Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Wanawake bwana!!Nilifanya saving ila siwezi sahau mauza uza yaliyonikuta aisee kwa miaka miwili sikukaa sawa hadi 2022. Ikaleta tafrani hadi kwa penzi langu nikapigwa chini[emoji16].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake bwana!!Nilifanya saving ila siwezi sahau mauza uza yaliyonikuta aisee kwa miaka miwili sikukaa sawa hadi 2022. Ikaleta tafrani hadi kwa penzi langu nikapigwa chini[emoji16].
Hiv unavyozungumzia principle za ulimwengu wa kiroho unamaanisha mambo ya ulokole au what do you mean?Kuna biashara moja hivi tulijaribu miezi ya mwanzoni hivi, tulitengeneza Faida ya 1mil+ ndani ya wiki tatu hivi, ila nisikufiche tulitumia ujuzi wa Ulimwengu wa roho, baadaye tukaona tutumie tu akili zetu na uzoefu maana wateja si tayari wapo, alooo.......walipungua na kuzidi kupungua, hapa tumeamua kutulia tu, tunalisoma soko halafu turudi tena kwenye ulimwengu wa roho.
N:B - Ulimwengu wa roho sio kupitia Shetani tu, hata kupitia njia za Mungu inawezekana.
Chukua maneno yangu si wte tulipata kirahisi. Ushawahi lala ndani hujui hats ufanye nn. Unafyeka tu majani compoundDoooh!! Braza ni kwel hii au unajaribu tu kutupa moyo chief!?
NB
Sio kwa ubaya.my geniune concern
Naelewa braza..naelewa vizur.. mwaka huu nimepita sana kwenye hiz ups n down..!! 🫥🫥🫥Chukua maneno yangu si wte tulipata kirahisi. Ushawahi lala ndani hujui hats ufanye nn. Unafyeka tu majani compound
Usichoke.. kauze tofali, kauze nguo, kauze hata magari na simu. Usichoke. Pesa hujaga tu kuna siku flani.Naelewa braza..naelewa vizur.. mwaka huu nimepita sana kwenye hiz ups n down..!! 🫥🫥🫥
Yah uko sahihi.Usichoke.. ....Pesa hujaga tu kuna siku flani.
Networking safi. Hata ulipo si haba. Hela nzuriYah uko sahihi.
Niko kwenye service buzness. Siuz tangible products but service ambapo unawekeza pesaa na nguvu kaz zaid.
It is the 2nd year sasa toka nimeingia kwenye hii buznes running from -ve, angalau kwa sasa imeanza kuwa na average return kati ya 1.8m to 2.2m monthly amd the number keep on rising the more you enroll more clients.
Aisee, biashara halali hiz ni ngumu sana sio kitoto. Biashara halali ndio maana sio kila mtu anaweza
Softwares. Kukaa kwenye biashara toka haikupi kitu bali ni wewe ndio una inject pesa mpaka ifike hatua sio tu inakupa chochote bali iweze kuji balance kujiendesha then ianze kukupa retun baada ya kuondoa expenses sio kitotoNetworking safi. Hata ulipo si haba. Hela nzuri
Kazi zote si mchezo mdogo wangu.Softwares. Kukaa kwenye biashara toka haikupi kitu bali ni wewe ndio una inject pesa mpaka ifike hatua sio tu inakupa chochote bali iweze kuji balance kujiendesha then ianze kukupa retun baada ya kuondoa expenses sio kitoto
Huwezi toboa bila kibali.Sasa kama ni hivyo ina maana sisi tunaoingia kwenye biashara bila chochote uwezekano wa kutoboa ni sifuri 😐
Fafanua zaidi hili ikikupendezaHuwezi fanikiwa lolote bila kufanikiwa kiroho kwanza ( positive attitude mind) hivi hivi draw back ni nyingi.
Check watu unaohusiana nao marafiki,mke,mme check ardhi ( mtaa) unayokaa.
Ardhi na mke/mme ndio ukupa laana au baraka.
Nilichogundua biashara ni usimamizi wakuu,usiweke biashara,ukiweka kijana mfuatilie vizuri,mara nyingi tunapigwaKomaa mkuu
Acha ushirikina, mitanzania sijui ikojeCheck wataalamu wa nyota pia wachek biashara ipi ndio itashine na nyota Yako.
Unakomaa na jembe kumbe unatakiwa ukashine kwenye daladala.
Elimu ni panaAcha ushirikina, mitanzania sijui ikoje