Mimi kwakweli kuna kipind nltaka kusepa home kwa influence ya shemeji ynu....baadae nkaona ntakuja kuaibika maana dem alkuw anataka vikubwa mno....nkambwaga...!!nkaanza kuisimamia biashara yngu mpaka iliposimama stable....ndipo nkaamua kupanga sasa
Na nnaenjoy vbaya mno kila nkirud kwangu...kuna mda mpk nnasikitika kwa dharau na kejeli alizokuw ananipa shemj ynu
Dem anajua kabsaa nd kwanz nmemaliza chuo...sina kazi....na serikali nd haina habari...!!.halfu anakuuliza "Lini utakuwa na kwako p?"
Hapo ndo npojua kuwa natembea na chuma ulete moyoni...nkambwaga..na huwez amin mambo yngu...uwezo wangu wa kufikiria ulibadilika kuanzia siku ile
biashara nkaanza...ikasimama na nkaahmia geto
Maisha n kujipangA...just kwanza angalia vikwazo..kuna muda yabd utoe sadaka urafiki...undugu au mapenz ili uendelee mbele(kama vinakurudisha nyuma)
View attachment 1035707View attachment 1035710
Sent using
Jamii Forums mobile app