Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
🤣🤣🤣🤣Aslaleeee ile sayansi ya kipindi kile ilikua theory sasa nilivoingia plactical sikua naelewa ata kimoja chief mseleleko tuMkuu kwa nini hukutarajia wakati sayansi darasa la sita inasema mbegu zina safari moja tu ya kuwahi kurutubisha yai?
Ukute bro maana vitu vingine unategewa pasipo kujua wala kipanga sasa sangapi nisitoke speeed 🤣🤣🤣Huku itarajia kwanini??, au ndo ulikuwa na mpango wa hit and run tu??
Hapa mkuu siwez kuwa na jibu la mojaa kwa moja nafikir hii inategemeana sana na mtu mwenyewe.Sasa kwanini saivi wengi hawawaoi wanaowazalisha Ni wachache Sana wanawaoa🙂
Usimnyime fimbo mwenzio, hakikisha analia Kila Siku hadi anaingia leba 😜aisee yaani una kula chakula kila siku, Hadi miezi 9 itimie😂🤔.
Huo muda na nguvu SI Bora niwekeze kwenye mambo ya misingi zaidi.
Kula ntakula ,ila sio mfululizo ya hio miezi 9 😂😂
Ko uli mkimbia mtoto??Ukute bro maana vitu vingine unategewa pasipo kujua wala kipanga sasa sangapi nisitoke speeed 🤣🤣🤣
Hamna mkuu, mitazamo na misimamo ya wengine isi kufanye ujiome mkosaji.Inakuwa raha zaid ikiwa mtoto wa ndani ya ndoa yani unajiona baba kamili ila nje ya ndoa mnakuwa malaya wawili wamezaa
Baadae uli gundua ukweli mkuu??Ilikua ni situation ngumu sana maana kwanza hatukua na mawasilisno mazuri na baby mama wangu, so nikawa nawaza mengi sana ikiweno kupewa kisicho changu.
By the way ni kujilipua tu
Nimekupata MkuuHapa mkuu siwez kuwa na jibu la mojaa kwa moja nafikir hii inategemeana sana na mtu mwenyewe.
- Ujue kuna ile ku have sex just for funny but huna malengo na huyo mtu sasa hapa ikitokea mimba unadhan unafanyaje, kama hawakuitoa bas akizaliwa mtoto mnabaki ku co-parenting. Kwangu mimi ilikua tofauti. She was in my plans.
- sababu nyingine ambayo ni common sana japo wengi hawaitilii maanani ni commitment. Ujue ukishakua na mahusiano kadhaa, unajikuta uko commiyed kwa kila bint kwasababu tofaut tofauti kwakua wanawake wanatofautiana. Kuna wajuz wa mapemz ila hawana human skills, kuna wale wife material ila hawana ile vibe wanayopenda vijana, kuna wale principle woman ambao pia wana lack other stuffs, so ukishakua na wanawake zaid ya wawil na wote ukawapendea sifa zao tofaut , mwisho wa siku unakosa ila standing na kuwa na nan hasa, maana kwa huyu unapenda hik na hutak kukosa kile kwa mwingine mwisho wa siku mnajikuta mimba na hutak kuoa hata mmoja kwakua hutaki kumkosa hata mmoja
Hoja nzuri Mr kipara .Hapa mkuu siwez kuwa na jibu la mojaa kwa moja nafikir hii inategemeana sana na mtu mwenyewe.
- Ujue kuna ile ku have sex just for funny but huna malengo na huyo mtu sasa hapa ikitokea mimba unadhan unafanyaje, kama hawakuitoa bas akizaliwa mtoto mnabaki ku co-parenting. Kwangu mimi ilikua tofauti. She was in my plans.
- sababu nyingine ambayo ni common sana japo wengi hawaitilii maanani ni commitment. Ujue ukishakua na mahusiano kadhaa, unajikuta uko commiyed kwa kila bint kwasababu tofaut tofauti kwakua wanawake wanatofautiana. Kuna wajuz wa mapemz ila hawana human skills, kuna wale wife material ila hawana ile vibe wanayopenda vijana, kuna wale principle woman ambao pia wana lack other stuffs, so ukishakua na wanawake zaid ya wawil na wote ukawapendea sifa zao tofaut , mwisho wa siku unakosa ila standing na kuwa na nan hasa, maana kwa huyu unapenda hik na hutak kukosa kile kwa mwingine mwisho wa siku mnajikuta mimba na hutak kuoa hata mmoja kwakua hutaki kumkosa hata mmoja
Hii ni kweli, una jikuta you knock someone, halafu Baadae una kutana na wife material.Hapa mkuu siwez kuwa na jibu la mojaa kwa moja nafikir hii inategemeana sana na mtu mwenyewe.
- Ujue kuna ile ku have sex just for funny but huna malengo na huyo mtu sasa hapa ikitokea mimba unadhan unafanyaje, kama hawakuitoa bas akizaliwa mtoto mnabaki ku co-parenting. Kwangu mimi ilikua tofauti. She was in my plans.
