Hela kwa kweli ni mipangoNina ki account cha $ kila mwezi naweka minimum $100. Ikifika mwisho wa mwaka nazitoa zote naamua tu vacation wapi. Sasa hapo wengine wakiona mwisho wa mwaka unasafiri huku na kule wanashangaa!
I agreeNidhamu ni muhimu sana, binafsi nadanya huu utaratibu kuna siku nilienda bank kuomba bank statement nikakutana na million kadhaa kama interest!
Nasisistiza nidhamu kufikia lengo lako ni muhimu sana
Hhahaha kwa nini mkuuUmeolewa?? Nadhan wewe utaniaaidia sana kufanikisha
Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza toyota hiace 2RZ toka Japan ambapo costs za kuagiza na usajili ilini-cost 25.M kwa kipindi hicho!!Chuma kipo road kinapiga route ya Mlowo-Tunduma per day naingiza 60,000/=!!take 60,000/=×30=1,800,000/=!!Serikalini nilishaacha kazi yao na chuma nakisimamia miimi mwenyewe!!Kwa hy kuna njia nyingi za kupata hiyo 10.M ingawa sio mchezo.
Mimi mil 10 yangu ya kwanza nilipata kwa mkopo pale Akiba commercial bank. By the time ilikuwa Net Salary times 12.
Nikanunua gari Toyota Mark II; zingine sijui ziliishaje...
Sasa mwenzetu umefanya kazi miaka 5 tu unataka uwe na Mil 10 pure saving...hongera sana, sisi hatukuweza bwa shee!!
Nielekeze hichi kitu mkuu unafungua ya savings kwenye bank yeyote tu? Na kiwango cha chini cha kuweka pesa ni kiasi gani?Nilifungua account maalum ya savings ambayo sitoi.
Nikaweka standing order ya kukata kiasi fulani kila mwezi kwny akaunti ya kawaida.
Nikawa naishi kwa bajeti na napeleka any extra cash huko.
Haikuchukua muda lengo lilifikiwa.
Na bonus ishakua tabia...kuweka akiba.
Mkuu uko USA?Needs vs wants. Ukifanya tathmini hio 3m au 4m uliyofikisha kutunza halafu ukatumia, utaona kwamba wala matumizi yake leo hii hayaonekani. Watu kinachowamaliza ni matumizi. Nilitoka Tz maskini hata buku ikawa inanipiga chenga, nikaenda USA nikaanza shika usd 5000 kwa mwezi... ambayo kwa exchange rate ya sasa hio ni zaidi ya tshs 10m. Nikawa nanunua suti za $1000 (Sean John), viatu ni jordans, nike, etc. Bling bling kibao. Magari nikawa nabadilisha kila mwaka (USA gari unalipia kwa mwezi kwa hio ni kama mkopo tu). Matanuzi kibao. USD5000 ikawa hata haitoshi kwa matumizi yangu kwa mwezi.
Kwa sasa nimemudu kuwa saver mzuri. Matumizi yasio na msingi sifanyi tena. Nguo sijanunua sijui miaka mingapi. Nanunua viatu tu mara moja moja. Nimeweza ku-save millions and millions and millions. Na nimejenga sana na nina rasilimamali kibao tena kwa hela binafsi na SIO YA MKOPO. PIA NDUGU SIKU HIZI NIMEWAFYEKELEA MBALI. Hakuna mnyonya damu mkubwa na mbaya kama ndugu ambaye hajapambana kama ww kimaisha ila anataka ale tu kwa mrija kupitia jasho lako.
Mumkate kodi??? As who?[emoji848]Ndiyo hivyo. Shida kubwa watu wengi wakienda shule kidogo anaona biashara za mtaani ni kama kushika uchafu. Kuna kijana mmoja mwalimu s/msingi wa kichaga alipanga chumba kwetu akaona fursa akafungua genge la mbogamboga hapo nje kalitengeneza kwa mabanzi tu ya kawaida. Saizi anauza laki 8 kwa siku. Tunataka kuanza kumtoza kodi lakini tunajishtukia kwa aibu, coz ni kasehemu ambacho wala hatukujua kuwa ni potential. Sasa mwambie graduate wa Mzumbe au Udsm afungue genge.
