Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

H
Mkuu hatukimbii kwa kupenda, unalazimika kutoka nduki! We imagine mimi kuna wakati nilikua na mgahawa, asubuhi mnanunua kila kitu kwa 200,000 ikifika jioni kufunga mahesabu unakuta kila kitu kimeisha na mmepata 150,000. Hapo una vijana kama wanne wanasubiria ujira na kesho kunatakiwa hela ya sokoni kufuata mahitaji! Kwanini usivizie watu wakiondoka unakunja majiko yako unatia mfukoni na kutoka nduki kali...???😄😄
Hapo issue ulikua ni chuma ulete tu ungekinga pesa unazoingiza
 
Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!

Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!

Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.

NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".
Sio wote tumeumbwa kuwa wafanyabiashara au wajasiriamali...
 
Watu wamezungumzia issue ya jambo la kiroho..hii kitu inawork 100% sema wengi wetu tunakuwa wavivu au tunapuuzia kusali....hii sio uwongo au utani kama ni mtu wa maombi kabla hujaanza kuuza bidhaa zishike na ombea na liombee eneo hilo utaona matokeo yake. Nasisitiza its work kabisa
Na kutoa zaka na sadaka..biashara ni vita ukiwa lelemama hakuna nyota hutoona
 
Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!

Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!

Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.

NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".

Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!

Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!

Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.

NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".
Jipe angalau miaka 10 ,usirukeruke kama kitenesi unajaribu aina nyingine ya biashara kila baada ya miaka 2 hapo sahau kutoboa.komaa na biashara moja tena sio 10 hiyo min jipe hata 20 yrs.
 
Acha kabisa mkuu. Nimechoma milioni 80 kwenye dhahabu. Imeniacha mbendembende. Daah...! Bahati mbaya napoteza hela na umri ndio umeenda 40+.

Nimegundua ndio maana wakinga wakishika biashara moja ya duka ni hiyo hiyo hawabadiriki.

Hivi najitafuta kwa upya. Duka nililipukutisha kuingiza kwenye dhahabu. Hivi ndio napambania kulirudishia. Bidhaa sina japo biashara ipo. Hapa ili nirudi sawa natakiwa angalau milioni 40 kwa uchache 20 mpya niitupie humo.

Ila unajua nini? Lazima niyarudie madini yanipe hela.
Ulikosea wapi kwenye madini mkuu ukachoma hiyo 80m?
 
Unatoboa ht ukiwa na Mungu tu
Kikubwa upate mawe mazuri sanaa,usagaj mzuri,usimamiz mzuri na mwisho mkemia anaejua nn anafanya

Utakua na tawire hlf mawe yanasoma ppm1 itasaidia nn
Kuendekeza shirki ni aina nyingine ya upungufu wa maarifa na ni zao kubwa la umaskini.

Wazungu hawatumii waganga kutafuta madini bali teknolojia.

Sasa wabongo watachinjishwa mbuzi, kondoo kuku na uongo wa kila aina mwisho wa siku anapoteza chote alichowekeza kwa njia zisizo sahihi.

Mtu unataka kuwekeza kwenye madini, jipe muda jifunze kwa wataalam na tumia mbinu za kitaaluma kutafuta madini sio kwa hearsay za waganga😂.

Inasikitisha kwakweli.
 
Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!

Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!

Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.

NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".
Usikate tamaa, weka imani kwa Mungu usibadili badili biashara, na komaa hapo hapo ulipoamua kushikilia

Sooner or later, utaona faida.
 
Tunaomba ushauri kwenye broker apo.

Mosi, inabidi uwe na leseni ya brokerage, leseni yake bei ndogo tu kukata.

Pili, inabidi uwe na mtaji wa kuanzia biashara. Broker huhitaji hela nyingi kuanza ila cha msingi zaidi ni uwe na maarifa usije uziwa fool's gold.

Brokers wengi huwa wanaingia chaka kusaka mali au wanadhamini watu wenye maduara kwa sharti la mwenye duara akipata akuuzie wewe. Kudhamini is extremely risky sishauri mtu afanye hivyo, cha msingi aingie chaka kusaka mali na ajue jinsi ya kuvutia wateja kama biashara zingine zote. Ukisubiri kuletewa ofisini utasubiri sana labda bei yako iwe above the markets' price.
 
Acha kabisa mkuu. Nimechoma milioni 80 kwenye dhahabu. Imeniacha mbendembende. Daah...! Bahati mbaya napoteza hela na umri ndio umeenda 40+.

Nimegundua ndio maana wakinga wakishika biashara moja ya duka ni hiyo hiyo hawabadiriki.

Hivi najitafuta kwa upya. Duka nililipukutisha kuingiza kwenye dhahabu. Hivi ndio napambania kulirudishia. Bidhaa sina japo biashara ipo. Hapa ili nirudi sawa natakiwa angalau milioni 40 kwa uchache 20 mpya niitupie humo.

Ila unajua nini? Lazima niyarudie madini yanipe hela.

Nina ndugu yangu analipa madeni (uzuri ni mfanyakazi wa serikali) sababu ya Hii biashara ya madini

Bahati mbaya yeye aliingizia na ushirikina, mganga akalamba hela na shimo likalamba pesa

Siyo mchezo..

Pole sana utainuka tu pambana.
 
Mafanikio siyo masihara kuna mambo mazito sana, kuna watu wapo tu furaha yao ni kuona umeshindwa yeye hata akikushindwa anaenda kuomba msaada kwa mchawi mwenzake yaani watu wanakukalia kikao kabisa cha kukaanga, Hapo ndiyo huna Mungu kisawasa ndiyo kwisha habari yako.

Nilikua nakataa Hii kitu mpaka pale iliponikuta

Yaani mtu haujawahi kugombana nae hata kidogo ila anakusagia kunguni kila kona
 
Hilo mimi ndio sinaga hizo mambo mkuu. Mtu ana mtaji wake kwa nini umnyime mbinu za biashara unazozijua?. Na huwezi jua unaempa mbinu hizo baadae atamsaidia nani mwenye vinasaba na wewe,hata wewe mwenyewe pia

Nyie Nyie binaadamu?[emoji119]

Yupo nilimfundisha kila kitu na amekua my no one Enemy!

Yeye ndo amekua anapambana na mimi kupitia migongo ya watu wengine,
Ndo maana matajiri hawataki ukaribu na maskini..
 
Nimechoma hela kwenye biashara

1.Mtumba
2.pembe Za ng’ombe
3.Kilimo
4.forex
5.Chakula
6.Samaki&Kuku


Mpaka nimekuja kusettle kwenye cosmetics na hapa nimesettle in a very hard way.. Yaani nilichojifunza
Kwenye biashara kuna muda inabidi ujitahidi kuforce sana mambo na kusimamia biashara mwenyewe

Usiachie mtu biashara yako.
Usiweke mtaji wote kabla haujausoma mchezo.
Kubali kuwa mjinga jifunze kwa watangulizi.
Kuwa na nidhamu ya Pesa.

Kupitia haya angalau biashara inaweza kusimama na kukua.
 
Nyie Nyie binaadamu?[emoji119]

Yupo nilimfundisha kila kitu na amekua my no one Enemy!

Yeye ndo amekua anapambana na mimi kupitia migongo ya watu wengine,
Ndo maana matajiri hawataki ukaribu na maskini..
Oooh ndio maaana
 
Back
Top Bottom