- sababu nyingine ambayo ni common sana japo wengi hawaitilii maanani ni commitment. Ujue ukishakua na mahusiano kadhaa, unajikuta uko commiyed kwa kila bint kwasababu tofaut tofauti kwakua wanawake wanatofautiana. Kuna wajuz wa mapemz ila hawana human skills, kuna wale wife material ila hawana ile vibe wanayopenda vijana, kuna wale principle woman ambao pia wana lack other stuffs, so ukishakua na wanawake zaid ya wawil na wote ukawapendea sifa zao tofaut , mwisho wa siku unakosa ila standing na kuwa na nan hasa, maana kwa huyu unapenda hik na hutak kukosa kile kwa mwingine mwisho wa siku mnajikuta mimba na hutak kuoa hata mmoja kwakua hutaki kumkosa hata mmoja
Aisee Wata pigika kwa style za mapigano mbali mbali.Usimnyime fimbo mwenzio, hakikisha analia Kila Siku hadi anaingia leba 😜
Hela hazijawahi kumtosha mtu, kwahiyo unatakiwa kubalansi muda wa utafutaji pamoja na muda wa kuwa naye
Vinginevyo unaweza kupata mtoto amefanana na jirani yako Mzee nani 😅
Hongereni Sana Mkuu milikaa muda Gani bila mtoto kwenye ndoabinafsi nilifurahi sana, hasa baada ya kukaa miaka mingi kwenye ndoa bila kupata mtoto, hakika nilimshukuru Mungu aliyeniona hata mimi akanifanya niwe na uzao. Mimi na mke wangu tuliteseka sana, tulitukanwa sana, mke wangu alitukanwa matusi yote, na ndugu zangu hata majirani. kuna siku mtoto wa jirani alifanya kimbwanga akamkemea kama mzazi, mamake akaja akamwambia wazazi tuzae wagumbe muleee, imagine unaambiwa hivyo ukiwa kwenye jaribu la kutafuta mtoto. ninachoshukuru Mungu sikwenda kwa mganga wa kienyeji na sikunywa dawa za kienyeji, tulikubaliana na mke wangu kwamba tutapata watoto wa baraka toka kwa Mungu ama la kama tunabaki hivi tutazeeka hivihivi. SISEMI HIVI ILI KUWAHUKUMU WALIOTELEZA NA KWENDA KWA WAGANGA, No, bado mnayo nafasi ya kutubu, mkamwambia Mungu tumeenda kwa waganga hawajatusaidie, tunarudi kwako tunaomba utusaidie, yeye atawasamehe na atajitwalia utukufu.
naandika hivi ili kuwashauri wanaotafuta watoto, msipoteze muda kwa waganga, mwaminini Mungu.
katika siku tusiyodhania, tukiwa tumekata tamaa tumefika mwisho, Ndipo Mungu alianzia. ile line wewe unafika mwisho wa harakati zako zote hapo ndipo Mungu huwa anatake over na kuanza. ghafla, mke wangu akaanza kujisikia vibaya. nilinunua pregrancy test zaidi ya sita, na kwenda hospitali kadhaa wa kadhaa, nilipima PT zote zikaonyesha mistari ya mimba ila nilikuwa siamini. kumbuka mimi nilikuwa nazijua sana PT kwasababu miaka mingi kila mke wangu akipitisha period nilikuwa napima nione imenasa kumbe bado. tulipima kote wakasema ana mimba, sikuamini bado, nilikuja kuamini nilipoona tumbo limeanza kuwa kubwa na anakataa vyakula kadhaa. hadi anajifungua. KILICHOPO SASAIVI, TUMEPATA WATOTO WENGI HADI TUNAPAMBANA KUZUIA MIMBA ama la inaingia anytime. wale waliokuwa wanatafuta mimba Mungu amebadilisha kibao wanapambana kuzuia mimba. Sifa na utukufu kwa Mungu.
KAMA UNAPITA KWENYE JARIBU LA KUPATA MTOTO, ZINGATIA MISTARI HII, IAMINI, UTAPATA WATOTO, MISTARI HII NDIYO TULIKUWA TUNAIPITIA NA KUIAMINI HADI MUNGU AKATUPATIA WATOTO.
Mwanzo 1 :28, Mungu akawabarikia akisema, zaeni mkaongezeka mkaitiishe nchi.
Zaburi 127 :3, watoto ni zawadi toka kwa Bwana.
Mwanzo 9:1,7, Mungu akambariki Nuhu na wanawe, akawaambia, zaeni mkaongezeke. We are the remnants of Noah, we are the survivors of the flood and God blessed us to go and multiply.
Walawi 26: 9, kama tukiyashika maagizo ya Mungu, ataongeza uzao wetu. Tutakuwa na uzazi mwingi, na Mungu atalithibitisha hili agano lake analoliweka nasi kwetu.
