Uliishawahi kuusikia uchawi au ushirikina huu?

Huwa namshangaa sana mtu anaesema uchawi haupoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Nina imani yanakuwa
Aisee
 
Ulikua unaishi sehemu ya kuitwa maputo bilashaka
 
Hivi kwann Mungu aliruhusu uchawi uwepo? Kuna watu wamehribiwa maisha yao sababu ya uchawi,wengine ni machizi sababu ya uchawi,kuna waliokua vizuri kiuchumi ila wamefirisika baada ya kurogwa, yaan ni kero juu ya kero, wezi nao na wazinzi wana dawa za kichawi kufanikisha ayo,
Kwann Mungu aliruhusu uchawi ana faida nao gani yeye?
 
 

Attachments

  • IMG-20240618-WA0026.jpg
    98.8 KB · Views: 13
Huyo ulie mtag nadhani alifanikiwa kupata connection maana zile nyuzi zake za kutafuta fundi haandiki kwa sasa. Saizi ana andika nyuzi za kutaka ushauri wa madili ya mamilioni ya pesa. Hatari sana

Mbona kama katapeliwa tapeliwa sana, au anatuchora kumbe alipata mganga konki

Aigle usitufanyie hivi, naomba namie mganga basi, kuku nnao wa kutosha
 
Huwa namshangaa sana mtu anaesema uchawi haupoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Nina imani yanakuwa hayajamkuta.
Tangu nilipokutana na mmoja ya vigogo wakubwa wa serikali nchi jirani ambaye sikuwahi kumwona live zaidi ya kwenye tv
Lakini siku hiyo alipotimba kwa mtaalamu wa ndumba na gari lake akiwa na mwanaye na mkewe usiku wa manane kwa mtaalamu wa ndumba analia machozi alikuwa na msala mkubwa ambao ulihatarisha ajira yake mtaalamu akampiga setting usiku kucha asubuhi anawasha gari kuondoka wengi tuliolala pale kwa mganga tulimwona hakuna aibu wala kuogopa! Baada ya siku chache msala ukaisha kimya kimya na kupandishwa cheo juu!
Hapo ndo niliamini kweli uchawi upo!!!
 
Ukiwa na nafasi utupe mkasa tucheeeke, make uliyoyapitia ni mengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We acha tu. Ila ndio hivyo nimeamua kumsujudia mwenye mali na fahari za ulimwengu ili anipe access.. haya mengine ni katika changamoto tu..vibweka na mikasa ya kila aina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…