Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

Biashara maumivu sana sana sana.
Nakumbuka mwaka 2018, nilipata hasara 1.4M katika kilimo fulani .mwaka 2019 nkafanikiwa kutengeneza 10M+ Kweny biashara (sio kilimo) ,mwaka 2020 nilipata hasara 35M+ (kutoka kwenye biashara,kilimo na kutapeliwa MPK NKARUDI HOME KUANZA MAISHA UPYA , mwaka 2021 nkafeli zaid katika kila jambo la kiuchumi niliofanya MPK nikawa naogopa kujaribu kufanya jambo lolote.

Ila mwaka 2022 Mungu akanikumbuka,NKARUDI katika form MPK sasa.

NB: 1) kama unahela na unataka ufanye biashara hakikisha unawekeza 25% pekee ya hela yako.na usiongezeee hata sh.kumi MPK ikue yenyewe iwe hata mara 3 ya mtaji ulioanza nao.

2) Epuka kuanza biashara kwa hela ya kukopa,biashara anza kwa hela yako. Na ikikua na kuwa na uhakika wa mapato,ndio unaweza kukopa ili kubust mtaji ikue kwa haraka( leverage).

3) Usichanganye Urafiki,undugu,ushukaji ,ujuaji(egoism) na malengo ya biashara yako

4)Usiitegemee faida au hela itakayopatikana Kweny biashara ikulishe,ikulipie kodi au ikusaidie kwa lolote ndan ya miezi 6 ya mwanzo wa biashara yako.


Binafsi haya ndio machache kati ya mengi niliyoyaona,yenye uwezo mkubwa kukirudisha nyuma sana hata kama ulishatoboa kimaisha.
Comment nzur Sana[emoji4][emoji106]
 
Kichawapoteza wengi kibiashara,

Ni kuanza biashara ukiwa na matarajio makubwa mno kuliko uhalisia.

Mfano Ni wale wanaofungua maduka ya dawa kwa kuangalia faida ya kila dawa bila kuzingatia gharama halisi za uendeshaji wa biashara ya Duka la dawa.
 
Biashara maumivu sana sana sana.
Nakumbuka mwaka 2018, nilipata hasara 1.4M katika kilimo fulani .mwaka 2019 nkafanikiwa kutengeneza 10M+ Kweny biashara (sio kilimo) ,mwaka 2020 nilipata hasara 35M+ (kutoka kwenye biashara,kilimo na kutapeliwa MPK NKARUDI HOME KUANZA MAISHA UPYA , mwaka 2021 nkafeli zaid katika kila jambo la kiuchumi niliofanya MPK nikawa naogopa kujaribu kufanya jambo lolote.

Ila mwaka 2022 Mungu akanikumbuka,NKARUDI katika form MPK sasa.

NB: 1) kama unahela na unataka ufanye biashara hakikisha unawekeza 25% pekee ya hela yako.na usiongezeee hata sh.kumi MPK ikue yenyewe iwe hata mara 3 ya mtaji ulioanza nao.

2) Epuka kuanza biashara kwa hela ya kukopa,biashara anza kwa hela yako. Na ikikua na kuwa na uhakika wa mapato,ndio unaweza kukopa ili kubust mtaji ikue kwa haraka( leverage).

3) Usichanganye Urafiki,undugu,ushukaji ,ujuaji(egoism) na malengo ya biashara yako

4)Usiitegemee faida au hela itakayopatikana Kweny biashara ikulishe,ikulipie kodi au ikusaidie kwa lolote ndan ya miezi 6 ya mwanzo wa biashara yako.


Binafsi haya ndio machache kati ya mengi niliyoyaona,yenye uwezo mkubwa kukirudisha nyuma sana hata kama ulishatoboa kimaisha.
Aisee nimejifunza kitu hapa..
 
