Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
SijaelewaBro halafu collaboration yetu haija Isha, verse yako Ina subiriwa studio😁😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijaelewaBro halafu collaboration yetu haija Isha, verse yako Ina subiriwa studio😁😂😂
Aya , kamwambie " I love you " baada ya hapo usisubiri jibu ika unachopaswa ni kumfungulia thread ya makopa kama awali.Aisee mbona una msemea Sana, au mli panga mni toe kafara😂😂
Kabla ya kumwambia hilo neno, naomba tumalizie Nyimbo yetu ya 2:0 Kaka,🤣😂Aya , kamwambie " I love you " baada ya hapo usisubiri jibu ika unachopaswa ni kumfungulia thread ya makopa kama awali.
Sijaelewa
Kijana mpuuzi sana wewe,utawekwa ngumi za shingo na yule binti🤣Kabla ya kumwambia hilo neno, naomba tumalizie Nyimbo yetu ya 2:0 Kaka,🤣😂
Dah, hongera sana.maika 17 ilikua ndo unachipukia kabinti I can imagine Mimi umri huo nilivokua kajinga.Hongera once again.Nilipata mtoto wangu wa kwanza nikiwa na miaka 17, kiukwrli nilikuwa na hisia mchanganyiko.
-Nilikua naogopa yet sijui naogopa nini
-Nilikuwa nina aibu as nilijiona dah, mi ndo naonekana muhuni mtaani
-Nilikuwa na majuto as niliona nimeaibisha walezi wangu as baba na mama walikwishafariki
-Nilikuwa nina hasira as nilijua sitasoma tena
-Nilikuwa ninahamu ya kumuona mwanangu as nilihisi atakuwa kama kamdoli
-Nilikuwa ninawivu as nilijua boyfrien wangu angeniacha
Yani tu kwa ujumla nilikuwa na sintofahamu kibao.
Binti yangu sasa ana miaka 26.
Leo hii ukiniuliza nitakwambia yafuatayo
KUTUNZA MIMBA NA KUKUBALI KUWA MAMA KWA UMRI ULE, ILIKUWA NI UAMUZI THE BEST NILIWAHI KUFANYA KWENYE MAISHA YANGU!
26+17=43Nilipata mtoto wangu wa kwanza nikiwa na miaka 17, kiukwrli nilikuwa na hisia mchanganyiko.
-Nilikua naogopa yet sijui naogopa nini
-Nilikuwa nina aibu as nilijiona dah, mi ndo naonekana muhuni mtaani
-Nilikuwa na majuto as niliona nimeaibisha walezi wangu as baba na mama walikwishafariki
-Nilikuwa nina hasira as nilijua sitasoma tena
-Nilikuwa ninahamu ya kumuona mwanangu as nilihisi atakuwa kama kamdoli
-Nilikuwa ninawivu as nilijua boyfrien wangu angeniacha
Yani tu kwa ujumla nilikuwa na sintofahamu kibao.
Binti yangu sasa ana miaka 26.
Leo hii ukiniuliza nitakwambia yafuatayo
KUTUNZA MIMBA NA KUKUBALI KUWA MAMA KWA UMRI ULE, ILIKUWA NI UAMUZI THE BEST NILIWAHI KUFANYA KWENYE MAISHA YANGU!
Mwanzoni nlikia na hofu ya namna ingekuwaje, lakin mtoto alipozaliwa ikawa furaha sana..ila baada ya kuvurugwa na mama wa mtoto niliwapotezea mpaka leo na hua sina hata wazo kuhusu waoSitaki kukumbuka wala kusimulia.Kwa sababu,nilimtia mimba mwanafunzi mwenzangu.Hebu fikiria wewe mwenyewe.
True na mimi sijawapima wanangu hapa Tanzania maana najuwa kamba zake, kwani mke wangu akijuwa anaweza kumuomba mpimaji kumpa uroda ili adanganye na mwishowe anakuja kuzaa tena mtoto mwingine nje ya ndoa na mpima DNA wakisingizia ni wanguHongera, ila DNA za kibongo mi sizi aminigi kabisa
Hapo uki cheza Kama cr7 mzee, hope hakujua ulicho fanya 😀😂True na mimi sijawapima wanangu hapa Tanzania maana najuwa kamba zake, kwani mke wangu akijuwa anaweza kumuomba mpimaji kumpa uroda ili adanganye na mwishowe anakuja kuzaa tena mtoto mwingine nje ya ndoa na mpima DNA wakisingizia ni wangu
Sidhani na sijamwambia - ananiona ni mtu wa furaha furaha tu kila wakati kumbe mwenzake nishajuwa watoto kuwa ni damu yanguHapo uki cheza Kama cr7 mzee, hope hakujua ulicho fanya 😀😂
Yani sijui hata nilikuwa nawahi nini, well Mungu alijua nikiwa umri huu ningehitaji binti wa umri wa binti yangu!Dah, hongera sana.maika 17 ilikua ndo unachipukia kabinti I can imagine Mimi umri huo nilivokua kajinga.Hongera once again.
ahahahhahaha, nimecheka26+17=43
Alooooooh weeeeeehNilipita hapa kijana Intelligent businessman lakini hukuona,tatizo macho juu juu kama unatafuta pakujicha mara baada ya kuambiwa "hii mimba yako"
Hongera Sana, Mimi ita pata toto 2 Mwaka 2079 ,😁😂Nina vibinti virembo viwili 5years na 1 year.
Huna sifa ya kumiliki Hiko kifimbo ,kata upikie soup mbwa.🤣Hongera Sana, Mimi ita pata toto 2 Mwaka 2079 ,😁😂