rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Yeye aliwezaje kusoma katikati ya hizo classes? Kwani Sasa hivi hazipo?Hivi unajua kulikuwa na Classes za Raia aina kama nne; Wazungu, Wahindi, Waarabu na Mwisho wabantu ? Unadhani wewe ungeweza kusoma shule za wahindi au kama baba yako sio chief au mzee wa kanisa ungesoma na machief...., tungeweza kwenda Kenya Route ubepari na familia ya Nyerere kuchichotea ardhi yote kama Familia ya Kenyatta na wengine kuendelea kuwa watazamaji au unadhani hilo lisingewezekana ?
Cha maana ni msingi wa Umoja wa Utaifa / Undugu hayo mengine yote unaweza kuamua hata kuanzia kesho ukayatafuta...., kama ni viwanda vya nguo anzisha, kama ni viwanda vya kubangua korosho anzisha (ila cha ajabu watu mnasema hakuna tunachoweza hivyo tuwape wengine wafanye)..., so unless Nyerere aliwaroga hawa watunga sera sioni kwanini alaumiwe....
Hivi unajua Katiba ni Sheria ? Na kama sheria nyingine za kila siku zinavunjwa kila kukicha ambazo zipo wazi kabisa unadhani ni nini kitafanya hawa hawa wasiofuata sheria kuvunja na hio so called nzuri ?
Huu ni mtazamo finyu kutoka kwako mtoa mada japo una uhuru wa kutoa maoni.Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Miaka 39 kama nchi tumeshindwa vipi kuibadirisha hadi tumsingizie mzee wetu?
Katiba iliyopo ilifaa kwa kipindi kile.
Hata yeye Nyerere aliwahi kusema katiba sio msahafu"
Wakulaumiwa ni wewe uliye hai na unaona kuwa katiba inahitaji mabadiriko lakini hufanyi mabadiriko unataka marehemu ndio wafanye mabadiriko.
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Umeshindwa nini kuibadili?Mpumbavu ni baba yako na mama
yako waliokuzaa. nini
kinazuia mabadiliko katika nchi hii kama sio katiba yake mbovu?
Utapataje mtu makini wa kutuvusha wakati namna ya kumchagua tu ilishanajisiwa tokea enzi zake. Kwa mfano wakati wa kuingia mfumo wa vyama vingi 1992 uliwekwa mfumo wa makusudi 100% wa kihuni ili kubeba watu Fulani Sasa hapo utapataje mtu makini. Katiba mbovu kama hiyo utapataje mtu makini. Kupata mtu makini yapo yanayotangulia kwanza ili kumfikia huyo mtu makini kwa mf katiba nzuri, tume huru ya uchaguzi nkNchi hii ni tajiri sana toka kuumbwa kwake,na Nyerere kaicha ikiwa na utajiri mkubwa sana.
Tatizo tulilonalo sisi watanzania ni namna ya kupata watu makini wa kutuvusha katika angle ya uvunaji wa maliasili zetu,tumetawaliwa na ubanafsi,roho mbaya,uchawi,uroho,tamaa na kila aina ya ushetani,hili ndio tatizo la nchi hii
Aliyekwambia mimi msomi ni nani ? Kwahio wewe kama unadhani kuwa na Sheria bora ni Bora kuliko kufuata hizo sheria zilizopo Hongera sana kwa uelewa wako ila kwa taarifa yako unakachofanya sio kuondoa mzizi wa matatizo ni kama vile unaya-pruni magugu badala ya kuyangoa....Naona unacomment kwa kuweka mahaba mbele kuliko uhalisia.wewe msomi mzima unaijua hadi jamiiforms unajifanya hujui athari
za katiba mbovu ya nchi hii kwa wasimamizi wa sheria kaika kutekeleza majukumu yao? vitu vingine bora ukae kimya,unajidhalilisha,
Kuna dini miaka hizo hazikuwa na wasomi. Wenyewe mpaka leo bado wanataka mtoto wa miaka 14 asiende shule bali aoleweNi kweli ana pia mazuri yake aliacha Dini yake ya RC imejipanga kutawala na kua sehemu kuu ya utawala wa nchi hi. Alijitahidi kuwapendelea kwa kuwapa vyeo serikalini jambo ambao paka leo watu wanataka kuliendeleza hilo jambo la kupokezana uraisi kati ya Dini mbili ni upuuzi sio democracy.
