Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Siyo kweli, unapotosha.Kiutaratibu,
Ni fedhea Kuitwa ukweni wewe ukaenda,
Wewe ndo umeoa, wao ndo wameolewa
Wao ndo walitakiwa waje kwako au mkutane mahali pengine ila sio kule ukweni ulikooa wewe.
[emoji1787][emoji1787]Unadaiwa maharii kama rejesho la kikoba? Kwani kuna mkataba wwte mliandikishana? Wewe komaa ivo ivo ...waambie utalipa kidogo kidogo...mahari haiishi
Labda ina jacuzzi [emoji23]Wanakupangia mahari sh milioni saba mbususu ya binti yao ina mbuga za wanyama na vivutio vya watalii ndani?
Mtu ambaye hata kuandika Mahari huwezi waliwezaje kukupa Mke? Yaani kwa uandishi wako tu ngejua kichwani wewe ni empty.Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Kwa sababu ana mimba imetosha watakuruhusu TU umchukue ila kama mahali kwao nikipaumbele usitarajie positive results...ndoa haitodumu au kusumbua sanaKweli umechanganyikiwa maana unaandika kama unakimbizwa. Hakuna kituo.
Kwenye vikao atapewa jukumu la ulinzi getini.Mkwe kwa inavoonekana huko ukweni kwako kuna siku utatumwa kupasua kuni na kuchota maji....
Mahari katika vitabu vya Dini ni maagizo ya mungu....na hiyo mahari ktk Dini ya kiislamu ni zawadi Kwa mwanamke mwenyewe....kwahiyo mwanamke ndio anaamua apewe kiasi gani.....Sasa bahati mbaya ndugu wameigeuza mahari kuwa ndo mtaji....utasikia sijui mkaja wa mama,sijui kilemba cha Babu yaani Mila ndio imechukua nafasi zaidi.7M kwa mahari labda kama namnunua binti yao moja kwa moja yani harudi kwao tena ndio nishamnunua hivyooo...
Hizi maswala za mahari ifike mahali ziondolewe natamani sana kumjua alieanzisha huu utaratbu aliwaza nini na lengo lake hasa ni lipi?
kwa 7M yani bajaji hiyoo,kwanza kuna IST "a boy from the next door" hapa home anaiuza 5m halafu kaliiii.
7m sio msuli huo useme utaenda ufata pale saba saba,wambie hutaki mazoea hebu...
Kwenye misiba atatumwa apokee wageni na awaelekeze pa kukaaKwenye vikao atapewa jukumu la ulinzi getini.
Sijajua kwao pia wamefikia wapi mkuu?Pitieni nyuzi za huyu mwamba, anaenda kujiingiza kwenye kitanzi [emoji847][emoji847][emoji847][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyuzi zake zote mateso mwanzo mwisho
Ndo hivyo wenzio walimchezea wakamuacha Tena bure kabisa pasipo wazazi kujua.Milioni 7 ππππ kwani ina tivii ndaniππππ............ harafu ukute hata ukumkuta bikra........pango kubwa Tu kama wengine
Jiamini huo ndio ushauri wangu, ni mfupi lakini matunda yake utakuja kunisimuliaNinavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili
Ulikubalije kutoa mahari usiyo na uwezo nayo? Mambo mengine ni kujitakia mwenyewe.Ninavyozungumza hivi sasa amani ndani ya familia baba mkwe imeshavurugika hakuna tena maelewano kati ya binti na baba mkwe lakini pia kati ya baba mkwe na mkwe chanzo cha haya yote ni mahusiano yangu na binti
Na chanzo cha haya yote ni mahali ambayo nilitoa kidogo sana tofauti na matarajio ya wana familia jambo ambalo limeleta mvurugo ndani ya familia kibaya zaidi binti ni mjamzito lakini pia kitu kingine zaidi ni hasara ya pesa aliyoipata baba mkwe wangu alitumia pesa mingi kuandaa sherehe ya engangement huku swala la mahali likiwa nimetoa kidogo sana na mpaka sasa mimi ni mtu ninaonekana muongo.
Msanii na mbabaishaji tuu hivyo upande wa ukweni wanajuta kunipokea na ikumbukwe ya kwamba mahali iliyotolewa mpka sasa m1 na familia ilinipangia m7 na tangu niitoe hiyo hela bado sijaongeza hela yeyote ile japo niiliahidi nitatoa kidogo kidogo angalau ifike nusu.
Hivyo mpka sasa hapa nilipofikia sijui nifenyeje na nimeitwa ukweni hivyo naombeni ushauli ktk hili