Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

Kuna kazi kipato cha mwezi Ukikigawanya kwa bajeti ya kila siku unakosa hata kidogo cha ku save, unakua unafanyia kula,kodi na kuvaa mara moja moja..
 
Duh mkuu,mbona mimi naweza kukaa zaidi ya mwaka sijanunua nguo? Na ziko poa tu. Hapa nilipo sijanunua nguo tangu mwaka jana
Nguo zinachoka kutokana na quality, idadi ya nguo ulizonazo, shughuli za kuingiza kipato unazofanya.
Sasa mtu unakuta anasuruali 5 yaani mwaka tu zinachoka kutokana na kuzifua mara kwa mara.
 
Sio wote, wa kwangu hayuko hivyo
 
mche wa sabuni
 
Don't worry about a thing
'Cause every little thing gonna be alright
Singin', "Don't worry about a thing
'Cause every little thing gonna be alright"

Rise up this mornin', smile with the risin' sun
Three little birds pitched by my doorstep
Singin' sweet songs of melodies pure and true
Sayin', "This is my message to you""
Singin', "Don't worry about a thing
'Cause every little thing is gonna be alright"
Singin', "Don't worry, don't worry 'bout a thing
'Cause every little thing's gonna be alright"
Your browser is not able to play this audio.
 
Mungu ni mwema! Amini tu ipo siku atakufungulia milango!
Nakumbuka 2020 niliacha kazi mahali baada ya kuona kuna boya mmoja ananipelekea umbea kwa boss!

Nikapiga chini ile kazi nikiamini haitachkua mda ntapata nyingine, mzee hapo ndo nilikoma, nilikaa mwaka na nusu sina mbele wala nyuma, nikipiga mizinga marafiki wote nliokuwa nao, bado ndugu, hapo nna mke na mtoto wa mwaka mmoja,

Ilifika mahali mtoto akabaki kichwa na tumbo kubwaa, anakula ugali hata usio na mboga....tulikula dagaa mpaka tukanukia dagaa, inafika muda hakuna chakula ndani kabisa na huna hata sent na na na huna wa kumpiga kizinga tena.....hii hali sitakaa niisahau!

Ila Mungu alikuja kunikumbuka, angalau nikapata mahali angalau hata milo 3 inapatikana sasahivi, ila ile hali imenifunza, kila nikikumbuka najikuta naweka hakiba! Sasa hivi nimekusanya imefika mil 10 nataka nifungue biashara ya kuniboost maana hiz ajira hazitabirika asee!
 
dah tunapita mengi sana pole mkuu
 
Pole na hongera mkuu
 
Umenifanya nivute taswira mpaka chozi likapita, cha muhimu ongea na wanaume wenzio na ke waliokomaa, wakiskia issue yyte wakuite, kikuu ongea na muumba wako , yaani Mungu kinywani chako asitoke, yote yatapita .
Ameen!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…