USA unaishi province gani? Hiyo $ 5000 ni baada ya makato ya kodiNeeds vs wants. Ukifanya tathmini hio 3m au 4m uliyofikisha kutunza halafu ukatumia, utaona kwamba wala matumizi yake leo hii hayaonekani. Watu kinachowamaliza ni matumizi. Nilitoka Tz maskini hata buku ikawa inanipiga chenga, nikaenda USA nikaanza shika usd 5000 kwa mwezi... ambayo kwa exchange rate ya sasa hio ni zaidi ya tshs 10m. Nikawa nanunua suti za $1000 (Sean John), viatu ni jordans, nike, etc. Bling bling kibao. Magari nikawa nabadilisha kila mwaka (USA gari unalipia kwa mwezi kwa hio ni kama mkopo tu). Matanuzi kibao. USD5000 ikawa hata haitoshi kwa matumizi yangu kwa mwezi.
Kwa sasa nimemudu kuwa saver mzuri. Matumizi yasio na msingi sifanyi tena. Nguo sijanunua sijui miaka mingapi. Nanunua viatu tu mara moja moja. Nimeweza ku-save millions and millions and millions. Na nimejenga sana na nina rasilimamali kibao tena kwa hela binafsi na SIO YA MKOPO. PIA NDUGU SIKU HIZI NIMEWAFYEKELEA MBALI. Hakuna mnyonya damu mkubwa na mbaya kama ndugu ambaye hajapambana kama ww kimaisha ila anataka ale tu kwa mrija kupitia jasho lako.
Liongo hili[emoji57]Aisee genge kuuza 800,000/- per day si mchezo!
As owners wa nyumbaMumkate kodi??? As who?[emoji848]
We ni kikatuni kisichojitambua kama Esma PlatnumzLiongo hili[emoji57]
Usa naishi San Diego california. Hio $5000 ilikuwa enzi hizo. Sasa hivi mshahara ni $15000 au zaidi kwa mwezi. Ni kazi ya travel rn. Mfano wake ni lini hii hapa chini: Au google, apply for travel RN san diego, california.. hii hapa inalipa $3360 kwa wiki. Taxes toa 10% hivi.USA unaishi province gani? Hiyo $ 5000 ni baada ya makato ya kodi
[emoji28][emoji28]Like seriously.... genge la mbogamboga anauza 800K kwa siku ?
Ok mkuu hongera sana[emoji122]Usa naishi San Diego california. Hio $5000 ilikuwa enzi hizo. Sasa hivi mshahara ni $15000 au zaidi kwa mwezi. Ni kazi ya travel rn. Mfano wake ni lini hii hapa chini: Au google, apply for travel RN san diego, california.. hii hapa inalipa $3360 kwa wiki. Taxes toa 10% hivi.
Travel Telemetry Nurse Jobs in San Diego, CA
Find Travel Telemetry Nurse jobs in San Diego, CA you'll love on Vivian Health.www.nursefly.com
Ndio mkuu. Ila nilikuwa Tz kwa miaka miwili na zaidi hivi kushughulikia projects huko. Ila kwa sasa biz environment in Tz sio nzuri, kwa hivyo nimerudi huku ughaibuni tena.
Ubalozini si nasikia wanazingua sana, mfano kama wewe uliyerudi na kukaa hapa two years, au kwako imekuwaje?Ndio mkuu. Ila nilikuwa Tz kwa miaka miwilu na zaidi hivi kushughulikia projecta huko. Ila kwa sasa biz environment in Tz sio nzuri, kwa hivyo nimerudi huku ughaibuni tena.
Mimi ni raia wa Tz, na kwa USA ni permanent resident. Kwa hio sishughuliki na embassy tena. Unaruhusiwa kukaa nje ya USA kwa muda mrefu tu, ila inabidi ufuate rules fulani za US immigration.Ubalozini si nasikia wanazingua sana, mfano kama wewe uliyerudi na kukaa hapa two years, au kwako imekuwaje?
Chini ya 1 year kama permanent resident haina shida kabisa. Ila kama ni 2 years, kuna form unajaza tu na US immigration kwamba utakuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kama huo.Ubalozini si nasikia wanazingua sana, mfano kama wewe uliyerudi na kukaa hapa two years, au kwako imekuwaje?