Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

Nidhamu ni muhimu sana, binafsi nadanya huu utaratibu kuna siku nilienda bank kuomba bank statement nikakutana na million kadhaa kama interest!

Nasisistiza nidhamu kufikia lengo lako ni muhimu sana
I agree
Afu pia kuachana na hizi simu banking kwa hela zetu za kuunga unga
 
Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza toyota hiace 2RZ toka Japan ambapo costs za kuagiza na usajili ilini-cost 25.M kwa kipindi hicho!!Chuma kipo road kinapiga route ya Mlowo-Tunduma per day naingiza 60,000/=!!take 60,000/=×30=1,800,000/=!!Serikalini nilishaacha kazi yao na chuma nakisimamia miimi mwenyewe!!Kwa hy kuna njia nyingi za kupata hiyo 10.M ingawa sio mchezo.

Mkuu umenipa mwangaza na mori kubwa sana!!
 
Mimi mil 10 yangu ya kwanza nilipata kwa mkopo pale Akiba commercial bank. By the time ilikuwa Net Salary times 12.

Nikanunua gari Toyota Mark II; zingine sijui ziliishaje...

Sasa mwenzetu umefanya kazi miaka 5 tu unataka uwe na Mil 10 pure saving...hongera sana, sisi hatukuweza bwa shee!!

Nawazaga nikope ninunulie gar nagairi nawaza gari kutembelea itarudishaje ela
 
Nilifungua account maalum ya savings ambayo sitoi.

Nikaweka standing order ya kukata kiasi fulani kila mwezi kwny akaunti ya kawaida.

Nikawa naishi kwa bajeti na napeleka any extra cash huko.

Haikuchukua muda lengo lilifikiwa.

Na bonus ishakua tabia...kuweka akiba.
Nielekeze hichi kitu mkuu unafungua ya savings kwenye bank yeyote tu? Na kiwango cha chini cha kuweka pesa ni kiasi gani?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Needs vs wants. Ukifanya tathmini hio 3m au 4m uliyofikisha kutunza halafu ukatumia, utaona kwamba wala matumizi yake leo hii hayaonekani. Watu kinachowamaliza ni matumizi. Nilitoka Tz maskini hata buku ikawa inanipiga chenga, nikaenda USA nikaanza shika usd 5000 kwa mwezi... ambayo kwa exchange rate ya sasa hio ni zaidi ya tshs 10m. Nikawa nanunua suti za $1000 (Sean John), viatu ni jordans, nike, etc. Bling bling kibao. Magari nikawa nabadilisha kila mwaka (USA gari unalipia kwa mwezi kwa hio ni kama mkopo tu). Matanuzi kibao. USD5000 ikawa hata haitoshi kwa matumizi yangu kwa mwezi.
Kwa sasa nimemudu kuwa saver mzuri. Matumizi yasio na msingi sifanyi tena. Nguo sijanunua sijui miaka mingapi. Nanunua viatu tu mara moja moja. Nimeweza ku-save millions and millions and millions. Na nimejenga sana na nina rasilimamali kibao tena kwa hela binafsi na SIO YA MKOPO. PIA NDUGU SIKU HIZI NIMEWAFYEKELEA MBALI. Hakuna mnyonya damu mkubwa na mbaya kama ndugu ambaye hajapambana kama ww kimaisha ila anataka ale tu kwa mrija kupitia jasho lako.
Mkuu uko USA?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo hivyo. Shida kubwa watu wengi wakienda shule kidogo anaona biashara za mtaani ni kama kushika uchafu. Kuna kijana mmoja mwalimu s/msingi wa kichaga alipanga chumba kwetu akaona fursa akafungua genge la mbogamboga hapo nje kalitengeneza kwa mabanzi tu ya kawaida. Saizi anauza laki 8 kwa siku. Tunataka kuanza kumtoza kodi lakini tunajishtukia kwa aibu, coz ni kasehemu ambacho wala hatukujua kuwa ni potential. Sasa mwambie graduate wa Mzumbe au Udsm afungue genge.
Mumkate kodi??? As who?[emoji848]
 
Needs vs wants. Ukifanya tathmini hio 3m au 4m uliyofikisha kutunza halafu ukatumia, utaona kwamba wala matumizi yake leo hii hayaonekani. Watu kinachowamaliza ni matumizi. Nilitoka Tz maskini hata buku ikawa inanipiga chenga, nikaenda USA nikaanza shika usd 5000 kwa mwezi... ambayo kwa exchange rate ya sasa hio ni zaidi ya tshs 10m. Nikawa nanunua suti za $1000 (Sean John), viatu ni jordans, nike, etc. Bling bling kibao. Magari nikawa nabadilisha kila mwaka (USA gari unalipia kwa mwezi kwa hio ni kama mkopo tu). Matanuzi kibao. USD5000 ikawa hata haitoshi kwa matumizi yangu kwa mwezi.
Kwa sasa nimemudu kuwa saver mzuri. Matumizi yasio na msingi sifanyi tena. Nguo sijanunua sijui miaka mingapi. Nanunua viatu tu mara moja moja. Nimeweza ku-save millions and millions and millions. Na nimejenga sana na nina rasilimamali kibao tena kwa hela binafsi na SIO YA MKOPO. PIA NDUGU SIKU HIZI NIMEWAFYEKELEA MBALI. Hakuna mnyonya damu mkubwa na mbaya kama ndugu ambaye hajapambana kama ww kimaisha ila anataka ale tu kwa mrija kupitia jasho lako.
USA unaishi province gani? Hiyo $ 5000 ni baada ya makato ya kodi
 
USA unaishi province gani? Hiyo $ 5000 ni baada ya makato ya kodi
Usa naishi San Diego california. Hio $5000 ilikuwa enzi hizo. Sasa hivi mshahara ni $15000 au zaidi kwa mwezi. Ni kazi ya travel rn. Mfano wake ni lini hii hapa chini: Au google, apply for travel RN san diego, california.. hii hapa inalipa $3360 kwa wiki. Taxes toa 10% hivi.
 
Usa naishi San Diego california. Hio $5000 ilikuwa enzi hizo. Sasa hivi mshahara ni $15000 au zaidi kwa mwezi. Ni kazi ya travel rn. Mfano wake ni lini hii hapa chini: Au google, apply for travel RN san diego, california.. hii hapa inalipa $3360 kwa wiki. Taxes toa 10% hivi.
Ok mkuu hongera sana[emoji122]
 
Ndio mkuu. Ila nilikuwa Tz kwa miaka miwilu na zaidi hivi kushughulikia projecta huko. Ila kwa sasa biz environment in Tz sio nzuri, kwa hivyo nimerudi huku ughaibuni tena.
Ubalozini si nasikia wanazingua sana, mfano kama wewe uliyerudi na kukaa hapa two years, au kwako imekuwaje?
 
Back
Top Bottom