Ukiingia kwenye biashara bila kuwa na taarifa sahihi .Imekula kwako.Mimi baada ya kumaliza chuo biashara niliyoiona naweza kuifanya na rahisi ni kukaanga kitimoto lakini nilichoma mtaji mara mbili 2018.Baada ya kukutana na magwiji pesa niliianza kuiona aisee.Kuna uhuni mwingi sana kwenye hii biashara .Bahati mbaya nilipata mchongo nikamuachia mwana goli.Week tu akarudi mtaani kutombanisha mijusi ,biashara chalii.View attachment 2801689
Nimeifanya hii pia. Nakuelewa sana.. Tena mimi nilikua nawafuga mwenyewe.
 
nakumbuka niliweka hapa bandiko la mashine gani nzuri ya kuchana mbao wadau wakashauri nichukue husqvana... acha kbs kazi yoyote ya kuambiwa usiende kichwa kichwa kama hujawahi kuifanya ndio kilichonitokea mim
Pole mkuu ,kwa hiyo ilichezea mbata ,mitama, mateke na chembe kidevu za kutosha au sio ? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ukiingia kwenye biashara bila kuwa na taarifa sahihi .Imekula kwako.Mimi baada ya kumaliza chuo biashara niliyoiona naweza kuifanya na rahisi ni kukaanga kitimoto lakini nilichoma mtaji mara mbili 2018.Baada ya kukutana na magwiji pesa niliianza kuiona aisee.Kuna uhuni mwingi sana kwenye hii biashara .Bahati mbaya nilipata mchongo nikamuachia mwana goli.Week tu akarudi mtaani kutombanisha mijusi ,biashara chalii.View attachment 2801689
Tenaa umenikumbusha aisee hii biashara nilipigwa "double impact" matata sanaa😄😄

Mimi nilitafuta eneo nje ya mji nikajenga mabanda, nikaweka vifaranga vya kitimoto nilianza na kama 20. Nikaweka mtu wa kuwasimamia, kuwalisha nk.. Walipoanza kukua nikatafuta eneo mjini nikaweka jiko, nikatafuta kijana wa kukaanga na kuchoma kitimoto. So nikawa naenda mwenyewe shamba, nachinja, naleta mjini nakaanga nauza! Waliongezeka hadi wakawa 100 na kitu.

Kwa kifupi nilikuja kupigwa na kitu kizito na jamaa wote wawili.. wa shamba aliekua anasimamia, na wa mjini aliekua anachoma! Nilichezea za uso nikatoka niko hoi bin taabani mpaka leo sina hamu😀😀😀
 
Tenaa umenikumbusha aisee hii biashara nilipigwa "double impact" matata sanaa[emoji1][emoji1]

Mimi nilitafuta eneo nje ya mji nikajenga mabanda, nikaweka vifaranga vya kitimoto nilianza na kama 20. Nikaweka mtu wa kuwasimamia, kuwalisha nk.. Walipoanza kukua nikatafuta eneo mjini nikaweka jiko, nikatafuta kijana wa kukaanga na kuchoma kitimoto. So nikawa naenda mwenyewe shamba, nachinja, naleta mjini nakaanga nauza! Waliongezeka hadi wakawa 100 na kitu.

Kwa kifupi nilikuja kupigwa na kitu kizito na jamaa wote wawili.. wa shamba aliekua anasimamia, na wa mjini aliekua anachoma! Nilichezea za uso nikatoka niko hoi bin taabani mpaka leo sina hamu[emoji3][emoji3][emoji3]
Pole mkuu ,unaweza share jinsi walivyokufirisi ?
Itakuwa msaada kwa wengine
 
Pole mkuu ,kwa hiyo ilichezea mbata ,mitama, mateke na chembe kidevu za kutosha au sio ? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
unawaza kuendelea roho inagoma yan huwezi tena mlima ni mrefu ulipigiwa mahesabu hewa, lkn pia unawaza kuacha ukimbie roho pia inagoma maana umeshakula hasara ya pesa karibia 3/4 ya pesa yako unaamua ukomae kumbe ndio unaendelea kuteketeza zaidi.... Mwisho wa siku unaamua kukimbia tu ila tayari umeshachelewa hela imeenda yote.
 
