Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Pointi yako ni ya maana Sana ...lakini subiri matusi na kejeli humu
Wajuaji huwa hawakosekani humu!

Lakini bahati nzuri ni kwamba, wengi wao ni wajuaji wasiojua kitu.

Ninawamudu sana hawa.
 

Wewe bwana acha blah blah ....

Hadhira lengwa hapa ni wakenya na watanzania.

Na lugha pekee ambayo ni lugha-unganishi ni KISWAHILI.
 
Hata Kiswahili ni lugha ya kimataifa na ya kibiashara pia.

Kenya, Uganda, Rwanda, Congo... huko kote tunawasiliana nao na kufanya nao biashara kwa lugha ya Kiswahili...
Dunia ni nchi hizo ulizozitaja? Mwendazake kakuharibu
 
Lugha yenyewe watz wengi siku hizi ni shida, hata afadhali kule Mombasa Kenya wanatushinda,,tumebaki na kiswahili cha mitaani kisicho rasmi...Mama wewe soma hotuba ya kiingereza tu ujiondokee...
Imemaliza mjadala, Safi conclusion
 
Imemaliza kazi
 
Dhima ni kurudisha mahusiano ya kimataifa kwa speed nzuri kabisa, na kama lugha unaimudu tiririka tuu🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…