Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Sasa mkuu umelea mimba mpaka mwanamke kakifungua ukaishi nae, sasa hukuwajua ndugu zake na wazazi wake maana ni ngumu kuzaa na mwanamke halafu husijue ndugu zake
Swal zur
 
Sasa ndo ukakutana nae anahangaika na maisha na ww Mungu kakubariki yaaan unaweza tamani hata awe housegirl wako washenzi sana hawa.
 
Ni sawa kwa mujibu wa nani sasa? Hio ngoma ishaisha...[emoji3][emoji3] siku zisipo wiana doubts zinaongezeka...

Ni kawaida tu
Makadirio ya nesi yanaweza kuwa wiki mbili mbele na ya ultrasounds yakarudi nyuma


Ila maamuzi ni ya mtu mwenyewe
 
Kila wiki alikuwa anaenda kwa mwenye mimba, ogopa sana wanawake wewe
 
Njoo inbox mjuba
 
Kumla mtoto (wewe sio baba yake mzazi) wa mwanamke unayeishi nae mwenye umri zaidi ya 18 kama 28 hivi , ni kosa au sio kosa? Maoni yako tafadhali
 
Muogope sana kiumbe mwanamke, wamesomea uongo wakafuzu na mwalimu wao alianza kuwafundisha eden
 
Unaweza kuwa mjanja sana ila mapenz Kuna namna kilamtu kaonja maumivu unapigwa had unajiuliza hiv ni mm huyu nadanganywa kiasi hiki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mnajua kudanganya hadi sio poa
 
Usimtukane Irene, utukane ubwege wako k3ng3 wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…