Ukweli usemwe: P Funk ndio mtu mnyonyaji zaidi kuwahi tokea kwenye historia ya Bongofleva

yaah nakubalii mzee sio kama siku hizi kuna platform na mitandao ya kijami kibao kazi zinajipushi zenyewe maredio ndo usisemee ukiacha station za TV... so producer kama majani au master j walifanya kazi kama sallam anavyofanya leoo..

Halafu unaingia Jf na social media platforms nyingine wanakuambia P Funk ana mchango gani 😁😁😁

Wasijue hao ndio waliotengeneza road map na sound ya bongo flava tunayoiona leo hii inaharabiwa na amapiano na afro pop za kinaija,

Watakuambia tunapeleka muziki mbele, muziki upi,

kwa sasa Tz tuna genre ya kupambana na congo, SA au Nigeria au ndio tunafanya muziki wa kucopy na kupaste

Hawa hawa watakuambia P funk na majani hawana mchango wakati hakuna new sound kwa sasa zaidi ucopy cat.. Ngoja ninyamaze
 
amini mzee sound track za south na nigeriaa tuu...bongo fleva halisi inakufaaa
 

Yatamtokea ya Nahreel na weusi, alipoipa ukubwa studio yake na kupandisha bei wakamkimbia

Kiufupi creative industry kwa bongo, vichwa haswaaa havinufaiki na kazi zao ila madalali wenye connections ndio wanatusua na kuishi maisha makubwa

Wanamtumia mtu kwa kumuhaidi jina na wengi wanakubali kwa kudhani wakipata jina washatoboa. Wanapata jina ila wakitaka kupiga pesa kupitia jina lao wanakimbiwa

Afadhali ABBA na hansana wameshtuka mapema kumshikilia marioo na wasanii wengine maana itawahakikishia ugali la sivyo, wangetupwa pembeni baada ya kutaka pesa ya maana

Bongo wamejaa wanyonyaji, wanapiga kelele wakiwa na njaa, wakipata chance wanarudia yale yale
 
amini mzee sound track za south na nigeriaa tuu...bongo fleva halisi inakufaaa
Ngoma za sa hivi bongofleva zinafanana ni mwendo wa matusi tu na contents zinazofanana hakuna jipya ni ngono tu tofauti na music industry za nchi nyingine kila msanii anataka aimbe content kama za wasanii wa wcb , maproducers & music composers hakuna kitu nilikuwa nasikiliza bia tamu ya marioo nikawa naskia kama demo vile imekosa vionjo vya kutosha ila ilivyokuwa kwenye trends sikuona kasoro😀😀
 
Acha marioo atulilie akichoka kupiga amapiano, wakina mbosso wakituliza kichwa watuimbie baibuda na Mimi Mars anaejitahidi kutokwenda na trend 😁😁
marioo amapianoo na sauti yake kama hataki imemkaa poaa sanaa muhuni...
 
Kwani hawa wanaonyonywa ndo wamekutuma uwasemee au wao wanaona poa tu?
 
Ni balaa boss uwa hawajiulizi familia za kina michael Jackson, Bob marley, tupac kwa nini hadi leo wanafaidika na sanaa za ndugu zao😀😀mjini kuna wahuni ata sio wasanii ila wanawatumia kupiga pesa, bongo kuna majipu mengi wanayachekea kuna WANENE ENTERTAINMENT pia wanawatumia wasanii vibaya nayo yanakubali tu bila kujitambua kama wakina young killer, chin beez, fid q na wengine kibao
 
P.FUNK alikuwa Mungu mtu na ili kuwapoteza vijana akawafundisha ulevi wa pombe, bange na unga na ukitaka uamini angalia wasanii wote walikuwa chini ya bongo record wengi Wana kazi nzuri ila walevi kama siyo pombe basi unga au bange aliwafanya wawe wajinga prof jay peke yake ndio alistuka vinginevyo naye tungempoteza P FUNk alikuwa alikuwa BIGWA wa kuuwa makundi ya mziki yani uyu jamaa asiongee Chochote kwa Sasa aliwavuruga Daz nundaz, akawavuluga HBC nk.

Anawavuruga vijana akawanywesha pombe hiki tunachokiona kwa mwanae Paula ni malipo ya zambi mungu anamlipa kwa alivyowafanya watoto wa wenzake kwa kuwaingiza kwenye bange, pombe na unga hawa kina T.I.D kina feruz, Daz baba nk majani ndio chanzo
 

Ahsante saana. Umetoa Elimu kubwa Sana ambayo sidhani Kama wengi wetu humu tungeweza kuipata kirahisi. Wewe Ni mdau wa sheria za hii industry maana haya madini sio mchezo!?

Cha kuongezea hapo kwenye publishing rights, mpaka leo Mase anapambana na PDiddy kuhusu hizo rights ambazo PDiddy anazimiliki za kazi za Mase, na Mase anajaribu kuzinunua toka kwa jamaa ila jamaa(Diddy) kagoma.
 
Kuna sehemu sijakuelewa mkuu. P alikuwa anawanywesha pombe na kuwavutisha bangi au walikuwa wanatumia wenyewe kwa hiari yao?
 
Wewe nimekuelewa vizuri sasa umenifungua masikio.
Kumbe ndio maana harmonize alifosi kujitoa kule WCB.
 
Nakumbuka sio movie, ni ngoma sijui nikusaidiaje ile biti akauziwa tena chameleone akaimbuia bomboclat.. Jay kuulizia p kaishakula hela, chameleone akataka kumpa tena hela Prof akaamua wapige kolabo, ngoma nimeisahau jina.
beat aliuza Chamilione kwa ajiri ya movie flani waingereza kama sikosei, wimbo ni jose ft joseph haule. Ila beat Majani. Majani akawa anamponda Josee ila mwishoe huko P nafikiri alilipwa. P yy anamiliki beat sio wimbo....ndio haki yake mengine kwa kina Nature, Jay Mo na wengine alisimama kama meneja na produce!!
 
Muongo mkubwa weww
 
Kuna sehemu sijakuelewa mkuu. P alikuwa anawanywesha pombe na kuwavutisha bangi au walikuwa wanatumia wenyewe kwa hiari yao?
Yeye ndio alikuwa na exposure katika burudani so kwakua vijana ndio wametoka kimuziki aliwaminisha kulewa ndio ujanja so alichukua wasanii wenye uwezo mkubwa sana kutunga so walipokuwa wazima walifanya kazi nje ya hapo aliwaminisha maisha ni kulewa tu so vijana wakaishiwa kulewa tu nakujisahau mambo ambayo diamond anafanya Leo kwenye uwekezaji nk amini juma nature angekuwa mala mbili yake ila juma nature alishia kuvutishwa bange na kunywa pombe
 
Usajili wa kazi za ubunifu hauwezi kufanywa zaidi ya mara moja. Wenzetu walioendelea ishu za publishing huwa zinakuwa addressed kwenye mkataba kati ya producer/label na msanii au yeyote anayeshiriki kutengeneza wimbo. Baada ya hapo ndio kila mtu anatakiwa kusajili hizo haki zake kisheria kwenye mamlaka husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…