Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Sasa kama wanambadala wanamlalamikia nani!!?Huo ni ufaller tu, una vikwazo lukuki halafu nawe unaongeza vikwazo?
Hajui kuwa anawafanya wateja watafute mbadala kwa gharama zozote?
An economic expert from "Mluganzela School of Economics" outlining his views concerning the potential economic repercussions to the European countries following their intention to stop importing the Russian energy.Humu watu mnajadiliana Kama walevi
1.Ulaya wanaitegemea Russia kwa gesi mno kwani ni rahisi na Kuna bombs zimetawanywa Europe gas inafika kwa pipelines.
Ili marekani apeleke gas inabidi asafirishe kwa meli na asambaze kwa meli huku akipitisha gesi maeneo hatari ni gharama kubwa zaidi ya Mara 8 ,compared to Russia.
2. Russia kabla ya hii Vita walishacalculate risk zote na benefit,wakaona ukiiwekea vikwazo Russia , unaiua Ulaya yote kiuchumi kwa fuel na gesi baada ya muda Europe wataachana na vikwazo kwani nchi zao hazitatawalika.
Putin kawapiga apakat lazima wakaeQatar karudia kusema ni uamuzi wa kijinga kuachana na gesi ya Urusi kwa nchi za ulaya na zaidi ni kitu kisichowezekana kufidia gepu la 40℅ ya gesi kwenye soko la dunia si kwa Leo wala kesho HAIWEZEKANI.
Putin ni simba mwenda Pole, uchumi wa dunia unaenda kutikiswa kwa kiwango kisicho elezeka.
Wamepigwa kwenye duara dogo ambalo lipo nyumaUlaya wamepigwa kwenye mshono [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Putin amebanwa pumbu vilivyo,anajaribu kujinasua lkn hawezi.Juzi mimesikia kuwa USA watawauzia gesi Nchi za Ulaya kiasi Cha Mita za ujazo 15 billion.Nadhani ndio sababu Ulaya wanayapuuza masharti ya Putin.Hii ngoma bado mbichi Putin anapiga kwenye moyo vizuri Sana ,ngoja tuone mwisho wake
No future after a thousand years from now.Watu sasa ndio wanaongeza kasi ya kuwekeza kwenye Renewable Energy ambaye bado ameweka akili yake kwenye Fossil Fuels atabaki gizani akipigwa baridi.
Hydrocarbons have no future in our modern world 🌎
Mtamfanya bwana yule awapige nyuklia .....Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.
Source: BBC
Naule wa Nord Stream 1 nawenyewe umesimama pia nasikiaMjerumani hajawi kusema hawezi kuacha kutumia gas from Russia...., mradi wa Nord Stream 2 tayari wameunyima leseni hauendelei tena tokea Russia avamie Ukraine lakini soko lao la gesi sasa watanunua kutoka world market apart from America ambao jana pia wametangaza kuziba hilo gap kwa nchi za ulaya
Kwenye mita ujazo ngapi ambazo EU wanapata tokea RUSSIA?Putin amebanwa pumbu vilivyo,anajaribu kujinasua lkn hawezi.Juzi mimesikia kuwa USA watawauzia gesi Nchi za Ulaya kiasi Cha Mita za ujazo 15 billion.Nadhani ndio sababu Ulaya wanayapuuza masharti ya Putin.
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Zipande marangapi MKUU sasa hv hapo EU kinaumanaHaha wanaumia wananchi wa haohao wa west gharama za maisha zikipanda wanaumia wananchi wao na wala sio putin
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2165266
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vita ya kiuchumi + millitary expansion..Ni vita vya kiuchumi
Kwa hiyo wewe mwananchi wa Buza kwa mpalange ndio umemaliza kubwatuka ushuzi huu!Mkuu haya mambo hayajatokea bahati mbaya.. watu washacalculate mda tu, na Putin anaenda tu bila brake.. wenzie wanatumia akili yeye anaonyesha mavifaru.. wakifanikiwa kumtoa kwenye ku supply gas europe uchumi wao utashuka sana, anawategemea sana kwenye hilo soko asikwambie mtu anauza sana yaani.. hata akiweka sijui auze kwa hela yake, kuna mikataba ya international transactions kuwa us dollar ndio means of transactions, sasa subiri wamtoe abaki na hao wachina na wenzie awauzie.. watu wanamtoa kwenye deals za maana.. tusubiri tuone
Sasa je urusi ataiweza hii vita ya kiuchumi??Vita ya kiuchumi + millitary expansion..
+ Ubepari na Ujamaaa
Norway, Algeria n.k wanauza gas Ulaya lakini exporter mkubwa zaidi ni Russia.
40% unafikiri ni mchezo?
Imagine umekaa zako hapo unaambiwa mshahara wako umekatwa 40% kwa kosa fulani kuanzia sasa na kuendelea.
Halafu Ulaya ilikuwa bado inahitaji gas zaidi ndio maana kuna ule mradi wa NordStream 2 uliokuwa ukiendelea.
Pigo ni kubwa mno.
Sina uhakika sana lkn J3 nadhani ndipo siku Rasmi ya kuanza kulipa kwa kutumia rubles.Ngoja tuone mtanange huu.
atakuwa anapitia kipindi kigumu sana mkuuMimi huwa nachangantikwa ikiwa mrusi ameondolewa kwenye switf ulaya wanafanya transaction kwa njia ipi hiyo
Licha ya Ya NordStream 1, Ulaya bado ilikua na demand kubwa ya gas.Kwa hiyo baada ya nordstream 2 mahitaji yangepanda kutoka 40 mpaka 54% hivi
Unachosema ni kweli, lakini ni lini ulaya itaacha kutumia gesi ya urusi? Kumbuka 40% ni gesi ya urusi pale ulaya.Hivi vikwazo huwa havikuli kwa haraka haraka kama wengi wanavyofikiri. Hivi sasa inatafutwa njia nyingine ya kupata gesi, urusi ndio amewapa akili sasa kuachana na hiyo gesi yake. Baadae utasikia hakuna nchi ya ulaya inayotegemea gesi toka urusi
Swali hapa ni kwamba Marekani anayo gesi ya kutosha kuwahudumia raia wake na ya kuuza ulaya??Ndio mkuu marekani jana wametangaza badala yake soko litahamia kwao, ni Putini amekosa yote pengine Marekani pia alikuwa anataka soko la gesi ikawa hajui ni kwa vipi putini atamnyanganya lakini ngoma imekuja automatically