Unajiandalia msiba hapo nyumbani stupid fatherNikiwa na 24 nilikuwa naendesha, lakini mwanangu ana miaka 12 yuko kidato cha kwanza anaendesha vizuri tu anatupeleka kanisani na kurudi pia shuleni kwa wadogo zake, ila umri wa leseni bado hivyo mjini haendi
Hongera sana kwa kumfundisha kijana. Kuna watoto nawaona wana miaka 14 lakini tayari ni madreva wazuri.Nikiwa na 24 nilikuwa naendesha, lakini mwanangu ana miaka 12 yuko kidato cha kwanza anaendesha vizuri tu anatupeleka kanisani na kurudi pia shuleni kwa wadogo zake, ila umri wa leseni bado hivyo mjini haendi
BadoBado huna uwezo?
Acha dharau na lori lenu nalidondosha maksudi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kwa tuliokulia ndani ya geti , maybe 14 -21
Kwa wale bonyokwa maybe 25+
😂😂😂😂😂Acha dharau na lori lenu nalidondosha maksudi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nipe gari nikutumbukize mtaroni🤣🤣
SawaBado
Duh pole mkuu Mnyenz ntakuja na mimi unifundisheKuna dogo nilikua namfundisha kuendesha gari mtaani mbona nilikoma.
Kuna sehemu tulipita mtaani kwao, njia haikua nzuri kwa mtu anaejifunza, hivyo nikamwambia twende tukazungukie mbele.
Kumbe pale kwenye njia mbovu kuna masela wake na yeye anataka awaonyeshe anajua gari, si akakunja kona ghafra palepale.(mmmk)
Sasa namuuliza unafanya nini na mie ticha nimekukataza usipite hapa tayari akaingia panic mode, akakanyaga wese mpaka kibati, gari yenyewe cresta gx 110 mpyaaa, alooooooo!!! Ni kama ilipaa mzee kuja kustuka tupo sebuleni kwa mtu.
Pua yooote ya gari ipo sebuleni, tumekuta jamaa anaangalia TV.
Sema katika moja na mbili jamaa alikua muelewa akasema nimjengee tu pale nilipovunja, nikaita mafundi tukalimaliza kiume, vijumba vyenyewe vile vya kota vimechakaa.
Humu TUUUUU...Kwa tuliokulia ndani ya geti , maybe 14 -21
Kwa wale bonyokwa maybe 25+
Kisheria ni kosa ila tu tunajitoa ufahamuHii kisheria imeakaaje mkuu? Hatuombei mabaya ila kwa nia njema je akipata ajali akiwa anaendesha utaziambiaje Mamlaka?
Mi dogo simruhusu kabisa kuendesha japo anang'ang'ania na ana miaka 13 yupo form 2 sasa.
Bei ya kujifunzaSasa iv kama kufundisha nafundishia uwanjani
Ukijua ndio tunaongea malipo kama ras simba tu hahahaaBei ya kujifunza
Hahahaaa mtego huoUkijua ndio tunaongea malipo kama ras simba tu hahahaa
Sie wa kijijini tukae pembeni.Uzi wa kishua...
kapata kipengere...🤣