanyonya nao walikuwa wamesign mikataba.
Tanzania tuna double standards jambo lile lile likifanywa na watu wawili kwa mmoja linaweza kuwa sawa na kwa mwingine likawa haramu.
lakini zaidi ya yote hapo wakupewa lawama ni COSOTA, kwani hiyo mikataba na nyaraka nyingine wanazosainishana hawa wahusika je COSOTA haipitiagi mikononi mwake?. Na kama inapitiaga mikononi mwake je huwa haoni kuwa ni mikataba ya kiunyonyaji?.Mkuu huwezi Jua labda hermy B alilipwa na washikaji.
Au aliuza beat na Kila kitu kuhusu hio beat.
Haya mambo huwa yanatokeaga na wasiojiandaa mapema na mikataba yenye kulinda haki zao huishia kulilia tu.
Wasaniii waache njaa njaa wanunue nyimbo na haki hio nyimbo na Kila kitu
Ila yanapotokea mazali kama haya ya ma movie kutumia nyimbo na beat zao wapige pesa.
sorry mkuu hivi kwenye wimbo wa bomboclat sauti ya ferouz haijasikika mle?. Ni kitambo sana sijausikiaUshahidi maandazi na UMSUKULE unapoteza kabisa logic.
Kwanza Filamu ya Queen of Katwe haikutumia wimbo wa Prof Jay. Walitumia ngoma ya Chameleon, Bomboclat na wakamlipa pesa Chameleon.
Ikumbukwe kuwa baada ya Chameleon kutumia Hilo beat aliingia mgogoro na Prof Jay na ili kuuua mgogoro wakafanya ngoma na Prof Jay, Ndivyo Sivyo.
So, kusema Prof Jay alitakiwa kulipwa siyo sawa maana Hakuna wimbo wake uliotumika.
Umenchekesha kinoma mkuu✋🖐️ kwa kweli double standards kila konaHata kiimani mkuu iko hivyo. Refer musa kurusha fimbo yake chini ikawa nyoka,hali hiyo ikaitwa MUUJIZA ILA wale waganga wa PHARAO walipofanya tukio exactly kama hilo,hali hiyo ikaitwa UCHAWI.
Sasa hii ndiyo hiyo mikataba kandamizi tunayozungumzia.Hapa mkuu inategemea s2kizzy aliingia mkataba gan na wcb. Usikute naye alilipwa pesa nyingi za beat akaridhika. Fursa zikitokea hawakawii kulàlamika Kwa Sababu mwanzon alikosa maono.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wakawa wanashindana wakijifanya na. Wao wa masaki mpka wakatungiana nyimbo shibe shibe haina Bei[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa maelezo yako hata WCB wako sawa kwani yote wafanyayo kwa wasanii wako kwenye signed contracts na hata Ruge alikuwa sahihi pia, kinachoendelea ni ushabiki wa watu kila mtu anachagua mtu wa kumshambulia.Bizman na wengine waliokuwa wanasaidia Majani kwenye production, lini uliwahi wasikia wakilalamika!? Je, wakati kazi zinasajiliwa kwenye mamlaka husika hao waliorodheshwa katika production? Ila usisahau hizo ni kazi za Bongo Records. Kama Kuna makubaliano baina ya P Funk na Producers washiriki hayo yanakuwa ni makubaliano yao binafsi.