Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia nimeshangaa, itakua alikutana na jambo zito maskiniKosa kubwa sana
Kumbe ulioa na ni kataa ndoa
Namba yake haipatikan labda unipe inayopatikanaKunitafuta kupitia wifi yako ulishindwa?
Eheh niambie shida nini ?kaka yako niko tayari hata kujeruhi kiumbe kinachopoteza furaha yako ili tu uwe sawa.
Alikutana na bwana pepsiMimi pia nimeshangaa, itakua alikutana na jambo zito maskini
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Unaendelea vizuri lakini?,Namba yake haipatikan labda unipe inayopatikana
Sitaki kukumbuka maumivu yaliyopita afya ya akili ni muhimu
Ndoa ilikufanyaje ungetupa kisa Ili sisi wengine Wenye kupenda kuoa tujifunze1. kusoma degree
2. kuoa
Sana tu🙏nashukur kwa hiloUnaendelea vizuri lakini?,
kweli mkuuUkifuatilia huu uzi...
Mara wengine wajute kusoma Degree.
Mara wengine wajute kutokusoma degree.
Halafu kila mtu anadhani pengine labda angesoma au asingesoma hiyo degree ndio angefanikiwa
Sasa kwa watu hawa wawili wenye hii mitazamo, Hakuna ushauri wa moja kwa moja ambao mtu anaweza kujifunza na kuufuata.
Bado ishu ni palepale, Life has no formula.
Kila kitu utapata hapo😅Hii ni namba au user name hebu tofautisha basi🤣🤣😅
Naam mama!Babe
Tuwekee hapa kisa chako uenda ikasaidia mdau mwingine anaepita hapa kujifunza na kuepuka makosa.
Mimi nilikuwa na tabia ya kumuamini sana mtu hasa km amenipa ishara njema za kumuamini pale mwanzo.
Ila baada ya kulizwa sana hapo kati nimejifunza hautakiwi kumuamini mtu kwa 100% na usimuamini mtu wakati wote.
Kila mara hakikisha unakuwa makini na w
Goodmorning my love.Naam mama!
0206hrsGoodmorning my love.
My wi mpetipeti vizur hiyo ndio roho ya familia🙏😅Babe
Aisee nimeomuonea huruma, kweli usimhukumu mtuAlikutana na bwana pepsi