dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Mwendo wa sogea tuishiπ tutaaminije
Mie huwa namrudishia kuwa kwani aliyekuumba tu unamuamini. Mbona amekukataza usifanye mengi mno Ila hakuna ambalo unamuamini na kumfuata, so who am I nimuamini binadamu.Kuambiwa kwani huniamini!
SahiiKuonea watu huruma kwenye masuala ya hela.
Ha ha ha...[emoji1787]Kuambiwa kwani huniamini!
Ha ha ha....wazee EDUCATION IS BETTER THAN MONEYNilikusea sana kwenye mijadala(debate) shuleni nilikuwa natetea elimu ni bora kuliko hela. Aisee nisamehewe sana
Ndio ushaoa hivyomwendo wa sogea tuishi
Sio interview hiiiNdiyo mkuu,kuna swali lingine?
Lilifel, mimi na familia yangu tukijipongeza kwa kweli ππHili jaribio lilifanikiwa au liliishia njiani π€£π€£π€£π€£ nmecheka
Daah mambo aya leo ndo unagundua kumbe sioπHa ha ha....wazee EDUCATION IS BETTER THAN MONEY
Apa sjaelewa[emoji848]Usiamini majibu ya lengo kabla ya matokeo, utazikwa mapema kabla hakujakucha.
Asante chief, tutapambana Kwa kweliKila la kheri mzee.
Ila hiyo collage inazalisha idadi kubwa ya majobless.
Ah wapi, nilitimua chapNdio ushaoa hivyo
Lakini ulioaah wapi, nilitimua chap
hakuna hasara ya Mahari
collage = collegeKila la kheri mzee.
Ila hiyo collage inazalisha idadi kubwa ya majobless.
HAPANALakini ulioa
mkuu jamaa katumia hisia sana embu tumia vziuri vipimo vyako nadhani vinazidi hiyo takwimuUmeandika kwa hisia kali sana
Yaani nikipima ni 3Γ10βΉβ°m/cx
πππππ