Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

Utawasikia "unaanzaje kununua gari kabla haujajenga"

Ona sasa msimu huu wa mvua mnavyoloa chapachapa 🤣
20231103_141906.jpg
 
Tuewekee hapa uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kufuata dini za mchogo toka Ulaya (Isreal) na Uarabuni wakati hazina uhalisia wowote maishani mwetu Waafrika.
 
Tuwekee hapa kisa chako uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.

Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.

Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.

Kila mara hakikisha unakuwa makini na wanaokuzunguka.
Kufuata Dini za watu zisizo na mpango kwetu Waafrika
 
upo busy viwanja na mawifi kuonekana kwa mwezi mara moja utashirikishwa saa ngapi
Pole huku unaangua cheko sitaki
Kunitafuta kupitia wifi yako ulishindwa?

Eheh niambie shida nini ?kaka yako niko tayari hata kujeruhi kiumbe kinachopoteza furaha yako ili tu uwe sawa.
 
Back
Top Bottom