Halafu 1985 alivyo staafu akatuwekea Rais wa hovyo,Salim Ahmed Salim ndiye alifaa kutuongoza tungefika mbaliMpumbavu ni baba yako na mama
yako waliokuzaa. nini
kinazuia mabadiliko katika nchi hii kama sio katiba yake mbovu?
Hakuna kitu, soma kitabu cha mwinyi uone, hivyo viwanda vyote nyerere kaviacha vikiwa kwenye hasara, havikuweza kuendana na technology ya kipindi hicho + mitaji hatukuwa nayo as vingi tulikuwa tunapewa misaada, yan tulikuwa tunatoa pesa serikalini ili kuendeleza hivyo viwanda,Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.
Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive
Sawa wewe sio msomi lakini the fact mwamba unajua umuhimu wa katiba matter most here.Aliyekwambia mimi msomi ni nani ? Kwahio wewe kama unadhani kuwa na Sheria bora ni Bora kuliko kufuata hizo sheria zilizopo Hongera sana kwa uelewa wako ila kwa taarifa yako unakachofanya sio kuondoa mzizi wa matatizo ni kama vile unaya-pruni magugu badala ya kuyangoa....
Ngoja nikupe mfano mmoja wa kuvunja Katiba achana na sheria nyingine zinazovunjwa kila dakika Mtikila alishinda kabisa Kesi kwamba kutokuwa na Mgombea Binafsi kunakiuka Katiba..., unajua what happened walirudi wakabadilisha kifungu retrospectively wakaendelea na kanyaga twende.... (hence umuhimu wa watu kufuata sheria na uzalendo is more important)
Vijana mapunga wanataka Nyerere angemaliza kila kitu na changamoto.Imagine nyerere angekuwa kama viongozi tulionao sasa kisha ujibu mwenyewe ... Mnaomtukana nyerere ni vijana mliozaliwa miaka 1990.
Nyerere aliacha shirika la ATCL linafanya safari ndani na nje ya nchi. Aliacha TRC na Tazara zikifanya kazi ya usafirisha wa abiria na mizigo kwa kiwango.
Nyerere aliacha nchi ikiwa na viwanda vya kutosha vilivyokuwa vinatoa ajira Textile industries, Tyres Industry, Automobile Industry, cement industries, electronic industries (kiwanda cha redio), viwanda vya kusindika na kuchakata mazao zikiwa katika mfumo wa Cotton Ginnery na National Milling karibu kila wilaya vilikuwepo. Viwanda vya viatu (Bora shoes).
Aliweka mkakati ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme kwenye stiggler gorges miaka hiyo.
Aliacha mfumo wa elimu wenye focus ya kuzalisha wabunifu elimu ya leo ni knowledge based.
Aliacha Tsh ikiwa na nguvu.
Hakuwahi kuingia mikataba yenye harufu ya kuuza rasilimali za nchi.
Yako mengi sana.
Iwapo tungefanya jitihada ya kuyaandeleza nchi yetu ingekuwa ni miongoni mwa nchi tatu zenye uchumi imara Afrika.
Aliyoacha nyerere kama tungekuwa positive
Hoja yako ni ipi?Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Kijana wa hovyo baba yako. Wewe kwako hiyo katiba Ni right??Umeshindwa nini kuibadili?
Ninyi ndio vijana wa hovyo sana.
Wakati wa Nyerere kulikuwa na vijana waliothubutu kujaribu kumuangusha Nyerere leo kama kweli unaumizwa na katiba unadhani ukija humu na huu upumbavu wako nini kitabadilika?
Kwani kalaumi1a nini?Tabia mbaya kuwalaumu marehemu..
Viongozi waliopo waache tu wizi na ufisadi, waache visingizio.
Tanzania ni nchi tajiri sana.
Hatupaswi kuwa hivi tulivyo.
Tunapaswa kuongoza Afrika kwa utajiri na nguvu za kisiasa.
Na hili linatakiwa liwe ndani ya miaka 10 tu ijayo.
Alisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.
Ushauri wangu vijana tuache kulaumu nyerereAlisaidia na kukomaa mataifa ya jirani yapate uhuru akasahau kabisa kuendeleza taifa letu.
Kauli mbiu ya kuwa sisi kuwa huru huku majirani zetu hawako huru sio vyema ilifanya akasau kuendeleza taifa letu.
Aliacha miundo mbinu iko hovyo, shule chache, hospitali chache na kila kitu kikiwa hovyo.