Ukweli wasioupenda Watanganyika au Watanzania Bara

Nimebahatika kufika omani,
Watu weusi kibaoooooo
Utafikiri upo kizimkazi
 
Nimebahatika kufika omani,
Watu weusi kibaoooooo
Utafikiri upo kizimkazi
Acha uongo nani kaona hata Balozi au Waziri mweusi hapo Oman
usiilinganishe na Marekani mpaka Rais katokea Kenya
hakuna wabaguzi kama waarabu, wanawafananisha waafrika km punda na ili wasizae na waarabu wanatumia msemo PUNDA HAPANDI MUSCAT bali ni FARASI tu (Tafsiri hiyo kwanzandipo nije nikupe nyingine)
Waarabu koko waliobaki huku kwetu nawajua wote kuanzia wale wa Kigoma, Tabora, Kondoa mpaka Bagamoyo hawaruhusiwi kwenda kwa wajomba wao sembuse kupewa ubalozi km huku Tanganiyika
Hakuna kizazi cha Utumwa kilichobaki kule Arabuni iwe Oman, Emirate au Yemen kusini au kask
 
Waarabu ni jamii ya wajinga zaidi duniani

Ni kweli jamii ya waarabu ni wajinga

jamii iliyostaarabika na wenye akili ni hii iliyokubali mwanaume kuolewa na mzungu kanisani


 
Hilo la jina linaweza kuwa kubwa kuliko la kuhasiwa eti?
 
Bila shaka huamini kuwa sisi waislam wa tanganyika tunawaona waznz ni ndugu. Licha ya kwamba huenda hoja zako kuwa wengi wa walioshiriki mauwaji ya waznz walikuwa ni waislam.

Kama ni hivyo ndugu una msimamo mkali kupindukia. Nikushauri tu maalim, huwezi kubadili historia bali unaweza kuandika historia, na Huu ndio wajibu wetu wanamabadiliko.
Hivyo nakusihi kuwa sehemu ya kuandika historian mpya ili nawe ukumbukwe kwayo.

Ni kama tamthilia ya kibaguzi kati ya shia na Sunni huku kundi moja likisema Fulani kudhulumiwa uongozi. Kiasi kwamba utadhani kwa kuwa na msimamo huo watabadili historia. Au kwa kuwa na misimamo ya kibaguzi itatupeleka peponi.

Suali langu kwako je hakuna waznz walioshiriki ktk mauwaji hayo.

Kama walikuwapo nao unaweza kuwaweka kundi au jina gn la kibaguzi.
 
WAZANZIBARI WANA USEMI WAO WAANASEMA NI BORA MLEVI WA KIZANIBARI KULIKO SHEKHE WA KITANGANYIKA
 
WAZANZIBARI WANA USEMI WAO WAANASEMA NI BORA MLEVI WA KIZANIBARI KULIKO SHEKHE WA KITANGANYIKA
Kwa hiyo unaamini kukitokea machafuko ya kutumia silaha kati ya waznz na watanganyika kina sheikh ponda watashiriki na kuwa mstari wa mbele kuwauwa wanznz. Fanaudhu bilahi mindhalika.

Hivi maalim sefu alikuwa anaamini hivyo?! Sheikh wa uamsho wanaamini hivyo, au ni wainguja ndio huamini hilo, au wapemba wanaamini hivyo, au wale waliosoma dini wanaamini hivyo, au wale wasiosoma dini wanaamini hivyo.... Au wapenzi wa kisonge ndio wanaoamini hivyo.

Unaweza kutaja makundi yanayoamini unavyoamini hivyo, makundi ambayo nawe umo?!??

Hadi sasa bado siamini kama maneno haya yanatoka kwa mznz.

Kama ni kweli nitajua kupitia watakao kuunga mkono.
 
Mimi sipendi kudanganya ila ukitaka kuamini ivoo njoo upose zanzibar alaf jitambulishe kama asili yako ni tanganyika then njoo na majibu hapa
 
Mimi sipendi kudanganya ila ukitaka kuamini ivoo njoo upose zanzibar alaf jitambulishe kama asili yako ni tanganyika then njoo na majibu hapa
Nimeposa na kuoa mznz miaka 10 iliyopita. Tar 23 mwezi huu ndio rasmi natimiza miaka 10.

Mke na wakwe zangu nawaweka kama alama halisi ya mznz.

Nina maisha mazuri tukitembeleana familia zetu hadi vijijini kwetu kama huko mkiita mashamba.

Nimeolea jang'ombe, jirani na kituo cha elfu.

Sijui uko kundi gn miongoni mwa makundi niloyataja.

Kwani mi sitoshangaa sana. Kwani kwa siasa za znz najua watu hutengenezwa na kuwa walivyo
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Kuoa mswahili ni kazi sana. Sio kwamba walikuwa hawaoi, walikuwa wanaoa lakini waswahili wahabebeki.
 
Hahahha niliyajua ayo hao watu wa jangโ€™ombe asili yao huko huko bara ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na wabara wengi hujitapa wameoa wazenji kumbe wameoa wasukuma wenziwao.
 
Kaowe Mwera, Pemba, fuoni,, hapo ntajua kama ww ni mtanganyika kweli lkn unaowa watanganyika wenzio waliokuja na mbio za mwenge halaf unajitapa umeoa mzenji๐Ÿ˜‚
 
Bora mzungu mara elfu kuliko mwarabu. Mzungu kuna nyakati anakuwa na utu, ila mwarabu ni roho ya kutu kila wakati.

Nahisi wote wamejaliwa roho mbaya na kiburi
 
Kaowe Mwera, Pemba, fuoni,, hapo

Bado siamini. Hadi nithibitishe mwenyewe.

Wapemba kina maalim wawe na uoni huo au was fuoni.... Usiwapake matope. Bora ujitambulishe we we ni ktk kundi gn kati ya makundi tajwa hapo mwanzo.

Na ktk sherehe za mwaka huu ACT wameshiriki na kusherehekea mapinduzi. Sijui nao mtawaita kwa jina gn la kibaguzi.

Na weye ni mwenye kuandika historian mpya au ni mwenye kusimulia historia iliyopita ambayo hutoweza kuibadili
 
So we have black Americans? Where are black Arabs?
 
Mtumwa ni mtumwa tu, hao wanawakana baba zao kutoka Tabora kisa wao mama zao walibakwa na waarabu wakazaliwa wao.

Kweli mkataa kwao ni mtumwa na huu utumwa ndio unadhihirika hapa.
 
So we have black Americans? Where are black Arabs?
Black Arabs wapo makunduchi na dole pale ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ndio hawa unaona wanademka wanataka waarabu waje tena kuwananihii ili wajione wameshakuwa waoman,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mkataa kwao mtumwa.

Wanadai Zanzibar ilikuwa na wenyeji, sasa wenyeji walikuwa waarabu? Mbona mwarabu alipokuja kuwachukua watumwa akaita bara la watu weusi? Au hawajui maana ya Zanzibar? Wanajisahaulisha sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