Mkuu unagonga kwenye mshono.. mi mwenyewe ni mfanyakazi ila napambana huko nje sema ndio nachezea za uso. Saa nyingine nadhani hata kale ka uhakika kwamba mshahara upo siwezi kufa njaa pengine kananifanya nisiwe serious saana kama inavyotakiwa..?Andika business plan , alafu kopa.
Sema hakikisha unasimamia Hesabu wewe, ukiwaachia wafanyakazi utaliwa shoti, wale wasiguse pesa ndo maana wafanyakazi wengi wa serikalini biashara zinawashinda.
Kuna shortcuts huko na kamwe huwezi ambiwa ila kwa mtu anayekuamini sana.Mtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!
Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!
Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.
NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".
Mara nyingi sanaMtu akikuona leo hii unavyokula bata, maisha mazuri, usafiri mkali na biashara kubwa mjini, anaweza kudhani umefika hapo ulipo kirahisi rahisi tuu. Mimi mwenyewe nilikua nadhani hivyo!
Cha ajabu ni kwamba kila ninapojaribu kutia mguu kwenye biashara nachezea za uso mbaya kabisa najikuta natoka kapa. Mpaka muda huu nimeshajaribu zaidi ya aina 5 tofauti za biashara kuanzia bar, stationary, usafirishaji, kilimo, ufugaji nk na zote hakuna hata moja iliyofanikiwa walau hata kurudisha mtaji!
Nimebaki najiuliza nyie wenzetu mliofanikiwa kutoboa kibiashara je na nyie mwanzo mlichoma mitaji kama sisi? Hebu tupeni akili na sisi tutoboe.
NB: Usije na hoja za "fanya kazi kwa bidii".
Kweli from my experiences with these forces.Hivi hizi ni ukweli au kutishana tuu???
Kwani we ni Muislamu?Umeanza vizuri hapo mwisho ndio umeharibu 😀
Yes .Mkuu unagonga kwenye mshono.. mi mwenyewe ni mfanyakazi ila napambana huko nje sema ndio nachezea za uso. Saa nyingine nadhani hata kale ka uhakika kwamba mshahara upo siwezi kufa njaa pengine kananifanya nisiwe serious saana kama inavyotakiwa..?
Akijaza mzigo akaanza kupata wateja mauzo kwenye droo yanasoma tayari anajibadilisha jina Papaa, Tajiri, Mutu ya watu, Don na mengine ya ujiko mengi.
Anaacha kuongeza mzigo na kutafuta mrija wa pesa zaidi anarukia skirt [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sisi Wanamake wa kukuonyesha pesa zinavyotumiwa tunawasubiri na mawig yetu km Joti full kuwindana
Tupe mbinu.Biashara tamu jaman mimi hata uniambie uniajiri kwa 5m kwa mwezi sikubali ninamwaka wa 3 sasa, kwenye biashara na sijawahi juta
Aisee kwakweli inataka moyo wa chuma kukabiliana na hiyo hali.Nilichoma 78 million na madeni juu zaidi ya millioni 30 dadeq mpaka Leo najikongoja biashara sio pow inabidi uwe na moyo wa ziada laa sivyo unaweza kujinyonga[emoji23]
Achana na madini utachakaaAcha kabisa mkuu. Nimechoma milioni 80 kwenye dhahabu. Imeniacha mbendembende. Daah...! Bahati mbaya napoteza hela na umri ndio umeenda 40+.
Nimegundua ndio maana wakinga wakishika biashara moja ya duka ni hiyo hiyo hawabadiriki.
Hivi najitafuta kwa upya. Duka nililipukutisha kuingiza kwenye dhahabu. Hivi ndio napambania kulirudishia. Bidhaa sina japo biashara ipo. Hapa ili nirudi sawa natakiwa angalau milioni 40 kwa uchache 20 mpya niitupie humo.
Ila unajua nini? Lazima niyarudie madini yanipe hela.
Nilichoma 78 million na madeni juu zaidi ya millioni 30 dadeq mpaka Leo najikongoja biashara sio pow inabidi uwe na moyo wa ziada laa sivyo unaweza kujinyonga[emoji23
Sasa kama ni hivyo ina maana sisi tunaoingia kwenye biashara bila chochote uwezekano wa kutoboa ni sifuri 😐
Sasa kama ni hivyo ina maana sisi tunaoingia kwenye biashara bila chochote uwezekano wa kutoboa ni sifuri 😐
Huwa siamini hesabu za hivyo.....kimsingi kwenye uwanja wa biashara ni tofauti na plan za kwenye maandishiAndika business plan , alafu kopa.
Sema hakikisha unasimamia Hesabu wewe, ukiwaachia wafanyakazi utaliwa shoti, wale wasiguse pesa ndo maana wafanyakazi wengi wa serikalini biashara zinawashinda.
Hili ni la muhimu mnoBiashara unatakiwa ujipe muda wa kujifunza na kuijua hata kwa kujitolea kwa mtu
Kubadili badili biashara ambazo huna uzoefu nazo ina maana kila siku ni kuanza upya huku muda unaenda