Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Tatizo mnaanza na biashara badala ya kuanza kutoa shukrani kwa Mungu.

Fanyeni mambo ya kumpendeza Mungu kwanza... Anza na Philanthropy kama biashara ambayo haiingizi faida ambayo itakufungamanisha na Mungu..

Halafu baada ya hapo ndo ufungue biashara sasa sambamba na hiyo Philanthropy.
 
Samaki zilikuangusha vp mkuu? Ndio nimeanza kufanya now.
 
Fanyeni mambo ya kumpendeza Mungu kwanza... Anza na Philanthropy kama biashara ambayo haiingizi faida ambayo itakufungamanisha na Mungu..
Mkuu comment yako imegraduate. Inavigezo vyote vya kuwa uzi. Tafadhali unaweza okoa kizazi kwa kiextend comments hii na kuwa uzi uliokamilika
 
Hadi ufugaji umeshindwa basi chimba kaburi jizike ukawe mfanya biashara kuzimu huenda fungu lako halipo hapa duniani
 
Asante Hornet.. Hapo kwenye kutokumuachia mtu biashara napo ni pagumu sana hasa kama mtu una shughuli zingine au umeajiriwa ni lazima utajikuta mda mwingi haupo. Tatizo pia naona kupata kijana muaminifu na anaeelewa anachokifanya ni shida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…