Zaburi 128:3, yeyote amchaye Bwana, mkewe atakuwa kama mzabibu uzaao nyumbani mwake. Wanawe watachipua kama miche ya mizeituni wakiizunguka meza yake.
Mwanzo 33:5, Yakobo aliinua macho akaona watoto wa Esau, Esau akasema hawa ndio watoto ambao Mungu alimpa kwa neema yake. Mungu wetu ni wa neema na rehema, anatoaga watoto. Bado anayo neema ya kuwapa watu watoto hata leo hivi, kwasababu yeye ni yeye yule jana leo na hata milele. Habadiliki.
Mwanzo 17:6-7, Mungu alimwambia Ibrahim, Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa na wafalme watatoka kwako. Agano hili alilifanya kuwa kwa vizazi vyake vyote. Kitabu cha Wagalatia 3:6-9 kinasema ya kuwa, sisi tu warithi wa ahadi na baraka zote za Ibrahimu.
2wafalme 13:23, Mungu aliwaangalia wana wa Israel, akawasikitikia, akalikumbuka agano aliloliweka pamoja na ibrahim. Mungu huliangalia Neno lake apate kulitimiza. Neno lake linaweza kutimizwa, lazima litatimizwa kwa mtu yeyote anayeamini. Kama Mungu katika Neno lake anasema kuwa watoto hutoka kwake, na hawatoki kwa mganga wa kienyeji wala kwa miungu iwayo yote, basi, ukidai ahadi hii kwa Mungu atakupa watoto. Ijulikane kuwa, Mungu anao uwezo wa kutoa au kutokutoa watoto kwa watu. Mungu ni juu ya yote, akisema ndiyo hakuna wa kusema hapana, akisema hapana hakuna wa kusema ndiyo. Hata kama waganga wa kinyeji au wachawi walikuharibu kimazingara usizae, au manuizo ya kiuchawi ya namna yoyote ile, Mungu ana nguvu kuliko wachawi na waganga wa kienyeji. Anaweza akakuponya na utapata watoto. Uwezo huo Mungu anao. Yeye ndiye aliyeumba mbingu na dunia, aliumba mwanadamu pia. Hivyo, hata kama wachawi au shetani amekudhuru, au hata kama dhambi imekudhuru kabisa, imeharibu kizazi mamba inaporomoka, imeng’ofoa kizazi kimazingara ili wakafanyie biashara, hauendi hedhi, hauna nguvu za kiume n.k, Mungu anaweza akakuumba upya, uwezo huo Mungu wetu anao, anaweza akakuumba upya na ukawa mzima na kutimiza yote unayotaka, na watoto utapata, maadamu tu unamtumainia Bwana peke yake, hautumainii miungu mingine, hautumainii wachawi,waganga na wasoma nyota. Wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni, hawatatikisika milele, mtumaini Bwana ukatende mema, ukae katika nchi upendezwe na uaminifu, nawe utajifurahisha mbele za Bwana,naye atakupa haja za moyo wako.Amina.
Acha hizo habar mdogo anguHii ni kweli, una jikuta you knock someone, halafu Baadae una kutana na wife material.
Lazima kipara kivuje jasho na Moshi 😂😂
Kumbuka rule namba 1Aisee Wata pigika kwa style za mapigano mbali mbali.
Mi ni mtu mpole Sana, ila Niki kasirika namhoji mpaka askari 😂😂
Siku mkimbia isipokua alinifanya kua na mawazo mengi sikutarajia 🤣🤣Ko uli mkimbia mtoto??
Walio wengi wanawake ile sex for funny wanachukulia ndio wanapendwa ujue kumbe mwenyewe anauhitaji wa mimba na hakwambii mara paaap kitu nini kitaendelea kabifu mshenzi Kisha mleee tu mtoto😃Hapa mkuu siwez kuwa na jibu la mojaa kwa moja nafikir hii inategemeana sana na mtu mwenyewe.
- Ujue kuna ile ku have sex just for funny but huna malengo na huyo mtu sasa hapa ikitokea mimba unadhan unafanyaje, kama hawakuitoa bas akizaliwa mtoto mnabaki ku co-parenting. Kwangu mimi ilikua tofauti. She was in my plans.
- sababu nyingine ambayo ni common sana japo wengi hawaitilii maanani ni commitment. Ujue ukishakua na mahusiano kadhaa, unajikuta uko commiyed kwa kila bint kwasababu tofaut tofauti kwakua wanawake wanatofautiana. Kuna wajuz wa mapemz ila hawana human skills, kuna wale wife material ila hawana ile vibe wanayopenda vijana, kuna wale principle woman ambao pia wana lack other stuffs, so ukishakua na wanawake zaid ya wawil na wote ukawapendea sifa zao tofaut , mwisho wa siku unakosa ila standing na kuwa na nan hasa, maana kwa huyu unapenda hik na hutak kukosa kile kwa mwingine mwisho wa siku mnajikuta mimba na hutak kuoa hata mmoja kwakua hutaki kumkosa hata mmoja