Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
- Thread starter
- #21
Hakuna Cha pole, ila cha muhimu ni kuwaelimisha wanaume wasiwahurumie nyie ma KWatu mna machunguuu!! Poleni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Cha pole, ila cha muhimu ni kuwaelimisha wanaume wasiwahurumie nyie ma KWatu mna machunguuu!! Poleni sana.
Tangu bustanini Eden, mmekuwa viumbe wa hovyoHayanaga formula!!! Linabadilika anytime!! Poor Brain Tinsley mkuje nahukuu
SureMapenzi usiyachukulie serious. Chukulia kama unavyoshabikia Arsenal, Formula 1, Marvel Movies, yaani iwe kama sehemu ya entertainment.
Usimuamini Binadamu asilimia zoteHayanaga formula!!! Linabadilika anytime!! Poor Brain Tinsley mkuje nahukuu
Wabheja sana!!Usimuamini Binadamu asilimia zote
siku yoyote mambo yanaweza haribika
Tunasikitisha sana!Tangu bustanini Eden, mmekuwa viumbe wa hovyo
Pole Sana kiongozi ......wanasema usikague/kufuatilia mawasiliano ya mtu ambaye uko naye..sometimes inatubidi tufanye hivyo kutokana na sababu mbalimbali .
Kuna binti wa hovyo sana yaan fvcken kabisa(mods amuwekee middle fing..) ex shemeji na wifi Yao kwa niaba yangu.
Bibi enu niliyetakiwa kumvisha Pete kwa surprise alianza kunionyesha manyoka ya kutosha sijui sababu tuko mbali kwa Sasa ikabidi nifuatilie mawasiliano yake na njia ya Whatsapp nilishindwa ikabidi nidukue Instagram yake [emoji119]...Ile kitu niliona si ya mchezo,ningekuja kusingiziwa mimba sijui ndio ningempa kwa infrared au Bluetooth au Skype na hatuko Karibu
Alikuwa na plan Dec hii aende vacation Arusha na mpenzi wake walikoutana kwenye mitandao ya kijamii
Sikujua wifi enu Yuko escort sites akitafuta vijibaba vya kiarabu na vizungu lakini insta DM ikanifumbua
Natuma vijisenti vyangu kwa ajili ya kusupport Kodi kumbe kahamia sehemu nyingine anakaa tabata na kimwamba chenye virasta kama marioo
Temporary reply.
Hata Mimi sijaongelea biashara Master. Nimeuliza kilikukuta Nini?Mada yangu inahusu funzo litokanalo na mapenzi ndiyo maana nimewaongelea wanawake na siyo biashara
Na wote tuseme ameeen!Me nafikiri kama kichwani mtu amejaa mawazo hasi na moyoni amejaa sumu kwasababu ya negative experiences alizopata, aachane na mahusiano. Heal yourself. What's the purpose of you being in a relationship?
Hili ndio somo kubwa kwa kweli. Ukiwa na demu permanent utapta msomgo wa mawazo tuuUkitaka kufurahia maisha usiwe na demu permanent utakuja kunishukuru
No lesson no explaination.
Absolutely,ceteris ParibasMwanamke yeyote wa kisasa (namaanisha mwanamke anaeshindana na dunia) ana tamaa tena tamaa mbaya. Na siku zote tamaa mbaya huzaa Ubinafsi
Ubinafsi ni kujijali mwenyewe na kutokujali hisia za wengine, Mtu asiejali hisia za mwingine ni adui... Wengi tunaingia kwenye mahusiano na maadui na uiwapa nafasi ya kuwapa mioyo, akili na hata mwili, tufanyapo hivyo
Kwisha Habari.
Lessons I got:
Trust your instincts. If your heart signals NOPE about someone just run hata kama huja pinpoint shida ni nini hasa.
I'm a better judge of character.
Consistency. If they are not consistent they're not genuine. Run.