Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.Hii issue inaweza kukuuguza presha usipokuwa bandidu, umetoa 200K kila kitu kimeisha ila mauzo ni 150K, hapo umezamisha 50K na bado una wafanyakazi wamekusimamia uwape chao. Kesho utaanza biashara kwa manunuzi ya 120K (baada ya kulipa wafanyakazi) ama utaongezea 80K ili ufanye manunuzi ya 200K kama kawaida.? Vipi hiyo hali ikiiendelea kwa mwezi mzima.?[emoji1]
Kichwa lazima kiwake moto.
Makosa makubwa ya hii issue ni kuuza bei za kisadakasadaka ili kufurahisha wateja, kuruhusu wafanyakazi ndio wawe wanaojua oder ngapi zimetoka na zimeenda wapi halafu wewe usubiri tu kuletewa hela mezani (watauza oder 10 utaletewa pesa ya oder 7 kisha baadae watakudai ujira wao tena).
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuuhUlichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
Aisee, kweli kila biashara na changamoto zakeUlichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
Upo wapi??ni pm vifaa za plumbing unazotaka,nikuuuzie Bei ya jumla,dododoma utapokea mzigoN sehemu gan Arusha au dodoma wanauza vifaa vya electronic na plumbing kwa bei nafuu...please naomba mnitajie ata kwa kuweka namba za simu.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Nipo manyaraUpo wapi??ni pm vifaa za plumbing unazotaka,nikuuuzie Bei ya jumla,dododoma utapokea mzigo
Kaka naomb nije inbox unishaur mawil matatu natamn namim siku moja pia nifany hii biasharaNilifungua biashara ya min hardware store,nikianza na plumbing and electric materials
Nilikaaa miezi.9 ndio nikaanza kuuza,biashara inahitaji uvumilivu, imagine miezi.9 unalipa TU Kodi kutoka mfukoni mwako sio kwenye biashara!!
Uzuri sijaifunga na sitegemei kuifunga mwaka WA pili huuu nishajijengea system ya wateja,ikiwepo taasisi mbalimbali
Hongera mkuu, uko kwenye right trackYah uko sahihi.
Niko kwenye service buzness. Siuz tangible products but service ambapo unawekeza pesaa na nguvu kaz zaid.
It is the 2nd year sasa toka nimeingia kwenye hii buznes running from -ve, angalau kwa sasa imeanza kuwa na average return kati ya 1.8m to 2.2m monthly amd the number keep on rising the more you enroll more clients.
Aisee, biashara halali hiz ni ngumu sana sio kitoto. Biashara halali ndio maana sio kila mtu anaweza
Kwakweli wafanyabiashara kazi tunayo 😄😄Ulichokisema ni kweli mkuu,mimi nimefanya biashara ya migahawa kwa muda mrefu kiasi na biashara ya chakula ndio biashara yangu kuu. Kwa uzoefu wangu wa biashara ya chakula hasara inasababishwa sana na vijana wa kazi kwanza wahudumu,wapishi na wateja pia. Wahudumu ndio wezi namba moja watauza oda 10 na kuleta hela ya oda 5,wataiba hela kama hela iwapo unawapa access ya kufikia droo la hela,wanabana chenji mfano anaenda kununua chumvi ya 1000 anachukua 5000 na chenji hairudi.
Wapishi hawa wanaiba materials kama sukari,mafuta,unga,maandazi nk. Wapishi wanahonga chakula kwa mademu zao au kama wanamahusiano ya kimapenzi na wahudumu(hii ilinitokea mpsihi anatembea na mhudumu kwahiyo mhudumu hali chakula cha ofisi siku ya wali maharage mpishi anatengenezea chipsi yao nzito).
Kuna wateja wezi wanakula nakuteleza,wateja wanaiba chill na tomato sauce,wateja wanaiba chakula kama mishikaki,wateja wanaiba stick,wateja wanaiba vijiko,sahani nk
Hahahah nimecheka sana utadhani mazuri.Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....
Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno
Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant
Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu [emoji1785][emoji1785]
Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi
Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....[emoji3064][emoji1785][emoji1785]
Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome
Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele
Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
Una falsafa kama yangu,kuna biashara ilinifilisi sana ila nikajua wapi nilifeli.Lazima niyarudie madini yanipe hela.
"PESA INAWEKEZWA KWA WATU WENYE UJUZI WA JAMBO FULANI ILI IZALISHE".Nilichojifunza,
Ili utoke kwa haraka lazima uwe na mentor au mtu mzoefu ambaye atakuwa tayari kukuonyesha njia na kukupa siri za game. Asiye na wivu.
Ila kama unataka ukomae mwenye uwe mvumilivu sana.
Mimi niliwahi kupuuza ushauri wa mentor. Nikajikuta natumia 700K nikaambulia 120K. Kosa ni dogo tu la kuleta ujuaji kwa kupuuzia ushauri wa Mentor. Nilikuwa nalima. Ila hilo zao formula yake nilipuuzia kakitu kadogo sana. Ula yeye alifanya akatumia 400K akapata 2M.
Usikate tamaa.. jaribu kufanya tathmini wapi unapokosea halafu urudi mchezoni kivingine kabisaHapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....
Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno
Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant
Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢
Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi
Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢
Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome
Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele
Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
Mimi nilifanya biashara ya kahawa (kata kichwa) Nikagawa hela kama 13ml kwa minajiri ya kulipwa kahawa kavu kipindi cha mavuno. Kipindi cha mavuno kimefika baadhi ya watu niliowakopesha walikimbia, wengine wanaleta kahawa mbichi ukianika inapungua uzito na zao la kahawa linauzwa kwa kilo lakini tulikubaliana kwa madebe. Nimekusanya zao limeshuka bei zaidi ya niliyokatia kichwa. Katika mzigo wote niliambulia ml 8 Toka 15. Nilichanganyikiwa sana aisee. Ndo maana saivi naona ni Bora kuwekeza UTT tu bas. Bora kupata kidogo chenye uhakika kuliko kingi chenye stress.Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....
Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno
Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant
Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢
Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi
Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢
Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome
Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele
Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembea
Hiyo ni kweli kabisaNimeshuhudia biashara ya mtu mmoja mlokole inafanikiwa sana, sema yule mtu anatoa zaka, alafu kwenye maombi usiseme alafu anaishi maisha matakatifu sana.
Aisee [emoji1787] umwambie mtu aache uzinzi, anaona Bora aende upande wa pili.
KaribuKaka naomb nije inbox unishaur mawil matatu natamn namim siku moja pia nifany hii biashara
Unanafaka gani?Hapa nilipo tu uharo unanijaa kila mara miashara ya mazao nimelaza mill 40....bei badala ya kupanda zimeshuka.....
Na nikiulizakila sehemu mvua zinanyeesha vizuri it means mazao yakikfika level tu bei inashuka tena uhakika wa mavuno
Nikiingia store nasikia vidudu vimeanza kwenye magunia .....nabamiza mlango hasira naenda kwenye K vant
Ukicheki hii ni loss najiulizaga si bora ningejenga fremu tu 🤢🤢
Biashara ya pili ninayomiliki kosta nikiona tu simu za dereva missed call sipokei nazma cm kila siku gari loss,imeharibika,imeshikwa ipo polisi
Suruali zangu zote hazintoshi zinavuka..hadi kichwa kimepungua kapero nikipanda boda upepo kidogo inaondoka na upepo....🥺🤢🤢
Aisee stress za biashara ....ndoa ikasome
Nikipita mtaani nikiona watoto wanacheza wanafuraha naona km wananipigia kelele
Hakuna kitu kibaya km kuona unafilisika gradually ni km unakufa uku unatembe