Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #101
Hahaha, hebu nipe hizo mbinu we mzee.Of course tuliendelea kuongeza wengine, maana Wazee tulipokuwa Edeni tulipewa maagizo kwenda kuzaa na kuijaza Dunia 🤗🏋️
Binafsi sikupata changamoto zozote kwani nilijiandaa kuwa Baba Kwa muda mrefu
Na binafsi napenda watoto, hata sasa pamoja na kuzeeka 😜
Nashauri Vijana kabla hamjawa Wazazi(Kuwa Baba/Mama) hakikisheni mmejiandaa Kwa hilo
Binafsi sipendi kuona watoto wakiteseka mitaani Kwa kukosa huduma wakati tunajua fika kwamba Kuna watu wawili walijificha sehemu wakakubaliana kuvuana nguo ili kuwatafuta hao watoto (unless otherwise)
Suala la kubambikiwa watoto lipo kwenye jamii zetu, japo miaka ya hivi karibuni limeanza kuwa sugu baada ya Wasichana wengi kuwageuza watoto kitega Uchumi. Wengi huwafungulia Kadi mbili mbili Kwa mtoto mmoja, hivyo akija Kwa Mzee Grahams natoa Hela ya matunzo ya mtoto na akienda Kwa Kijana mwenzie apewe tena hela za matunzo Kwa mtoto huyo huyo mmoja
Binafsi nina njia zangu za kuweza kujua mtoto niliyepata Kwa Mpenzi/Mke wangu ni wangu kweli ama nilibambikiwa 😜
Huenda zika nifaa siku za karibuni😁