Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Nikiwa bado shababy miaka Hi you Dodoma, 2008!, kazi, nyumba, niliwekewa mpaka house girl na mlinzi na kampuni, Sina mke, wala mtoto, mi Gym na muviii tu,
Badala ya kuwekeza kununua ardhi, nikanunua gari, la kutembelea tu!
Kampuni ilipokufa, nikapata kazi nyingine, maokoto kiduchu! Gari nikauza! Laiti ningenunua ardhi Leo ningrkua bilionea,
Kuna Dogo tulikuwa wote kazini, aliuza ardhi yake kwa bilioni 1.5 kwa nssf!
Sasa hv ana nyumba kama 10 hv!
Mie bado nachechemea! Hatsri Sana,
Wekeza kwanza keenye ardhi
Pole
 
Ukifuatilia huu uzi...

Mara wengine wajute kusoma Degree.

Mara wengine wajute kutokusoma degree.

Halafu kila mtu anadhani pengine labda angesoma au asingesoma hiyo degree ndio angefanikiwa

Sasa kwa watu hawa wawili wenye hii mitazamo, Hakuna ushauri wa moja kwa moja ambao mtu anaweza kujifunza na kuufuata.

Bado ishu ni palepale, Life has no formula.
 
Back
Top Bottom