Naelewa hiyo situation. Mimi mwenyewe mkimbiaji mzuri wa biashara ila ili usikimbie biashara inabidi ujue sana mchezo wake ulivyo kabla hujaingia, usubiri kupata real experience uko.
Usiende na assumption kwamba kuna hela wakati hujui utaipataje. Usiende na assumption kwamba mzigo utatoka, mauzo yatakuwepo. Nenda na kutafuta profit sio kuonekana uko busy.

Mfano kwenye mgahawa umetumia kwa hesabu za haraka umetumia:
1kg mchele 2300
¼ nyama 2250
Viungo 1000
Mafuta 700
Misc. 250
Gas 1000
Jumla 7500.
Hapo ukiuza kama mtoa msaada unauza sahani tano @ 2000 unapata 10,000.

Gross profit ni 2500 yani hapa umeuza kama mpuuzi bado hujalipa vibarua. Sasa how comes unatumia 200,000 unapata 150,000?

Biashara ya wazi kabisa hii, ulijiuliza ukajua kwanini au uliamua ukimbie kama kawaida yako? Mimi biashara niliyokimbia naweza nikaiandikia kitabu kwanini niliacha, maelezo kibao. Na najua kwanini wanaoifanya hawawezi toboa, na sikukutana na yeyote aliyetoboa.
chief, gas buku?
vibarua unawalipaje, na wanakula wapi?
transport cost ya kuchukua mzigo sokoni?

ushuru wa usafi halmashauri ?

bado cost za flemu.

ndio maana kiuchumi wanasema every one can invest , but not every one can do business.

lazima uwe na passion,capital,experience na Network kubwa ndipo unaweza penya kirahis kwenye biashara
 
chief, gas buku?
vibarua unawalipaje, na wanakula wapi?
transport cost ya kuchukua mzigo sokoni?

ushuru wa usafi halmashauri ?

bado cost za flemu.

ndio maana kiuchumi wanasema every one can invest , but not every one can do business.

lazima uwe na passion,capital,experience na Network kubwa ndipo unaweza penya kirahis kwenye biashara
Kodi, usafi, ushuru, flemu unalipa kila siku?

Transport cost hujaiona kwenye misc.?

Hujaona nimemtajia est. profit kabla hajalipa vibarua.

Unahisi kwanini nimepigia hesabu kilo moja tu na kwa wateja watano, kwani atapika kilo moja kwa vibarua wote wanne. Na kwanini nimepigia kwenye gross profit sio net profit.

Biashara inabidi iwe liquid, iwe na running capital. Nimepiga hesabu ya kurejesha running capital, sio kupata faida kwenye running capital na wala sijagusa fixed expenses.

Mtu anashindwa kutumia 200,000 ya kila siku ya kununua nyanya na mchele akiuza anapata 150,000 uanze na kumwambia kodi na ushuru. Anza na kuitoa hiyo 150,000 iwe 200,000 iliyoingia. Then ulipe wafanyakazi upate faida, then twende kwenye hizo kodi na ushuru. Mtu kujumlisha hajui unamwambia habari za kuzidisha.
 
Nina ndugu yangu analipa madeni (uzuri ni mfanyakazi wa serikali) sababu ya Hii biashara ya madini

Bahati mbaya yeye aliingizia na ushirikina, mganga akalamba hela na shimo likalamba pesa

Siyo mchezo..

Pole sana utainuka tu pambana.
Hawa waganga mnao walaumu huwa wanachukuwa Kia's gani Cha pesa mban Mara nyingi Sana mganga anachukuwa kambuzi na jogoo saanaaa na laki tano hv ,Sasa Ni Kia's gani mnawapa mganga je Ni milion 2 ,3,5
 
Hawa waganga mnao walaumu huwa wanachukuwa Kia's gani Cha pesa mban Mara nyingi Sana mganga anachukuwa kambuzi na jogoo saanaaa na laki tano hv ,Sasa Ni Kia's gani mnawapa mganga je Ni milion 2 ,3,5

Waza nje ya Box chief

Shida siyo pesa unayompa mganga

Shida ni pesa unayopoteza kwa matumaini aliyopewa na mganga

Na hamna mahali mganga amelaumiwa.
 
Back
Top Bottom