Nishasepa ila sijaenda mbali saana na home si unajua tena,mambo yakiwa magumu nahamisha kimoja kimoja mdogo mdgo haina haja ya kukodi usafiri[emoji4] [emoji4] [emoji4]
[emoji4] [emoji4] [emoji4] hiyo inaitwa mguu ndani mguu nje, ila najipanga nisepe mkoa kabisa ili nikipigika akili ifanye kazi
[emoji4] [emoji4] [emoji4] hiyo inaitwa mguu ndani mguu nje, ila najipanga nisepe mkoa kabisa ili nikipigika akili ifanye kazi
inategemeana mkuu na eneo uliop na mji pia unao kaa Kuna maeneo Kama mbeya chumba Safi kina maji na umeme pia kwa mwezi elfu 25000 Apo ukiwa na Kama laki mbili ivi unaishi poa na maisha yanaendeleaWakuu kima Cha chini naweza anza life la geto ni kiasi gani kwa wazoefu wa mambo, kwa geto standard chumb safi chenye umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
inategemeana mkuu na eneo uliop na mji pia unao kaa Kuna maeneo Kama mbeya chumba Safi kina maji na umeme pia kwa mwezi elfu 25000 Apo ukiwa na Kama laki mbili ivi unaishi poa na maisha yanaendelea
Sure mkuu kuna mda inabid ku sacrifice baadh ya mambo ili kufanya vitu vya msingi..hawa madem wanatufilis sanaMimi kwakweli kuna kipind nltaka kusepa home kwa influence ya shemeji ynu....baadae nkaona ntakuja kuaibika maana dem alkuw anataka vikubwa mno....nkambwaga...!!nkaanza kuisimamia biashara yngu mpaka iliposimama stable....ndipo nkaamua kupanga sasa
Na nnaenjoy vbaya mno kila nkirud kwangu...kuna mda mpk nnasikitika kwa dharau na kejeli alizokuw ananipa shemj ynu
Dem anajua kabsaa nd kwanz nmemaliza chuo...sina kazi....na serikali nd haina habari...!!.halfu anakuuliza "Lini utakuwa na kwako p?"
Hapo ndo npojua kuwa natembea na chuma ulete moyoni...nkambwaga..na huwez amin mambo yngu...uwezo wangu wa kufikiria ulibadilika kuanzia siku ile
biashara nkaanza...ikasimama na nkaahmia geto
Maisha n kujipangA...just kwanza angalia vikwazo..kuna muda yabd utoe sadaka urafiki...undugu au mapenz ili uendelee mbele(kama vinakurudisha nyuma)View attachment 1035707View attachment 1035710
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahUMETISHA MKUU, ni geto chache sana za wanaume huwa zinatandikwa vyema kiasi hiki..,..
Nafikiri aliogopa kuweka uzi bila picha alijua mtaanza kudai pichaNdo gheto lako hilo mkuu?
kama kuna kaumeme hapo vuta bufa chap kamanda mambo yaende poaMaisha n kujipangA...just kwanza angalia vikwazo..kuna muda yabd utoe sadaka urafiki...undugu au mapenz ili uendelee mbele(kama vinakurudisha nyuma)View attachment 1035707View attachment 1035710
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi naufanyia kaz mzur sana hasa comments za wadau znanipa hamasa za kukaa gheto
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimechekaaa japo sijakuelewa unaishi guest unalipa kwa mwezi au kila sikuSi wengine watukutu toka tupo chekechea tunakaa Guest House.[emoji18]
Hii story sio upepo huu kabisaNakumbuka nmetoka kwenye pepa na mwenzngu nmempakia kwenye boda boda tunarudi zetu home babamkwe ananipigia simu jerry uko wapi nkamwambia,heb njoo swhemu flani wakati nashuka pale na mwanake anakitumbo namshusha huku namtania mzee alitoka chozi la furaha alivyokuwa anatuangalia,nikaonyeshwa gari aina ya ist,that time ndo ubber imeingia tz,akanambia hii ndo gari nliyowapa but kwa sharti la kuniletea kila siku elfu 20 then baada ya mwaka litakuwa lenu,basi nkachukua piki piki nikaifunga sehemu na kuiweka lock then nkachukue ndinga na wife mpka tumapokaa then baadae nkaifata piki piki mpka kule then nkaileta home.
haaaaaahaaaaaaa........ametisha sana maana sio rahisi