Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanauza matambara, mawe na mavi mule ila wateja kibao! Na mapesa kedekede... Ukiwa na macho ya ulimwengu mwingine ndo utayashuhudia hayo hivihivi katu huwezi gundua hilo. Na wao wenyewe wakijua wanakutoa mkuku fasta! 😅🙌🏾
Daaah...! Dhahabu hatari sana jamaa yangu. Hapa kichwa kimevurugika. Najikaza tu uanaume ila nina strees za kufa mtu. Nikivuka Salama mpaka mwaka 2025 nitamshukuru MUNGU sana
Uchimbaji na nilifunga kalasha mkuu.Chief, ulikua wapi kwenye chain ya gold industry? Broker/dealer, mchimbaji, muuza vifaa na madawa, plants au? Ulipataje hasara?
Hapana.. Mungu wetu hachelewi Wala hawai.. inshort anafanya mambo yake kwa wakati anaona unafaa, binadamu subira inatushinda kdgo ndo mana tupo fasta kucheki plan BMungu wenu anataka mteseke?
Uchimbaji na nilifunga kalasha mkuu.
Ndio maana nimekwambia ulikuwa unakimbia biashara mapema. Kama biashara ya kwanza imekufa na baada ya kufa ndio ukapata akili. Hata ya pili itakufa ndipo upate akili sababu huwezi pata maelezo yote ya biashara kabla hujaifanya.Halafu mara nyingi hela ikishaisha ndio hua unaanza kupata akili ya mambo ambayo kama ungeyafanya ungepiga hatua
Hapo kwenye kuvumilia miaka miwili ni pagumu mkuu hasa kama biashara haiingizi hela sasa hiyo miaka miwili unakua unaiendesha vipi, utalipaje gharama nk.
Philanthropy ndio uanze biashara au unasema charity. Mtu ana mtaji wa milioni tano za kupiga vibarua tiyari unataka awe philanthropist, kwani amekuwa George Soros.Tatizo mnaanza na biashara badala ya kuanza kutoa shukrani kwa Mungu.
Fanyeni mambo ya kumpendeza Mungu kwanza... Anza na Philanthropy kama biashara ambayo haiingizi faida ambayo itakufungamanisha na Mungu..
Halafu baada ya hapo ndo ufungue biashara sasa sambamba na hiyo Philanthropy.
Tafuta wateja wa dagaa Dar uwaletee dagaa wa Bukoba wanauzika. Kuna mdada anapata profit zaidi ya mara mbili kila akituma mzigo. Kutapeliwa kupo, kupoteza kupo na ndio maana ya biashara. Kuhusu samaki sijui😁😁😁 noo mkuu gozba nishatoka nipo kahunda sasa hivi, gozba giza lilipofunga nilitoka. Maisha haya.
Kama unasali,Sali sana...kama unaroga roga Sanaa...simple!MKuu hili nimekua nikilisikia sana japo hua siamini kama linaweza kuwa kweli... Labda utufafanulie zaidi
Umeongea kitu cha maana sana. Kwa sasa nimeamua kukomaa na biashara moja hiyo hiyo sibadilishi kamwe nachezea za uso ila nakomaa nayo nimeshakata shauri kwamba ntafia kwenye hii hii biashara..!!!Ndio maana nimekwambia ulikuwa unakimbia biashara mapema. Kama biashara ya kwanza imekufa na baada ya kufa ndio ukapata akili. Hata ya pili itakufa ndipo upate akili sababu huwezi pata maelezo yote ya biashara kabla hujaifanya.
Ungepata hela mara ya pili ukarudi kwenye biashara ileile uliyofeli mwanzo kama ni kweli ina faida ungepiga hatua.
Umedisco kusoma Logistics unaenda kuanza upya Marketing. Kwanini usiende kuanza upya Logistics kwingine angalau modules ushapitia na unajua ulikwama wapi.