Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Binafsi siamini kwenye Uwekezaji wa Ardhi.

#YNWA
 
Faculty au Course mzee baba, no wonder kwa sasa unauza nyanya...
 
Ilitakiwa ukamae huko huko.
Kama umesoma kitabu cha Napolean hill na Kawasaki.
'The principle of persistence ' kuna sehemu Ndpolean kasema 'One meter from the Gold'
Unapokuwa una jambo ulilowekeza muda mwingi ni sawa mtu kuacha dhahabu one meter na kuuza shimo kwa mtu mwenigine halafu mda mfipi unasokia shimo limetema.
Saa wewe ulisha kusanya skill nyingi i sana ktk mziki sasa ulitakuwa utumie fursa zingine kwenye muziki badala ya kukacha.
Hata chuo ilitakiwa uendeleze fani yako ktk mlengo wa kisomi.
Shida kubwa ni kwamba tunakosa washauri na wasimamizi wazur.
Sanaa, michezo na siasa ya TZ imejengwa ktk mfumo wa kujuana juana.
Kwa hio ulitakiwa ujishushe ndio upate.
Hata makazini bila kuwa chawa chawa hupati cheo, seminar promotion nk.
Sisi waafrika ni watu wa hovyo hivi hapa duniani.
Usiiache talent yako hata kama umepata kazi. Talent ndio utajiri aliokupa mungu.
Mi nakushauri uongeze na elimu ya mziki au sanaa uifanye tofauti na mwanzo.
Digiital platform inasaidia sana hata bila mainstream media unaweza julikana.
 

Jambo lako lipambanie mwenyewe
Usitoe siri zako hovyo
Usimwamini mwanadamu 100%
Kukopa iwe last option
If you don’t ask your answer will always be NO.
 
We jamaa una madini sana mkuu... Uko vizuri mkuu
 
We jamaa una madini sana mkuu... Uko vizuri mkuu
Thank mkuu ila mengi yeme evaporate maana maisha yana stress nyingi hasa ukiwa baba unaetegemewa. Miaka 10 iliopita nilikuwa nafanya maokoto ya maneno ya magwoji wanaojua kufikiri, kutafiti na kuandika. Sasa hivi naokoteza okoteza ba ku share hspa jf. Vile vike najifunza humu JF kuna watu wanajua mengi sana sana.
 
Thanks mkuu, japo umeandika kidogo lakini nimeokota mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…