Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
 
Hii issue inaweza kukuuguza presha usipokuwa bandidu, umetoa 200K kila kitu kimeisha ila mauzo ni 150K, hapo umezamisha 50K na bado una wafanyakazi wamekusimamia uwape chao. Kesho utaanza biashara kwa manunuzi ya 120K (baada ya kulipa wafanyakazi) ama utaongezea 80K ili ufanye manunuzi ya 200K kama kawaida.? Vipi hiyo hali ikiiendelea kwa mwezi mzima.?[emoji1]

Kichwa lazima kiwake moto.


Makosa makubwa ya hii issue ni kuuza bei za kisadakasadaka ili kufurahisha wateja, kuruhusu wafanyakazi ndio wawe wanaojua oder ngapi zimetoka na zimeenda wapi halafu wewe usubiri tu kuletewa hela mezani (watauza oder 10 utaletewa pesa ya oder 7 kisha baadae watakudai ujira wao tena).

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
 
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
Duuuh
 
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
Aisee, kweli kila biashara na changamoto zake
 
Nilifungua biashara ya min hardware store,nikianza na plumbing and electric materials
Nilikaaa miezi.9 ndio nikaanza kuuza,biashara inahitaji uvumilivu, imagine miezi.9 unalipa TU Kodi kutoka mfukoni mwako sio kwenye biashara!!
Uzuri sijaifunga na sitegemei kuifunga mwaka WA pili huuu nishajijengea system ya wateja,ikiwepo taasisi mbalimbali
Kaka naomb nije inbox unishaur mawil matatu natamn namim siku moja pia nifany hii biashara
 
Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....


Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno


Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant

Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢

Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi


Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢



Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome

Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele

Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
 
Yah uko sahihi.
Niko kwenye service buzness. Siuz tangible products but service ambapo unawekeza pesaa na nguvu kaz zaid.
It is the 2nd year sasa toka nimeingia kwenye hii buznes running from -ve, angalau kwa sasa imeanza kuwa na average return kati ya 1.8m to 2.2m monthly amd the number keep on rising the more you enroll more clients.

Aisee, biashara halali hiz ni ngumu sana sio kitoto. Biashara halali ndio maana sio kila mtu anaweza
Hongera mkuu, uko kwenye right track
 
Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
Kwakweli wafanyabiashara kazi tunayo 😄😄
 
Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....


Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno


Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant

Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu [emoji1785][emoji1785]

Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi


Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....[emoji3064][emoji1785][emoji1785]



Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome

Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele

Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
Hahahah nimecheka sana utadhani mazuri.

I feel u brother.

BIASHAra ni nyoko sana.
 
Lazima niyarudie madini yanipe hela.
Una falsafa kama yangu,kuna biashara ilinifilisi sana ila nikajua wapi nilifeli.

Najipanga upya lazima nitairudia na itanipa hela siku za mbeleni.

Nimegundua tunafeli ili tujue wapi tuzibe ili tusonge mbele.

"SEHEMU NILIYOONDOKA HUKU NALIA LAZIMA NITAIRUDIA ILI NIONDOKE HUKU NACHEKA".
 
Nilichojifunza,
Ili utoke kwa haraka lazima uwe na mentor au mtu mzoefu ambaye atakuwa tayari kukuonyesha njia na kukupa siri za game. Asiye na wivu.

Ila kama unataka ukomae mwenye uwe mvumilivu sana.
Mimi niliwahi kupuuza ushauri wa mentor. Nikajikuta natumia 700K nikaambulia 120K. Kosa ni dogo tu la kuleta ujuaji kwa kupuuzia ushauri wa Mentor. Nilikuwa nalima. Ila hilo zao formula yake nilipuuzia kakitu kadogo sana. Ula yeye alifanya akatumia 400K akapata 2M.
"PESA INAWEKEZWA KWA WATU WENYE UJUZI WA JAMBO FULANI ILI IZALISHE".
 
Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....


Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno


Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant

Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢

Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi


Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢



Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome

Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele

Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
Usikate tamaa.. jaribu kufanya tathmini wapi unapokosea halafu urudi mchezoni kivingine kabisa
 
Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....


Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno


Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant

Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢

Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi


Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢



Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome

Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele

Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
Mimi nilifanya biashara ya kahawa (kata kichwa) Nikagawa hela kama 13ml kwa minajiri ya kulipwa kahawa kavu kipindi cha mavuno. Kipindi cha mavuno kimefika baadhi ya watu niliowakopesha walikimbia, wengine wanaleta kahawa mbichi ukianika inapungua uzito na zao la kahawa linauzwa kwa kilo lakini tulikubaliana kwa madebe. Nimekusanya zao limeshuka bei zaidi ya niliyokatia kichwa. Katika mzigo wote niliambulia ml 8 Toka 15. Nilichanganyikiwa sana aisee. Ndo maana saivi naona ni Bora kuwekeza UTT tu bas. Bora kupata kidogo chenye uhakika kuliko kingi chenye stress.
 
Mkuu
Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....


Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno


Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant

Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢

Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi


Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢



Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome

Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele

Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembe
Unanafaka gani?
 
Back
Top Bottom