Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kujiingiza ktk madeni
 
Ilitakiwa ukamae huko huko.
Kama umesoma kitabu cha Napolean hill na Kawasaki.
'The principle of persistence ' kuna sehemu Ndpolean kasema 'One meter from the Gold'
Unapokuwa una jambo ulilowekeza muda mwingi ni sawa mtu kuacha dhahabu one meter na kuuza shimo kwa mtu mwenigine halafu mda mfipi unasokia shimo limetema.
Saa wewe ulisha kusanya skill nyingi i sana ktk mziki sasa ulitakuwa utumie fursa zingine kwenye muziki badala ya kukacha.
Hata chuo ilitakiwa uendeleze fani yako ktk mlengo wa kisomi.
Shida kubwa ni kwamba tunakosa washauri na wasimamizi wazur.
Sanaa, michezo na siasa ya TZ imejengwa ktk mfumo wa kujuana juana.
Kwa hio ulitakiwa ujishushe ndio upate.
Hata makazini bila kuwa chawa chawa hupati cheo, seminar promotion nk.
Sisi waafrika ni watu wa hovyo hivi hapa duniani.
Usiiache talent yako hata kama umepata kazi. Talent ndio utajiri aliokupa mungu.
Mi nakushauri uongeze na elimu ya mziki au sanaa uifanye tofauti na mwanzo.
Digiital platform inasaidia sana hata bila mainstream media unaweza julikana.

Ilitakiwa ukamae huko huko.
Kama umesoma kitabu cha Napolean hill na Kawasaki.
'The principle of persistence ' kuna sehemu Ndpolean kasema 'One meter from the Gold'
Unapokuwa una jambo ulilowekeza muda mwingi ni sawa mtu kuacha dhahabu one meter na kuuza shimo kwa mtu mwenigine halafu mda mfipi unasokia shimo limetema.
Saa wewe ulisha kusanya skill nyingi i sana ktk mziki sasa ulitakuwa utumie fursa zingine kwenye muziki badala ya kukacha.
Hata chuo ilitakiwa uendeleze fani yako ktk mlengo wa kisomi.
Shida kubwa ni kwamba tunakosa washauri na wasimamizi wazur.
Sanaa, michezo na siasa ya TZ imejengwa ktk mfumo wa kujuana juana.
Kwa hio ulitakiwa ujishushe ndio upate.
Hata makazini bila kuwa chawa chawa hupati cheo, seminar promotion nk.
Sisi waafrika ni watu wa hovyo hivi hapa duniani.
Usiiache talent yako hata kama umepata kazi. Talent ndio utajiri aliokupa mungu.
Mi nakushauri uongeze na elimu ya mziki au sanaa uifanye tofauti na mwanzo.
Digiital platform inasaidia sana hata bila mainstream media unaweza julikana.
Ni kweli kabisa, ila baada ya kujipata niliona niachane nayo kwa muda maana ilinipotezea muda, ila huko mbeleni nitarejea siku moja.
 
Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.

Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Degree tatu halafu hujui tofauti ya Faculty na course! Wewe ilikuwa unadesa si bure
that's how unauza nyanya Tena itakuwa masalo
 
U
Sina ninachojutia. Kila nilichopitia kilikuwa daraja la kunifikisha nilipo hivi sasa.
Najitahidi kuwa bora, nisiwe kama nilikotoka.

Majuto yafaa nini ikiwa maisha ni sasa?
Anza kuishi sasa, achana na yaliyopita.
Uko vizuri mno madame. Kila kosa ama zuri,adui na rafiki wote huwa Ni content ya maisha yetu pia huwa Ni pushing force ,ndio Mana Kuna Giza na mwanga , God and shetani ndipo uumbaji ukakamilika. Nimekukubali Ila Kama ulichokiongea kimetoka moyoni
 
Nilikosea kuchukua faculty ya "BACHELOR OF ARTS WITH EDUCATION" instead of "TECHNICAL EDUCATION", Nna degree 3 kwa sas nauza nyanya Karatu.

Na hiv juzjuz hapa ROMA alinitag kwenye wimbo wake wa "MAUA YANGU"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
bashay apa mzee nije tupige kazi[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom