1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Haya Katika kuinyoosha Nchi iliyojaa majizi ni lazima yatokee.Ni kweli kabisa, amempoteza ben saanane, amempiga risasi tundu lissu, ameiba uchaguzi, aliliweka bunge na mahakama mfukoni, alikuwa anajua kila kitu. nk
Wewe Ni kabila gani nimependa mawazo yako ila Happ kwenye wasukuma mh sijakuelewa na sio haki kuhubiri ukabila katika Karne hiiWasukuma kubalini kuwa mungu wenu ameshatangulia mbele ya haki ya Mungu Mkuu.... Mbele ya Mungu mkuu, wengine wanamwita Elshadai, wengine Allah, wengine Maulana,
Yule alikuwa binadamu kama sisi wengine.... alikuwa na mapungufu yake mengi na mazuri yake mengi pia.
Mwacheni mungu wenu apumzike kwa amani basi... Dah!
Siku ya hukumu Mungu mkuu ndio ataamua....
Mfuate huko jehanam usitujazie server bure hapaPamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.
Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.
Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.
Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.
Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.
Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Na yule dhalim hakuwa msukuma yule ni mhutuWewe Ni kabila gani nimependa mawazo yako ila Happ kwenye wasukuma mh sijakuelewa na sio haki kuhubiri ukabila katika Karne hii
Mkuu hapa kuna watu hawana uelewa wa msingi kabisa wa elimu ya uraia na demokrasia.Tatizo la kuishi nchi za kimaskini na zisizo na demokrasi, mkuu wa nchi sio mungu na kumkosoa au kumtukana sio kosa, acha watu waongee sio kuwaua kwa sababu hupendezwi na walichosema
Hivi bora kipi kujenga miundobinu kwenye vichwa vya watanzania au kujenga Barabara na madaraja zenye upigaji? Mwalimu alilinda raslimali zetu hadi watanzania watakapota maarifa.Mwalimu alijenga heshima na kuondoa migawanyiko baina ya watanzania.Anaweza kuwa na makosa kama bindamu lakini ni dhambi kumlinganisha Mwalimu na marais waliomfuata hata wao wanajua wengine walijiita vichuguu wakilinganishwa na MwlPamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.
Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.
Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.
Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.
Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.
Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.
Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.
Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.
Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.
Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.
Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Hayo mazuri huyaoni kuwa yanamtetea?
Na atakumbukwa daima, hata yeye alijua hilo akasema "mtanikumbuka"
Hayo mazuri huyaoni kuwa yanamtetea?
That's why you have inherited it from your aunties!Stupidity is not a crime
mimi sio msukuma ila jamaa ksongea ukweli
Muulizeni Mwenyekiti wenu vizuri anajua alikompeleka. Muulizeni taratibu ama kwa kumbinya atawaelekeza alipo bwatcheightNi kweli kabisa, amempoteza ben saanane, amempiga risasi tundu lissu, ameiba uchaguzi, aliliweka bunge na mahakama mfukoni, alikuwa anajua kila kitu. nk
Inasemaje?Kwamba wakichachafya waue?Soma ibara ya 30 ya katiba ya JMT.
Haya Katika kuinyoosha Nchi iliyojaa majizi ni lazima yatokee.
Mara nyingine majizi yanatengeneza matukio ya kutisha Ili kudhoofisha juhudi za Kiongozi za kupambana na ufisadi.
Kule Zanzibar Mwinyi analeta Maendeleo chanya Lakini kitakachofuata ni matukio ya Ugaidi kutengenezwa Ili kudhoofisha juhudi za kupeza Maendeleo.
Muulizeni Mwenyekiti wenu vizuri anajua alikompeleka. Muulizeni taratibu ama kwa kumbinya atawaelekeza alipo bwatcheight
Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Alipigwa pigo kama la Farao wa Misri.Pamoja na Farao kutuachia majengo makubwa mazuri jumlisha na mapiramidi(maendeleo)lakini kutaka kujilinganisha na Mungu kulimgharimu.Kwa nini watu kabla na baada ya kupata madaraka hawajifunzi uchaji kwa Mungu?Ni kweli alifanya mengi lakini sifa zilimjaa akajisahau akachukua mpaka utukufu wa Mungu! Ukitaka kuamini mpaka leo kuna wapumbavu wanamwabudu! Mungu akaona isiwe tabu akamfyekelea mbali! Magu hakuuwawa magu alikufa kwa maradhi!
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.
Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.
Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.
Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.
Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.
Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.