Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

Ukweli usiopingika: Katika marais waliotumikia taifa letu ni hayati JPM pekee aliyefanya makubwa kwa muda mfupi kuliko marais wote waliotutawala

Ni kweli kabisa, amempoteza ben saanane, amempiga risasi tundu lissu, ameiba uchaguzi, aliliweka bunge na mahakama mfukoni, alikuwa anajua kila kitu. nk
Haya Katika kuinyoosha Nchi iliyojaa majizi ni lazima yatokee.
Mara nyingine majizi yanatengeneza matukio ya kutisha Ili kudhoofisha juhudi za Kiongozi za kupambana na ufisadi.


Kule Zanzibar Mwinyi analeta Maendeleo chanya Lakini kitakachofuata ni matukio ya Ugaidi kutengenezwa Ili kudhoofisha juhudi za kupeza Maendeleo.
 
Wasukuma kubalini kuwa mungu wenu ameshatangulia mbele ya haki ya Mungu Mkuu.... Mbele ya Mungu mkuu, wengine wanamwita Elshadai, wengine Allah, wengine Maulana,

Yule alikuwa binadamu kama sisi wengine.... alikuwa na mapungufu yake mengi na mazuri yake mengi pia.

Mwacheni mungu wenu apumzike kwa amani basi... Dah!

Siku ya hukumu Mungu mkuu ndio ataamua....
Wewe Ni kabila gani nimependa mawazo yako ila Happ kwenye wasukuma mh sijakuelewa na sio haki kuhubiri ukabila katika Karne hii
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Mfuate huko jehanam usitujazie server bure hapa
 
Tatizo la kuishi nchi za kimaskini na zisizo na demokrasi, mkuu wa nchi sio mungu na kumkosoa au kumtukana sio kosa, acha watu waongee sio kuwaua kwa sababu hupendezwi na walichosema
Mkuu hapa kuna watu hawana uelewa wa msingi kabisa wa elimu ya uraia na demokrasia.

Licha ya hilo, hawana hata utu wa kawaida tu, wanafikiri kama wanyama, wanakwenda kwa basic instincts na reflex action kama guluguja.

Ndiyo maana wanafagilia Magufuli kupiga risasi wapinzani.
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.
Hivi bora kipi kujenga miundobinu kwenye vichwa vya watanzania au kujenga Barabara na madaraja zenye upigaji? Mwalimu alilinda raslimali zetu hadi watanzania watakapota maarifa.Mwalimu alijenga heshima na kuondoa migawanyiko baina ya watanzania.Anaweza kuwa na makosa kama bindamu lakini ni dhambi kumlinganisha Mwalimu na marais waliomfuata hata wao wanajua wengine walijiita vichuguu wakilinganishwa na Mwl
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.

Kila Rais alifanya ya kwake ambayo yamejenga msingi wa Magufuli kufanya aliyoyafanya tuwe na heshima.
 
Hayo mazuri huyaoni kuwa yanamtetea?

Umekosea Sana kumlinganisha Nyerere na Magufuli. 1961 Unalinganisha na 2015. Tatizo watoto wa Leo wamezaliwa wamekuta maendeleo ya Tehama wanadhani hata 1961 mambo yalikuwa hivyo. Pia umekosea kumlinganisha na Mkapa kwa kusema Mkapa hakufanya lolote , tafadhali punguza ujuaji. Kila Rais alikuwa na mchango wake.
 
Kwa hivyo alikuwa Rais wa kuvunja upinzani?. Na mwisho akavunjiia yeye. Kiburi ni kitu kibaya Sana. Alikufa na kiburi chake na masifa.
 
mimi sio msukuma ila jamaa ksongea ukweli

Ukweli gani?. Unamlinganisha Rais wa Mwaka 1961 na Rais wa Mwaka 2015. Yani Magufuli kakuta watangulizi wamejengea msingi yeye kapita tu humo.
 
Haya Katika kuinyoosha Nchi iliyojaa majizi ni lazima yatokee.
Mara nyingine majizi yanatengeneza matukio ya kutisha Ili kudhoofisha juhudi za Kiongozi za kupambana na ufisadi.


Kule Zanzibar Mwinyi analeta Maendeleo chanya Lakini kitakachofuata ni matukio ya Ugaidi kutengenezwa Ili kudhoofisha juhudi za kupeza Maendeleo.

Kwa hivyo Lissu na Been Sanaane walikuwa majizi wakapigwa risasi na mwingine kupotezwa?. Magufuli aliangushwa na kiburi na ukatili kwa binadamu.
 
Ni kweli alifanya mengi lakini sifa zilimjaa akajisahau akachukua mpaka utukufu wa Mungu! Ukitaka kuamini mpaka leo kuna wapumbavu wanamwabudu! Mungu akaona isiwe tabu akamfyekelea mbali! Magu hakuuwawa magu alikufa kwa maradhi!
 
Ni kweli alifanya mengi lakini sifa zilimjaa akajisahau akachukua mpaka utukufu wa Mungu! Ukitaka kuamini mpaka leo kuna wapumbavu wanamwabudu! Mungu akaona isiwe tabu akamfyekelea mbali! Magu hakuuwawa magu alikufa kwa maradhi!
Alipigwa pigo kama la Farao wa Misri.Pamoja na Farao kutuachia majengo makubwa mazuri jumlisha na mapiramidi(maendeleo)lakini kutaka kujilinganisha na Mungu kulimgharimu.Kwa nini watu kabla na baada ya kupata madaraka hawajifunzi uchaji kwa Mungu?
 
Pamoja na hayati Julius kutawala kwa miaka 23 huwezi kulinganisha makubwa aliyofanya na yeye na hayati Magufuli. Hayati Julius aliacha nchi imechakaa kwa kila namna, miundo mbinu hovyo, ajira hovyo na hata taifa halikuwa na pesa kabisa.

Huyu Mwinyi ndio alizingua maana hakuna alichofanya cha maana zaidi ya kusaidia watu wasivae masempele.

Mzee Mkapa(RIP) alijitahidi lakini naye hakutufanyia makubwa sana.

Jakaya ndio alituharibia nchi kabisa. Ufisadi ukawa ni heshima kwa watumishi wa umma.

Hayati Magufuli kwa miaka mitano tu alijenga miundo mbinu, shule mahospitali na zahanati kuliko marais waliomtangulia.

Hospital ya rufaa mkoa Mara ilianza kujengwa wakati hayati Nyerere mwaka 1972 lakini ni hayati JPM alihakikisha inakamilika akiwa madarakani.

So what? Badala ya kuangalia mbele ni kulalama kila siku
 
Back
Top Bottom