Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
- Thread starter
-
- #21
TrueWamekuta jengo lisilo na msingi imara, haliendelezeki.
Walipotaka kulivunja na kuanza upya alikua mkali kama mbigo as if hii nchi ilikua milki yake.
Baada kuondoka duniani imekua too late kuanza upya.
Wanalazimika kufanya yote kwa pamoja ambapo ufanisi unakuwa moja toa moja.
Wewe, Mwalimu ni 'Mwenye heri' haambiwi hivyo!Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
We ni mpumbavu.Kwa Kila Mwenye Ubongo Unaofanya Kazi Akiweka Mahaba Na Pembeni Hisia Pembeni, Huyo Mzee Lazima Achanwe Kwa Maamuzi Yake Ya Hovyo Yanayoligharimu Taifa Hili Mpaka Hii Leo,
Nyerere alimpa nauli ya kuja mjini?Wewe endelea kunywa kangara.
Isingekuwa Nyerere ungekuwa unaendelea kula mapuya kijijini maisha yako yote.
Wewe ndio mpumbavu kama alifanya makosa watu wasisimeWe ni mpumbavu.
Aliondoka madarakani tangu 1985.Leo miaka 38.
Utakuwa ni zaidi ya mpumbavu kumlaumu juu ya matatizo unayopata sasa
Alijenga au alirithi kwa wakoloni?Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.
Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive
Nyerere ndo sababu kuu ya umasikini wetuAlisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Wakati anafanya hayo yote,wanafunzi walisoma bure wakipewa madaftari na kalamu shule za msingi,Sekondari walilipiwa nauli ya kwenda na kurudi.Walipewa chakula bure,Vyuo vyote vya kati na chuo kikuu,walipewa chakula au posho ya kujikimu.Walisoma bure.Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.
Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive
Aliondoka madarakani 1984 leo ni 2023 takribani miaka 39 tangu atoke madarakani.Kwa Kila Mwenye Ubongo Unaofanya Kazi Akiweka Mahaba Na Pembeni Hisia Pembeni, Huyo Mzee Lazima Achanwe Kwa Maamuzi Yake Ya Hovyo Yanayoligharimu Taifa Hili Mpaka Hii Leo,
We ni mpumbavu.
Aliondoka madarakani tangu 1985.Leo miaka 38.
Utakuwa ni zaidi ya mpumbavu kumlaumu juu ya matatizo unayopata sasa
Aliondoka madarakani 1984 leo ni 2023 takribani miaka 39 tangu atoke madarakani.
Bado unamlaumu kwa kipi?
Kimsingi hali ya uchumi na Ustawi wa Tanganyika ilikuwa nzuri wakati wa mkoloni.kuliko wakati wa Nyerere na ndio sababu za kung'atuka.Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Hivi unajua Katiba ni Sheria ? Na kama sheria nyingine za kila siku zinavunjwa kila kukicha ambazo zipo wazi kabisa unadhani ni nini kitafanya hawa hawa wasiofuata sheria kuvunja na hio so called nzuri ?Mpumbavu ni baba yako na mama
yako waliokuzaa. nini
kinazuia mabadiliko katika nchi hii kama sio katiba yake mbovu?
Miaka 39 kama nchi tumeshindwa vipi kuibadirisha hadi tumsingizie mzee wetu?Katiba Mbovu Ya Nchi Hii Iliyomfanya Rais Kuwa Kama Mungu Kaileta Nani?
Ilikuwa nzuri kwa nani ? Muindi, Muarabu au Mbantu..., Ilikuwa nzuri sehemu gani ? Sehemu ambazo wamisionari walikuwa wengi na kuwekeza au Tangayika nzima mpaka kusini ?Kimsingi hali ya uchumi na Ustawi wa Tanganyika ilikuwa nzuri wakati wa mkoloni.kuliko wakati wa Nyerere na ndio sababu za kung'atuka.
Na alivyokuwa hazimtoshi hakutaka kusomesha Elimu ya maana kwa sababu tuu alikuwa muoga wa Changamoto kutoka Kwa wasomi.
Ndio maana ukishaona Kiongozi anatumia propaganda saana na maneno meeengi ujue hamna kitu hapo..
Tumshukuru Kwa kuondoa ukabila,udini na sera nzuri za Ardhi.
Baada ya kuondoka Wazungu Kwa nini Haki isiendelee kuwa nzuri na badala yake Kila kitu kikahatibika?Ilikuwa nzuri kwa nani ? Muindi, Muarabu au Mbantu..., Ilikuwa nzuri sehemu gani ? Sehemu ambazo wamisionari walikuwa wengi na kuwekeza au Tangayika nzima mpaka kusini ?
Nyerere alijenga umoja wa Kitaifa (kuna shule mbantu usingesoma bila kutaifisha na kusema tuanze moja)..., Ni sawasawa mzee wako amejenga msingi imara wewe kapuku baada ya miaka kadhaa unalaumu kwanini hakujenga ghorofa..., wakati huenda ni opportunity ya kujenga unayotaka leo badala ya angekujengea ingekuwa imepitwa na wakati hence ungehitaji kuvunja....
Hivi unajua kulikuwa na Classes za Raia aina kama nne; Wazungu, Wahindi, Waarabu na Mwisho wabantu ? Unadhani wewe ungeweza kusoma shule za wahindi au kama baba yako sio chief au mzee wa kanisa ungesoma na machief...., tungeweza kwenda Kenya Route ubepari na familia ya Nyerere kuchichotea ardhi yote kama Familia ya Kenyatta na wengine kuendelea kuwa watazamaji au unadhani hilo lisingewezekana ?Baada ya kuondoka Wazungu Kwa nini Haki isiendelee kuwa nzuri na badala yake Kila kitu kikahatibika?
Bila Wazungu Nyerere angesoma?
ok sawaAlisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.