Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unafungua na milango na kuendesha huku umening'inia pembeni. Ni mbwembwe mfululizo.FIAT ndio mbaula mzee. Umenikumbusha mbali sana. Ili vizuri jua likiwa kali unapaswa kuwa kifua wazi😀
Nilipelekwa Driving nilivomaliza form 4 kipindi nasubir matokeo ya Advance na Bamkubwa...Nimetoka bush kwenda kuish kwake watoto wake walikuwa ni wadogo kwangu ila walikuwa wanasukuma Cruza mkonga.
Labla aviatorWaaapi.. ila ndege naendesha ndege
Nayo si ndege lakini 😅😅😅Labla aviator
Bamkubwa ndio nani? Kwamba baba yako alikua na watoto kwa mke mwingine auNilipelekwa Driving nilivomaliza form 4 kipindi nasubir matokeo ya Advance na Bamkubwa...Nimetoka bush kwenda kuish kwake watoto wake walikuwa ni wadogo kwangu ila walikuwa wanasukuma Cruza mkonga.
Nikikaa kwenye siti nilikuwa sioni vizuri mbele ikabdi niwe naingia na sturi ndani.Mhh miaka 6??
Kisheria haijakaa poa, akipata janga hata bima nadhan itakuwa ni ishu kulipa hata third party..Hii kisheria imeakaaje mkuu? Hatuombei mabaya ila kwa nia njema je akipata ajali akiwa anaendesha utaziambiaje Mamlaka?
Mi dogo simruhusu kabisa kuendesha japo anang'ang'ania na ana miaka 13 yupo form 2 sasa.
I was 22 yrs Old. Barabara ya mafunzo ilikuwa Sam Nujoma ,from Ubungo kuja mpaka mwenge , Sinza at that time.
Au sio basi tufanye ana miaka 9Nunua mikate unywe mkuu maana inaonekana hujanywa chai. Ulitaka awe na miaka mingapi mkuu ili awe form two?
Gx ipi? Landcruiser version auKuna dogo nilikua namfundisha kuendesha gari mtaani mbona nilikoma.
Kuna sehemu tulipita mtaani kwao, njia haikua nzuri kwa mtu anaejifunza, hivyo nikamwambia twende tukazungukie mbele.
Kumbe pale kwenye njia mbovu kuna masela wake na yeye anataka awaonyeshe anajua gari, si akakunja kona ghafra palepale.(mmmk)
Sasa namuuliza unafanya nini na mie ticha nimekukataza usipite hapa tayari akaingia panic mode, akakanyaga wese mpaka kibati, gari yenyewe gx 110 mpyaaa, alooooooo!!! Ni kama ilipaa mzee kuja kustuka tupo sebuleni kwa mtu.
Pua yooote ya gari ipo sebuleni, tumekuta jamaa anaangalia TV.
Sema katika moja na mbili jamaa alikua muelewa akasema nimjengee tu pale nilipovunja, nikaita mafundi tukalimaliza kiume, vijumba vyenyewe vile vya kota vimechakaa.
Cresta gx 110Gx ipi? Landcruiser version au
Sawa gari moja reliable sanaaCresta gx 110