Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheri mzee.Aquaculture and aquatic sciences
Very powerful messageKufanya kazi za watu muda mrefu hadi usiku nakusahau kupambania ndoto zangu. Kumbe niligeuzwa ngazi ya kuwapandisha wengine badala ya kujituma kuboresha malengo yangu
Amenistaajabisha kwa kweliDegree tatu halafu hujui tofauti ya Faculty na course! Wewe ilikuwa unadesa si bure
that's how unauza nyanya Tena itakuwa masalo
Hii kitu ipo sana inatokea kwa wengiKufanya kazi za watu muda mrefu hadi usiku nakusahau kupambania ndoto zangu. Kumbe niligeuzwa ngazi ya kuwapandisha wengine badala ya kujituma kuboresha malengo yangu
Umeoa na umri gani 45?Kuchelewa kuoa. Then kuchelewa kuzaa
Kufuata dini za mchogo toka Ulaya (Isreal) na Uarabuni wakati hazina uhalisia wowote maishani mwetu Waafrika.Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.
Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.
Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.
Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Unatumia account gani niku follow hahahahahaHi comment yako imechapishwa Hadi kwenye page ya jf ya Instagram
Yalikukuta mazito na hukunishirikisha kaka yako,kwanini? Pole🤣Usimuamini mtu yoyote
Binadamu nikiumbe pekee anayeweza kukudhuru au kukuletea madhara hata akiwa mbali nawe
Umeoa na umri gani 45?
Kosa kubwa sanakuonea watu huruma kwenye masuala ya hela
Kumbe ulioa na ni kataa ndoa1. kusoma degree
2. kuoa
upo busy viwanja na mawifi kuonekana kwa mwezi mara moja utashirikishwa saa ngapiYalikukuta mazito na hukunishirikisha kaka yako,kwanini? Pole🤣
Kufuata Dini za watu zisizo na mpango kwetu WaafrikaTuwekee hapa kisa chako uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.
Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.
Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.
Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kunitafuta kupitia wifi yako ulishindwa?upo busy viwanja na mawifi kuonekana kwa mwezi mara moja utashirikishwa saa ngapi
Pole huku unaangua cheko sitaki