Usipige hata kabia kweli?
Hakikisha familia haitegemei kwenye biashara yako
Kumbe it works, nipe contacts za mtaalamuAisee mizimu. Haturudii tena.
Samaki zilikuangusha vp mkuu? Ndio nimeanza kufanya now.Nimechoma hela kwenye biashara
1.Mtumba
2.pembe Za ngβombe
3.Kilimo
4.forex
5.Chakula
6.Samaki&Kuku
Mpaka nimekuja kusettle kwenye cosmetics na hapa nimesettle in a very hard way.. Yaani nilichojifunza
Kwenye biashara kuna muda inabidi ujitahidi kuforce sana mambo na kusimamia biashara mwenyewe
Usiachie mtu biashara yako.
Usiweke mtaji wote kabla haujausoma mchezo.
Kubali kuwa mjinga jifunze kwa watangulizi.
Kuwa na nidhamu ya Pesa.
Kupitia haya angalau biashara inaweza kusimama na kukua.
Samaki zilikuangusha vp mkuu? Ndio nimeanza kufanya now.
Mkuu comment yako imegraduate. Inavigezo vyote vya kuwa uzi. Tafadhali unaweza okoa kizazi kwa kiextend comments hii na kuwa uzi uliokamilikaFanyeni mambo ya kumpendeza Mungu kwanza... Anza na Philanthropy kama biashara ambayo haiingizi faida ambayo itakufungamanisha na Mungu..
Kumbe bado upo gozbaSamaki zilikuangusha vp mkuu? Ndio nimeanza kufanya now.
Ulikuwa unategemea supply kutoka mkoa gani?Samaki ziliniangusha supplier alikula hela yangu mpaka Leo sijalipwa
Hadi ufugaji umeshindwa basi chimba kaburi jizike ukawe mfanya biashara kuzimu huenda fungu lako halipo hapa dunianiMtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!
Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!
Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.
NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".
Kajizima dataHujaona kama alilima hapo au sioπππ
πππ noo mkuu gozba nishatoka nipo kahunda sasa hivi, gozba giza lilipofunga nilitoka. Maisha haya.Kumbe bado upo gozba
Pole mkuu, mimi ni tofauti naingia visiwani mwenyewe nakusanya napeleka mwanza kuuza mwenyewe.Samaki ziliniangusha supplier alikula hela yangu mpaka Leo sijalipwa
Kwanini usimtegemee Mungu tu mkuu?Kumbe it works, nipe contacts za mtaalamu
Asante Hornet.. Hapo kwenye kutokumuachia mtu biashara napo ni pagumu sana hasa kama mtu una shughuli zingine au umeajiriwa ni lazima utajikuta mda mwingi haupo. Tatizo pia naona kupata kijana muaminifu na anaeelewa anachokifanya ni shida sana.Kwenye biashara kuna muda inabidi ujitahidi kuforce sana mambo na kusimamia biashara mwenyewe
Usiachie mtu biashara yako.
Usiweke mtaji wote kabla haujausoma mchezo.
Kubali kuwa mjinga jifunze kwa watangulizi.
Kuwa na nidhamu ya Pesa.
Kupitia haya angalau biashara inaweza kusimama na kukua.
Asante Hornet.. Hapo kwenye kutokumuachia mtu biashara napo ni pagumu sana hasa kama mtu una shughuli zingine au umeajiriwa ni lazima utajikuta mda mwingi haupo. Tatizo pia naona kupata kijana muaminifu na anaeelewa anachokifanya ni shida sana.